Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nimejaribu kutaka ku install imeniletea vitu vya ajabu kweli
Mbn link iko poa mkuu. Tatizo litakuwa wapi? Ngoja wengine walete mrejesho tuoneMkuu nimejaribu kutaka ku install imeniletea vitu vya ajabu kweli
Kaka swala lako la font nimefuatilia suluhu yake ni. Hiije ni ki restore sim haiwez
Sasa kaka hiyo L8 si ina HIOS ambayo huwa inakuja na App ya font ambazo uki restore simu simu inarudi katika mfumo wa awali.Hatubishani, ila ninachosema nakijua, natumia Tecno L8 na nimekuwa nabadilisha font, nikiichoka naitoa inabaki ya asili, kumbuka "unapo restore simu unairudisha kwenye mpangilio wa kiwandani"
Hiyo cable nimeona inafanya kazi kwenye tecno L8.Naombeni msaada jinsi ya kuifanya OTG cable isome kwenye tecnol h5.. ...
Tumia touchPal au swiftey keyboardWakuu keybord gani kali na nzuri
Kama vipi tumia Dolphin browser kuifungua. Ndo naitumia mimi na haisumbui hiyo link hata kidogo.Mkuu nimejaribu kutaka ku install imeniletea vitu vya ajabu kweli
Ukipata uni tag na mmNaomba msaada jinsi ya Ku update GB WhatsApp..
Yaah nimesha unstall lakn font ni ilele font haitoki alafu samahani sio ifont nilitumia HIFONTHuwezi irudisha, labda uka flash. Tumia hiyo Ifont tafuta font inayofanana na ile zipo tu nyingi.
Na kama font itakuwa na resolution kubwa tumia app ya font editor kupunguza ukubwa wa maandishi. Coz naamini hiyo simu ume root.
Imegoma nime unstall lakn font ya zaman haijiUkiitoa hiyo ap ya font utapata font ya zamani
Inahusu nini iyo GB WhatsAppNaomba msaada jinsi ya Ku update GB WhatsApp..
Asante font editor imekubari imkuja kama ileile ya mwanzoYaah nimesha unstall lakn font ni ilele font haitoki alafu samahani sio ifont nilitumia HIFONT
Nimeshafanikiwa mkuu. Tatizo inaandika kiarabu. Ila nimesha update.Ukipata uni tag na mm
Ni whatasap sema haipo playstore.Inahusu nini iyo GB WhatsApp
Ok asanteNi whatasap sema haipo playstore.
Nisaidie link mkuuNimeshafanikiwa mkuu. Tatizo inaandika kiarabu. Ila nimesha update.