Tushirikishane Cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa bila stress

Tushirikishane Cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa bila stress

Kuna kitu bado watu hawakifahamu, Dhahabu na silver hivi vitu thamani yake haitoweza kushushwa na aina yeyote ile ya muamala, uwe ni ule wa pesa za karatasi, LiPA PeSa au bitcoin hizo ni mbinu tu za watu wanaotaka cheza na akili za watu, Ukiwa na pesa yako nakushauri nunua dhahabu, milele haitoshuka thamani, nikupe mfano mzuri labda leo ikatokea vita na wewe unafamilia yako, ukiwa na dhahabu uta survive kufika popote, ila ukiwa na bitcoin na minara imeibiwa dizeli mjomba utateseka, malkia elizabeti kajilimbikizia dhahabu za kutosha, na wengine wengi na kwanini isiwe dola au izo bitcoin, jiulize leo hii ni kwa nini mradi wa LiPa kwa Pesa wame invest soo much money na resources kuitangaza na unapolipia huduma hukatwi na wala unapoitoa ile pesa hukatwi? What’s the difference btwn Lipa na bitcoin? Unaposikia kutawaliwa ndio huku, digits (numbers) are very easy to make you back to slave, but gold never,, leo hii wasomi they are just made and they will never be mentors kusomea chumi bila ya kuangalia ni wapi tulipotoka uwezi pata concept ya kwanini sasa mambo yanaenda hivi, Unaposikia Africa tulikua tuna mawe ya dhahabu tuna ekeza nayo nyamba zetu you think was true? Like seriously buck to Mansa Mussa miaka hiyo waafrica pekee historia inajieleza west Africa walivyo gawa mali zao kwa wazungu na waarabu, namna walivyosafiri hadi fukwe za Mexico kabla ya waingereza kuvamia unadhani waafrica sisi ni wajinga kama historia inavyotuelezea you are wrong ? Mali waliweza kujenga hadi vyuo vyao na kuekeza katika elimu, leo hii ukisikia mali kunaishi magaidi, Whats come to your mind terrorist Africa inawajuzi mimi hivi ndivyo naamini sikuzote,ipo sababu ni kwa nini tupo hivi​
 
Next time ukitaka kuongea mambo kama haya uwe na data za kutosha,

Umeona wapi ngozi nyeusi ndo watumiaji wakubwa wa crypto

Hao ngozi nyeupe wao ndo kabisa mpaka manunuzi unayafanya kwa crypo

Hujui kama billgate mark buffet na matajiri kibao wana mizigo ya kutosha huko kwenye crypo

Tumia muda na simu yako vizuri mkuu kama kuna sehemu huelewi unaeleweshwa na kama haupo intersted kama mm usikatishewatu tamaaa
Bladifuluuuuu! Ni wapi nilipoandika ngozi nyeusi ndio watumiaji wakubwa wa crypto!?
Kwa hiyo Bill Gates na Warren B wakiwa na mzigo wa kutosha inahalalisha huo upuuzi kuwa legit? Ngozi nyeusi ni shida!
Kwenye Qnet mliingia kichwa kichwa hivi hivi, mkaambiwa mfanye Siri msijumuishe watu. Mwisho wa siku mmeambulia za uso na kurudi hapa JF kupaza Sauti. Blaadibastadi!
 
Una uelewa gani juu ya Cryptocurrency mkuu? Tusaidie kutujuza tusiyoyajua mkuu itapendeza kuliko kuongea shit km hvyo
Ningechukua muda wangu kukuelewesha kuhusu hili suala, Ila kwa ulivyomalizia imenionyesha pasi na shaka kuwa wewe ni mmoja ya vibwengo mliokusudiwa katika hii "Crypto Ponzi Scheme". Kila la kheri. Mwisho wa siku usione aibu kuleta mrejesho hapa JF.
 
Mkuu nashukuru kwa mchango wako!
Ila napata ukakasi kidogo kuweza kukuelewa unavyoshauri watu wanunue dhahabu na silver, changamoto ya kwanza ni utunzaji Wa dhahabu unaitunza wapi na unaitunza kwa muda gani?
Pili, taratibu zetu za serikali kupitia sheria za madini bado sio rafiki sana kwa MTU Wa kawaida kununua madini na kuyatunza kwa muda mrefu km unavyoshaur mkuu, unaweza kutupa uzoefu kidogo
Yapo makampuni South Africa wana convert gold in terms of coins na zina gram tofauti tofauti zinauzwa, kuhifadhi zinaifadhika mbona mkuu, kama mtu unaweza kuilinda hati ya nyumba yako kwanini isiwe dhahabu, ukihifadhi wewe kama baba au mama ni lazma umshirikishe mtu wako wakaribu sana na umwelezee umuhimu wa hiyo dhahabu, pia ukichongesha mkufu au pete ni sawa pia, pia china zipo ATM za gold unanunua coins za dhahabu, Kwenye historia ya marekani miaka ya nyuma serikali ya marekani iliwadhulumu raiya wake dhahabu zao kutokana na katiba yao mbovu, nchi nyingi raiya wake waliweza kujifunza kupitia udhalimu walio ufanya marekani ,walipoona dolla yao inataka kudondoshwa na dhahabu waliamua kuwapora wanachi dhahabu zao, bitcoin ni ya mmarekani mjapani walimpachika tu iwe ndo gia, maining machine zote kubwa zilizopo canada antactica na sehemu nyingine za barafu zionist wao ndo wameinvest, kuna mfumo huu mpya wa maining machine kutumia maji ya kwenye kisima alafu machine zinawekwa huko kupoozwa na maji kawaida wao ndo wanaendelea kuipamba hii bitcoin kwa nguvu zote,tukirudi nyuma kidogo tunaona UAE na China wanataka tumia Gold kama pesa pindi wanapotaka uziana mafuta wanataka kuikimbia Dolla, wazungu wana haha na Bitcoin kuireplace bitcoin badala ya gold kwa nguvu zote zile kimya kimya, Syria na Iraq makampuni ya mafuta ya wazungu wanapambana kuliteka soko la dunia ila inashindikana kwasababu ya wateja wakubwa wamewashtukia, wanahangaika na mambo mengi mengi ya kuigawa dunia kwa njia nyingi wawezavyo lakini M/Mungu ndiye mpangaji, akisema liwe na liwe akisema lisiwe ndo ivyo ila angalizo ni lazima, WW3 ikitokea kisababishi kitakuwa lazma ni Dolla na sii silaha,wachina wao wapo kwenye mbio za kuteka maeneo ya africa kiuchumi na wametupania kweli kweli, Wall Street wana haha ila mambo ni taratibu yakienda yakiiva nunua dhahabu chongesha cheni ereni, zihifadhi uwezi jua​
 
Dhahabu na hati ya nyumba havifanani mkuu.. Ukiokota hati ya nyumba ya mwingine, nyumba haiwi yako, na kama ukitaka kuhamisha umiliki mchakato wake ni pevu. Dhahabu ni kama fedha tu, ukiwa nayo ni yako bila kujali umeipataje.. 1kg ya dhahabu ni almost tsh80m sasa.. Wapigaji wakijua unayo ndani wala hawasubiri usiku, wataichukua fasta tu, labda uwe na ulinzi makini na wa kudumu kama benki
 
Dhahabu na hati ya nyumba havifanani mkuu.. Ukiokota hati ya nyumba ya mwingine, nyumba haiwi yako, na kama ukitaka kuhamisha umiliki mchakato wake ni pevu. Dhahabu ni kama fedha tu, ukiwa nayo ni yako bila kujali umeipataje.. 1kg ya dhahabu ni almost tsh80m sasa.. Wapigaji wakijua unayo ndani wala hawasubiri usiku, wataichukua fasta tu, labda uwe na ulinzi makini na wa kudumu kama benki
Waindi wana izo gold kwenye nyumba zao za msajili zaidi ya kg5, ukitaka amini tafuta metal detector siri ni yako, wapo wenye nazo na kamwe huwezi elewa broo hiyo ni siri nakupa zama zinabadilika tujifunze kwa wenzetu, wachina, malesia, india hata s.africa ndo kinachoendelea huko​
 
Hivi niki signup kisha nikapewa hizo coin 10,000 za bure nikaja kuziuza kwa $ 500 per coin si dili kabisa?

Au coin za bure haziuziki?
 
Katika maisha upepo ukivuma usikinzane nao uelewe nature yake na uenende nao sambamba ili usikupige mweleka...muhimu ni kushabihiana nao. Cryptocurrency tunataka au hatutaki ndio nature ya digital payment kwa sababu mbili kuu ni pesa inayoweza kutumika kwa transaction halafu ni investment at the same time.

Kwa wale wenzangu waliosoma finance wanaelewa money yeyote its a paper ambayo wanajamii wamekubaliana iwe ndio kielelezo cha thamani kwa hiyo pesa haina thamani yeyote Bali ni sisi tu tumekubaliana kwamba iwe na thamani.. The same na Bitcoin ni watu wamekubaliana iwe na thamani kutokana na nature yake ya kuwa na scarcity, durability, portability e.t.c anyways tuyaache haya.

Binafsi nimeijua hii Cryptocurrency mwaka 2017 ila nilikuwa mbishi na siamini na niiliipinga kwa nguvu zote ila nikajipa space ya kufuatilia na ilipofika Nov ndio nikaifahamu sarafu inayoitwa Ripple ikiwa na price ya $0.2 nikadharau na nilikuwa na jamaa yangu akinisisitiza ninunue hara sarafu za laki tano maana zilikuwa cheap and affordable nikadharau ghafla bei ikaspike kutoka $0.2 hadi $3.5 na jamaa alinunua coin takribani 40000 kwa tshs nadhani haikuzidi $260 maana ndio ilikuwa initial investment yake wakati huo..asee!! Ina maana ni 3×4000= $12000 na kwa madafu ni tshs 26,400,000/= roho iliniuma sana kwanini niliignore na yeye kwa wakati huo anajilaumi kwanini hakuweka mzigo wa maana angeyakatia denge maisha mapeeem
6200302ae18654209c7d3875fd601d39.jpg
30f6ebf9369823718707159790642171.jpg
bei ya awali hii then ghafla ikaspike hadi hii hapa price
d600956c840bb9ba3e1e058861c77ba0.jpg
to dare is to do..hujachelewa tenga muda wako jifunze zaidi juu ya hii hopefully it won't surely let you down.. Sio upatu huu its investing early for the benefit of the future.

Hapo ndipo nilipoanza seriously kufuatilia hii ishu na sasa nimegundua its good to invest on ICO au aidrop ambapo hii airdrop kitaalamu ni kampeni ya kugawa coin bure kama strategy ya marketing hii unaweza kuwekeza kwa only sign up tu then unapewa free coins kadhaa maana wao wenye coin wanaitumia kama marketing strategy ya coin yao kupata users and build network of their investors wengi hence inakuwa positive investment for the future..kwa sasa Kuna coin moja iko kwenye Aidrop inakuja kuipa maximum challenge YouTube na all other related site ambazo ni za video streaming yaani hawa jamaa unalipwa pesa kwa kuplay any multimedia via hiyo block chain technology yao...its gonna be huge with an amazing potential inaitwa CURRENT ifuatilie mapema kabla hujachelewa
f64332a6d0ed03ce50f742506d8f7d34.jpg
huko telegram naona wana member kama 100,000 hawa wanasubiri official launch ya ICO ili wanunue mapeema na hii ni kwa miezi miwili imagine mwaka itakuwaje? check hapa telegram yao bado Twitter e.t.c
ddebe458f45e583b02a289a995205222.jpg
yaani nakupa fact tupu na evidence juu.. na wote wanasuburi mzigo uanzee kuuzwa wanunue imagine kama hawa wazungu kila mmoja akinunua kwa minimum dola $500 pekee zidisha na idadi ya watu 100,000..500×100,000= $50,000,000/= kwa madafu 50,000,000×2300= Tshs 115,000,000,000/= its very simple mathematic ya mwezi mmoja tu wa hilo boom wanazalishwa mamilionea kibao for the next coming years hii ishu ya Crypto imewanufaisha zaidi Wakorea, Wamarekani, Wachina na Wahindi maana wao wameiamini na kuimaster mapema lakini sisi hakina Shambuku tutazidi kutafuta mchawi hadi mwisho wa dunia kila kitu hujuaji tu wakati hakuna tunachojua smartphone ni kwa ajili ya Mange kimambi na jamii forum pekee.. Imbecilic! Ingia hapa Current Media ukikisajili tu via this link unapewa free current coin 5 za papo kwa papo then unasubiri Initial coin offering maana hii ni airdrop tu..airdrop which simply means you make money from air...yaani unaenda kiwandani kununua sabuni..sio sawa na Yule atakaenunua kwa wakala..wa kiwandani atapitia na masaza ya kutosha mixer bakshishi.

Usije sema hukupata taarifa..yajayo yanasisimua. Just learn more to earn more.
 
Katika maisha upepo ukivuma usikinzane nao uelewe nature yake na uenende nao sambamba ili usikupige mweleka...muhimu ni kushabihiana nao. Cryptocurrency tunataka au hatutaki ndio nature ya digital payment kwa sababu mbili kuu ni pesa inayoweza kutumika kwa transaction halafu ni investment at the same time.

Kwa wale wenzangu waliosoma finance wanaelewa money yeyote its a paper ambayo wanajamii wamekubaliana iwe ndio kielelezo cha thamani kwa hiyo pesa haina thamani yeyote Bali ni sisi tu tumekubaliana kwamba iwe na thamani.. The same na Bitcoin ni watu wamekubaliana iwe na thamani kutokana na nature yake ya kuwa na scarcity, durability, portability e.t.c anyways tuyaache haya.

Binafsi nimeijua hii Cryptocurrency mwaka 2017 ila nilikuwa mbishi na siamini na niiliipinga kwa nguvu zote ila nikajipa space ya kufuatilia na ilipofika Nov ndio nikaifahamu sarafu inayoitwa Ripple ikiwa na price ya $0.2 nikadharau na nilikuwa na jamaa yangu akinisisitiza ninunue hara sarafu za laki tano maana zilikuwa cheap and affordable nikadharau ghafla bei ikaspike kutoka $0.2 hadi $3.5 na jamaa alinunua coin takribani 40000 kwa tshs nadhani haikuzidi $260 maana ndio ilikuwa initial investment yake wakati huo..asee!! Ina maana ni 3×4000= $12000 na kwa madafu ni tshs 26,400,000/= roho iliniuma sana kwanini niliignore na yeye kwa wakati huo anajilaumi kwanini hakuweka mzigo wa maana angeyakatia denge maisha mapeeem
6200302ae18654209c7d3875fd601d39.jpg
30f6ebf9369823718707159790642171.jpg
bei ya awali hii then ghafla ikaspike hadi hii hapa price
d600956c840bb9ba3e1e058861c77ba0.jpg
to dare is to do..hujachelewa tenga muda wako jifunze zaidi juu ya hii hopefully it won't surely let you down.. Sio upatu huu its investing early for the benefit of the future.

Hapo ndipo nilipoanza seriously kufuatilia hii ishu na sasa nimegundua its good to invest on ICO au aidrop ambapo hii airdrop kitaalamu ni kampeni ya kugawa coin bure kama strategy ya marketing hii unaweza kuwekeza kwa only sign up tu then unapewa free coins kadhaa maana wao wenye coin wanaitumia kama marketing strategy ya coin yao kupata users and build network of their investors wengi hence inakuwa positive investment for the future..kwa sasa Kuna coin moja iko kwenye Aidrop inakuja kuipa maximum challenge YouTube na all other related site ambazo ni za video streaming yaani hawa jamaa unalipwa pesa kwa kuplay any multimedia via hiyo block chain technology yao...its gonna be huge with an amazing potential inaitwa CURRENT ifuatilie mapema kabla hujachelewa
f64332a6d0ed03ce50f742506d8f7d34.jpg
huko telegram naona wana member kama 100,000 hawa wanasubiri official launch ya ICO ili wanunue mapeema na hii ni kwa miezi miwili imagine mwaka itakuwaje? check hapa telegram yao bado Twitter e.t.c
ddebe458f45e583b02a289a995205222.jpg
yaani nakupa fact tupu na evidence juu.. na wote wanasuburi mzigo uanzee kuuzwa wanunue imagine kama hawa wazungu kila mmoja akinunua kwa minimum dola $500 pekee zidisha na idadi ya watu 100,000..500×100,000= $50,000,000/= kwa madafu 50,000,000×2300= Tshs 115,000,000,000/= its very simple mathematic ya mwezi mmoja tu wa hilo boom wanazalishwa mamilionea kibao for the next coming years hii ishu ya Crypto imewanufaisha zaidi Wakorea, Wamarekani, Wachina na Wahindi maana wao wameiamini na kuimaster mapema lakini sisi hakina Shambuku tutazidi kutafuta mchawi hadi mwisho wa dunia kila kitu hujuaji tu wakati hakuna tunachojua smartphone ni kwa ajili ya Mange kimambi na jamii forum pekee.. Imbecilic! Ingia hapa Current Media ukikisajili tu via this link unapewa free current coin 5 za papo kwa papo then unasubiri Initial coin offering maana hii ni airdrop tu..airdrop which simply means you make money from air...yaani unaenda kiwandani kununua sabuni..sio sawa na Yule atakaenunua kwa wakala..wa kiwandani atapitia na masaza ya kutosha mixer bakshishi.

Usije sema hukupata taarifa..yajayo yanasisimua. Just learn more to earn more.
Hawa jamaa wanasema group lao limejaa ?
 
Dhahabu na hati ya nyumba havifanani mkuu.. Ukiokota hati ya nyumba ya mwingine, nyumba haiwi yako, na kama ukitaka kuhamisha umiliki mchakato wake ni pevu. Dhahabu ni kama fedha tu, ukiwa nayo ni yako bila kujali umeipataje.. 1kg ya dhahabu ni almost tsh80m sasa.. Wapigaji wakijua unayo ndani wala hawasubiri usiku, wataichukua fasta tu, labda uwe na ulinzi makini na wa kudumu kama benki
Sawa,ila ndio hivyo kila mtu amefika alipo kwasababu ya risks na sacrifices alizozitoa.
Matajiri ni matajiri kwasababu ya risks wanazochukua.
Tunapowasifia matajiri wafanyabiashara na kuwaponda waajiriwa tujue huo utajiri waliupata kwa sacrifices ambazo wengi zisingependeza masikio yetu.
Hamna jambo zuri lisilohitaji sadaka.
 
Back
Top Bottom