Erickjr
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 994
- 787
Kma Ni Setting Kwa Hii Mobile Security, Bonyeza Hapo Left Kweny Hiyo Mistar. Hii Ni Mobile Security Na Sio Anti Theft.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kma Ni Setting Kwa Hii Mobile Security, Bonyeza Hapo Left Kweny Hiyo Mistar. Hii Ni Mobile Security Na Sio Anti Theft.
tubemate nimewahama kidogo saivi npo hukutubumate inanifanya niifurahie simuyangu
Nitumie link yake mkuu ya hio videoder maana naitafuta muda mrefu kweli yaanitubemate nimewahama kidogo saivi npo huku
>>videoder
nashusha tu movies mpya na series kupitia website ya gomovies.to hii app inadownload vitu kutoka karibu katika kila website kuanzia youtube,instagram, facebook,dailmotion n. k hata kama hiyo video ni ya kustream
nakuhakikishia ukiijaribu lazma uisahau tubemate
Halafu mkuu hizo ant theft wamezileta nyingi mno mpaka nashindwa nichukue ipi,,!Kma Ni Setting Kwa Hii Mobile Security, Bonyeza Hapo Left Kweny Hiyo Mistar. Hii Ni Mobile Security Na Sio Anti Theft.
>>videoder apkNitumie link yake mkuu ya hio videoder maana naitafuta muda mrefu kweli yaani
Naielewa sana hii kitu
Hi private me kazi yake Ni kuficha apps kwa mfano uninstall whatsaap basi kwa kumia private unaweza kuficha usionekane na mtu na akajua hujainstall hiyo app...Au audio manager
Shukrani mkuu
Ndani ya memory ya simu yako yaani internal memory ila kuna njia nyingi za ku backup ambapo moja wapo ndo inayotumika sana una backup apps zako zote na vi2 vyako vyote kwa email ambapo ukija kubadili simu endapo utatumia email hiyo hiyo uliyofanyia backup apps zako pamoja na vi2 vyako vinarudiIv uki back up file zinajisave wapi
Nakushauri sana download dropbox apk hii app yaani ukifanya backup kwa app hii hata kama utaibiwa simu ukaenda kwenye pc ukaweka email ambayo uliitumia ndani ya hii app apps zako pamoja na vi2 vyote ulivyokuwa navyo vinakuja ss kazi ni kuviinstall 2Iv uki back up file zinajisave wapi
Kwa PC au phone?Vidmate nzuri kwa kudownload video u tube
Kwa PC au phone?
Mkuu nenda apkreal.com utaikutaJamani naombeni link ya GB whatsapp
Download hapaJamani naombeni link ya GB whatsapp
Ngoja wa bobezi waje kufanya kazi yao, muombe hans anajua na wengineJamani luckypatcher imenishinda kutumia. Msaada. Natamani sana pro,premium version.
Maelezo yapo safi kabisa, ila naona kuna vitu bado vinazingua nataka kuchakachua jet audiFanya hivi download apps yako ambayo siyo premium version kisha install hiyo app tuchukulie mfano labda jetaudio basic version ambayo haina option nyingi download luckypatcher (hii haipo playstore kwa kuwa inapinga sheria za google kwa hiyo ingia google search kisha andika luckypatcher apk kisha zitakuja links nyingiii ingia moja wapo kisha download) install luckypatcher(kumbuka sio lazima u root simu ndiyo utimie luckypatcher unaweza tumia hivyo hivyo bila root ila kwa option nyingi zaidi kama unamahitajio nazo na unaju unachokifanya basi unaweza kuroot simu mimi binafsi sijaroot simu) baada ya kuinstall ifungue kisha zitakuja apps zako zote ndani ya simu yako kisha tafuta apps yako unayotaka kuipatch nilikwambia tuchukulie jet audio basic version sasa itafute hiyo jet audio kisha iguse itakuletea option hizi(app info,launch app,open menu of patches,tools,uninstall app,manage the app) gusa hiyo open menu of patches itakuletea hivi (create modified apk) iguse hiyo option kisha italeta hizi options (custompatch-applied apk,apk without lisence verification,apk without google ads,apkrebuilt for in app and lvl emulation,apk with changed permissions and activities) gusa option hii custompatch-applied apk kisha zitafunguka patch husika gusa moja moja ili kisoma na kujua ipi unahitaji kwa mfano mm kwenye jetaudio basic version utaona patches ambazo ukiziinstall yaani kuziapply hapo apk yako itakuwa premium version yaani hizo apk yako kimuonekano itakuwa hivyo hivyo basic lakini inakuwa na opptions za PREMIUM version kwa hiyo kwa lugha rahisi itakuwa premium tu
:kwa wanaopenda kucheat magemu :
Fuateni maelezo hayo hapo juu ila kwenye apps yako kama ni gemu ukishaligusa option za mwanzo zitakazo kuja gusa hii (apk rebuilt for in app and lvl emulations ) kisha itakuletea option ya mbele iguse na uendelee kisha itaload kwa muda na kukuambia kama imefinish kisha gusa go to apk na utaiona iguse kisha gusa (unistall and install) hapo apk ya mwanzo itafutika na mpya itajiinstall kisha kama utaenda kwenye gemu lako husika na ulikuwa labda unataka coins utagusa tu kwenye coins na itafunguka option window ya luckyptcher ikubali na coins ulizochagua zitaonhezeka na utaweza kuzitumia
:angalizo:
Kama ni magemu ambayo yanahifadhi data kwa cache files (nadhani magemu mengi mapya yanafanya hii ki2) wkati wa kuinstall hiyo patched apk hiyo cache pia itafutika kwa hiyo cha kufanya kabla haujapatch hiyo apk nenda kwenye directory hii kwa kutumia zip exlore yyte napendelea sana hii (ESfile explore ipo playstore) fungua hiyo file explore italeta phone storage au external storage chagua phone storage kisha nenda kwa mafaili haya (android/obb/kisha utakuta mafaili ya magemu yako chagua limoja ambalo apk file yake unaenda kuedit kisha rename hili file kwa kuongeza herufi moja yyte ile kisha nenda kaedit kwa lucky patcher
Hili tatizo hata kwangu baada ya update custom patches bado tatizo lipo pale paleFanya hivi ingia hapo hapo kwenye lucky patcher kisha gusa vidoti vitatu hapo juu upannde wa kulia kisha italeta options mbili ambazo ni (download custom patches,settings) gusa download custom patches kisha itaanza kudownload halafu ikimaliza jaribu tena