Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

Tushirikishane 'Apps' nzuri za simu za Android

App kwaa jili ya kuingiza vocha kwenye simu yako baada ya kuikwangua,
Epuka usumbufu wa kusoma namba moja moja just scan vocha yako kisha ok.
Recharge King - Top up tool, Recharge phone – Програми Android у Google Play

Mkuu mambo vp. Hope upo okay, naulizia app ya kurecord kinachoendelea kwenye screen ya simu kwa njia yake video.

Let's say mtu ameniomba simu naweza kupata itakayorecord kile anachofanya kwenye screen then akinipa simu yangu niweze kuona alifanya nini na nini kiongozi.

Thanks a lot bro.
 
TIGO Na YouTube ya bure sijajua inakuajekuaje lakini tangu waanzishe hii kitu ikifika hiyo mida ya saa sita huwa natumia youtube, playstore, na naperuzi website yoyote na kudownload kupitia browser ya chrome na kudownload file lolote ili mladi liwe kwenye link za google drive na kwa speed ile ile, sasa sijajua ni kwangu tu au vipi.!!!
kuanzia muda gani inakua hivyo
 
Mkuu mambo vp. Hope upo okay, naulizia app ya kurecord kinachoendelea kwenye screen ya simu kwa njia yake video.

Let's say mtu ameniomba simu naweza kupata itakayorecord kile anachofanya kwenye screen then akinipa simu yangu niweze kuona alifanya nini na nini kiongozi.

Thanks a lot bro.
Mkuu mambo vp. Hope upo okay, naulizia app ya kurecord kinachoendelea kwenye screen ya simu kwa njia yake video.

Let's say mtu ameniomba simu naweza kupata itakayorecord kile anachofanya kwenye screen then akinipa simu yangu niweze kuona alifanya nini na nini kiongozi.

Thanks a lot bro.
Kwangu mimi sijaona kama hii mkuu japo zipo nyingi
Screenshot_20170922-173237.png
 
Mkuu mambo vp. Hope upo okay, naulizia app ya kurecord kinachoendelea kwenye screen ya simu kwa njia yake video.

Let's say mtu ameniomba simu naweza kupata itakayorecord kile anachofanya kwenye screen then akinipa simu yangu niweze kuona alifanya nini na nini kiongozi.

Thanks a lot bro.
Kamata App moja inaitwa SCR Pro hiyo ni mwisho wa yote.
Utaipata Aptoide kama unayo.
 
unaanzia wapi unamalizia wapi ama komputa inahusika?
Hiyo App huipati hata ufanyeje. Kama uli uninstall itategemea na app uliyo futia, kama ina recycle bin nenda u restore, kama haina basi hapo u flash hiyo simu. Maana ile ni bult in App. Tena ipo kwenye private app. Ukifuta hiyo app kibao zitazingua ikiwemo dialer au phone nk
 
Back
Top Bottom