Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

ninyo apk ambayo nimeiondoa matangazo sema limit ya kutuma hapa sijajua ni mb ngapi ila ngoja nijaribu kutuma

sent from my SM-galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
Matangazo ndiyo yanasababisha upate app bure developers kama mimi tuntumia muda mwingi, sleepless nights kutengeneza hizo apps ambazo unazipata for free at least try to support us by allowing ads to show up don't disable them
 
Matangazo ndiyo yanasababisha upate app bure developers kama mimi tuntumia muda mwingi, sleepless nights kutengeneza hizo apps ambazo unazipata for free at least try to support us by allowing ads to show up don't disable them
muwe mnatengeneza pro version ambayo haina ads kisha muuze kwa bei mbaya mno kwa mfano mm nina jamiiapp ambayo nimeifanya premium na nataka kuituma hapa kwa kuwa no any restriction kwa hiyo tunasaidiana tu mkuu

sent from my SM-galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
muwe mnatengeneza pro version ambayo haina ads kisha muuze kwa bei mbaya mno kwa mfano mm nina jamiiapp ambayo nimeifanya premium na nataka kuituma hapa kwa kuwa no any restriction kwa hiyo tunasaidiana tu mkuu

sent from my SM-galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
Shida kwa sasa Google hawasupport merchant account Tanzania ndiyo inayotumika kuuza hizo pro apps. Hanma namna kwa sasa hadi baadae watakaposupport for now our only hope ni hizo ads
 
Shida kwa sasa Google hawasupport merchant account Tanzania ndiyo inayotumika kuuza hizo pro apps. Hanma namna kwa sasa hadi baadae watakaposupport for now our only hope ni hizo ads
umesomeka

sent from my SM-galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
Wandugu naombeni maujuzi ya kuhamisha file kutoka kwenye simu kwenda kwenye laptop kama kuna app naombeni link bila kutumia usb
 
Wandugu naombeni maujuzi ya kuhamisha file kutoka kwenye simu kwenda kwenye laptop kama kuna app naombeni link bila kutumia usb
unatumia software gani ?

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
Wandugu naombeni maujuzi ya kuhamisha file kutoka kwenye simu kwenda kwenye laptop kama kuna app naombeni link bila kutumia usb
i mean unatumia windows ama apple mackbook? na kama ni windows ni windows ngapi?

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
Sawa mkuu pia unipe somo kidogo namna ya kuhamisha mkuu
kuhamisha ni simple sana kama utakuwa umeshainstall hiyo xender kwa pc yako na kwenye simu unayotaka kushare nayo hizo files unatakiwa uwe na xender kisha utazifungua zote ya kwenye pc na ya kwenye simu hapo kwenye xender utaona kuna options mbili ya share na ya receive sasa kama ni kushare kutoka kwenye simu kwenda kwa pc utagusa share kwenye simu yako na pc utagusa receive yenyewe itacreate wireless link na utaanza kuhamisha ma files yyte yale kuanzia movies,pictures,phone games,roms,documents,na mengineyo meeengi tu (yenyewe ukishaofungua kwa mara ya kwanza itakupa maelekezo mkuu)

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
 
kuhamisha ni simple sana kama utakuwa umeshainstall hiyo xender kwa pc yako na kwenye simu unayotaka kushare nayo hizo files unatakiwa uwe na xender kisha utazifungua zote ya kwenye pc na ya kwenye simu hapo kwenye xender utaona kuna options mbili ya share na ya receive sasa kama ni kushare kutoka kwenye simu kwenda kwa pc utagusa share kwenye simu yako na pc utagusa receive yenyewe itacreate wireless link na utaanza kuhamisha ma files yyte yale kuanzia movies,pictures,phone games,roms,documents,na mengineyo meeengi tu (yenyewe ukishaofungua kwa mara ya kwanza itakupa maelekezo mkuu)

sent from my samsung galaxy s8+ using jamiiforums mobile app
Nimekupata mkuu nipe link tu nipakue sasa
 
Best App ni Luckypatcher.
-Lucky Patcher kwenye android itakusaidia , kuondoa matangazo,break different apps' Android Market License Confirmation or other Confirmations for the applications. Unahitaji kuwa rooted.

Mfano,uki download kitu program ambayo si premium kwenye Android baada ya kuinstall fungua lucky patcher tafuta hiyo program ,open menu of patches, patch utapata premium version.

Vile vile games zote you can hack them for free.
Je app nyengine huwa inashindikana?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom