Tushirikishane Cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa bila stress

Tushirikishane Cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa bila stress

Hellow good people!
Baada ya bitcoin kuvumbuliwa kama cryptocurrency ya kwanza kuanza kutumika duniani , kumekuwa na shauku ya watu wengi kutaka kuwekeza katika bitcoin lakini inawawia vigumu kutokana na bei yake kuwa juu mno , thamani ya bitcoin 1 iliwahi kufika million 40 za kitanzania , kwa sasa bitcoin moja inathamani ya Tsh Million 16.++,.
Uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya kushirikishana cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa na kuhold mpaka mwisho Wa mwaka 2018. Mimi binafsi nitaanza na coins kadhaa ambazo nimeziona kibongo bongo tunaweza kuziafford kutia mpunga wetu humo na ukahold mpaka December 2018 bila stress.

1. Action coin Log In ‹ Action Coin — WordPress
Hii coin niliwahi kuona mdau mmoja kaitambulisha humu ndani anaitwa budot uzi wake huu Action coin (Coin mpya kuzinduliwa mwezi march)
Kwa kuongezea kidogo hii ni coin ambayo ipo kwenye pre lunch ,inatarajiwa kuwa lunched ifikapo tarehe 1 March 2018. Ila kwa sasa wapo kwenye pre sale ya tokens zao na ratiba yao ipo kama ifuatavyo,
February 9 to 15: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.005 USD. You must register to participate.
February 16 to 20: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.01 USD. You must register to participate.
February 21 to 25: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.02 USD. You must register to participate.

Kingine pia kutoka action coin ukifanya signup kwa sasa wanakupa free coin 1,000 , ofa hii inatafungwa tarehe 1 March 2018. Kazi kwako.!

2.Ethereum cash pro Ethereum Cash Pro
Hii pia ni coin ambayo ipo pia kwenye pre lunch inatarajiwa kuwa lunched tarehe 22 February 2018 . Price ya coin moja kwa sasa ni 0.001 . ALSO wanatoa free coins 10,000 ukifanya sign up kwa sasa.

3.WCX WCX
Hii pia ni coin ambayo ipo kwenye pre lunch. Tarehe 25 February 2018 itakuwa lunched rasmi. Kwa sasa Price ya coin moja ni $0.10 inakadiriwa hadi kufikia mwisho Wa mwaka price itafika $500 kwa coin moja, nao pia wanatoa free coins 50 kwa members wapya wanaojisajili.

4.Legit coin Legitcoin Presents Cryto Revolution
Hii ni new coin ambayo imeshakuwa lunched tangu tarehe 15 January 2018,, kabla haijazinduliwa price ya 1legit ilikuwa $0.001,
Saizi naandika Uzi huu thamani ya 1legit ni $2.05. Na kwa mujibu Wa MARK LEE founder Wa hii coin anadai hadi kufikia mwezi March 2018 thamani ya coin 1 itafika $70. Pia Inasemekana hii coin mpaka kufikia December 2018 itafika $700 kwa coin moja.
Kitu pekee ambacho wamekujana nacho hawa jamaa ni kwamba wapo mbioni kutengeneza Master cards za legit coin ambazo Zitaitwa LEGIT CARD , ambapo zitakuwa zinatumika kwa ATM Mashine yoyote duniani kwa ajili ya withdraw za legitcoin na other cryptocurrencies zilizopo duniani,

4b48a20d4189b63353d9057ae355bbc7.jpg


Kwa sasa ukijisajili wanakupa free coins 5 tu. Kujisajili ni simple unaingia sehemu ya Sign up then unajaza email na nywira yako , baada ya hapo watakutumia email kwa ajili ya kucomfirm e-mail yako, ndani ya hiyo Email utakayotumiwa kutakuwa na link pamoja na activation key , chakufanya utacopy zile activation key , hafu utabofya ile link iliyopo ndani ya email , itakupeleka kwenye sehemu yenye kibox utapaste zile activation key then kwa chini pia kunakibox cha kuthibitisha you're not a robot hakikisha panakuwa ticked , then bonyeza continue. Utakuwa umemaliza

Kwa sasa niishie hapo niwapishe wadau wengine kwa mawazo na michanganuo mingine juu hizi digital money pamoja na currencies za kuweza kuwekeza kwa sasa.
Umeiweka vizuri sana mkuu
 
Hizi ni sababu 6 za kumtumia Templer FX Trader kama broker wako kwa hapa Tanzania.

Hellow champions! kutokana na changamoto za kimaendeleo inayoikabili nchi yetu kwa muda mrefu sasa hasa katika sekta nzima ya miundombinu na mawasiliano wafanyabiashara wengi Wa forex hapa Tz wamekuwa wakipata wakati mgumu sana linapokuja suala LA broker gani wamtumie, kutokana na bank nyingi sana za hapa Tz kushindwa kutoa huduma nzuri kwa forex traders. Hata hivyo kuna banks chache zinasupport biashara ya forex lakini hazijaenea nchi nzima , 90% zina matawi DSM, Na majiji makubwa makubwa kama mwanza, mbeya na Arusha. Hii inawapa changamoto kubwa sana fx traders Wa mikoani kufanya biashara hii kwa Uhuru zaidi. Wengi wanalazimika kusafiri kitambo kirefu kufwata bank iliko kuweza kufanya mihamala yake ya kipesa.


Sasa basi Templer ni broker Wa UK(Uingereza), wana ofisi hapa Tanzania.
Kifupi ni broker mzuri anaendana na mazingira ya watanzania tulio wengi.

Kwanini nasema ni broker mzuri?
1.Ni rahisi kufungua akaunti na kupata uthibitisho (verification) kwa haraka.
>Ili kufungua akaunti templer unahitaji kuwa na moja kati ya vitambulisho vifuatavyo
*°Kitambulisho cha Taifa*
*°Kitambulisho cha kupigia kura*
*°Leseni ya udereva*
*°Passport ya kusafiria.*
Kumbuka sio vyote, ukiwa nacho kimoja basi mchezo umeisha.
Pia wanahitaji Email yako na Namba yako ya Simu (ni vizuri iwe ya voda). Baada ya masaa 24 unapata real akaunti ukiwa chumbani kwako.

2.Njia Rahisi ya kutuma na kutoa Pesa zako.
>>>Templer wana njia nyingi za kufanya transactions ya hela yako, ila hapa nitaelezea njia yao moja Ya M-Pesa. Kifupi unaweka hela yako na kutoa kwa njia ya M-Pesa muda wowote unapohitaji na ni simple kabisa tena bila makato. Yani ukitoa $100 kutoka kwa broker,kwenye laini yako itaingia $100 kama ilivyo na kuweka tena hivyo hvyo ni bure. Inachukua Maximum Dakika 30 hela yako kuonekana kwenye MT4 akaunti yako baada ya kuweka. Pia inachukua Dakika 30 hadi SAA 1 kuipata hela yako baada ya kutoa.Huhitaji kusafiri au kwenda kupanga foleni Bank mambo yote unamaliza chumbani.

3.Kiwango rafiki cha kuweka na kutoa hela (Minimum deposit and Withdraw)
>Guys brokers wengi wana minimum deposit and withdraw wengine ni $500, wengine ni $200 wengine $100. Sio watanzania wote tunaweza tukaafford viwango walivyotuwekea , lakini Templer minimum deposit ni $1=Tsh 2,240/= kumbukeni $1 unaweza kufungua trade 1 chini ya Big Risk management, kwa wale magwiji Wa fx wanauwezo Wa kukuza $1 hadi kufika $100. (Nimesema magwiji) pia kutoa ni kuanzia $1=Tsh2,240 yani hata hela ya vocha unaitoa bila tatizo lolote.

4.Huduma nzuri kwa wateja.
>>>Templer wanacustomer care nzuri kwa wateja lakini kizuri zaidi kutoka Templer kwa watanzania unahudumiwa na watanzania wenzako sio lazima uwacheki kwa email, unawacheki kwa WhatsApp au kwa kuwapigia live faster unahudumiwa na unatumia lugha yetu ya Taifa Kiswahili.
>>>Pia Guys tukumbuke kupata loss au kuunguza akaunt kwenye forex ni jambo LA kawaida sana, linaweza kusababishwa na vitu vingi sana ili kikubwa ni kutokuzingatia Risk management. Sasa TemplerFx wakati akaunti yako IPO hatarini kuungua wanakutumia ujumbe kwa Email na Text kwa njia ya kawaida kupitia namba yako ya simu kukujilisha akaunti yako iko hatarini kuungua tafadhali nenda kaicheki, Hapo kama ulizima data unaweza kuopen faster na kwenda kuokoa akaunti yako japo kiwango kidogo kuliko kuungua jumla. Hii ni tofauti kwa brokers wengine ukiplace order hafu akaunti ikawa hatarini hupewi notification yoyote , utakapofungua badae unakuta Mt4 inasoma Zero balance. Kati ungepewa taarifa mapema ungeweza kuokoa hela za upande kwa kucut loss.

6.Spreads ndongo.
Kwa kifupi Spreads ni tofauti kati ya bei ya kuuza na kununua, Spreads ni eneo la kwanza ambalo broker anapata faida kupitia trades zako, kila broker ana spreads zake kwa kila pair, spreads kubwa inamaana broker anachukua pakubwa, na spreads ndogo inamaana broker anachukua padogo Kwa kawaida brokers wengi sana huwa wanaongeza spreads muda Wa usiku na muda Wa News, lakini wengine muda wote spreads zao ni kubwa sana haijalishi mchana au usiku hii inaumiza sana kwa trades ambao mitaji yetu ni ya kuungaunga. sasa Templer ni broker mwenye spreads ndogo katika pairs zake hasa muda Wa asubuhi hadi jioni spreads zinacheza kuanzia 3 hadi 12. Usiku zinaongezwa kidogo na muda Wa news. Sio mbaya sana ukilinganisha na brokers wengine ambapo spreads muda Wa asubuh hadi jioni unakuta zinacheza kuanzia 25 hadi 70, hapo ikifika muda Wa news unaweza kukuta spread inacheza 100++,.
 
Habar wana JF,

Nimekua nisikia sana kuhusu crypto-currencies lakin nashindwa kuelewa kiundani haswa inafanywa vipi. zaid naelewa bitcoin kwakua inaongelewa sana.
Mwenye uelewa zaid afafanue na kuonyesha biashara yake imekaaje haswa ikiwa kama fursa.
Tafadhalini sana weka mambo hadharani.

Asante
 
Wazee wa fursa watakuja muda sio mrefu,,jiandae kuwa fursa
 
Watumiaji wa MAXTHON browzer kuna kitu wameanzisha kinaitwa '' LIVE ONE MINGING" mimi kama mtumiaji mkongwe wa browzer hiyo nilijiunga na huduma hiyo ya cypto ambapo kila siku kutokana na jinsi ulivyoitumia unagaiwa tocken. Kwa sasa nimefikisha 1,000/= sijui ni hela, sijui ni nini, na sijui zinafanywaje maana sijui chochote katika kitu kiitwacho cypto iwe ni BITCOIN au ile nyingine ya ONTARIO hivyo ngoja niendelee kuzikusanya nitakuja kujua faida yake mbeleni madhali situmii hela wala possibility ya kushindwa kama betting ni kila siku mgao unatoka acha nikomae huko mbeleni nitakuja kuwa bilionea
 
Hellow good people!
Baada ya bitcoin kuvumbuliwa kama cryptocurrency ya kwanza kuanza kutumika duniani , kumekuwa na shauku ya watu wengi kutaka kuwekeza katika bitcoin lakini inawawia vigumu kutokana na bei yake kuwa juu mno , thamani ya bitcoin 1 iliwahi kufika million 40 za kitanzania , kwa sasa bitcoin moja inathamani ya Tsh Million 16.++,.
Uzi huu uwe maalumu kwa ajili ya kushirikishana cryptocurrencies za kuweza kutia mpunga kwa sasa na kuhold mpaka mwisho Wa mwaka 2018. Mimi binafsi nitaanza na coins kadhaa ambazo nimeziona kibongo bongo tunaweza kuziafford kutia mpunga wetu humo na ukahold mpaka December 2018 bila stress.

1. Action coin Log In ‹ Action Coin — WordPress
Hii coin niliwahi kuona mdau mmoja kaitambulisha humu ndani anaitwa budot uzi wake huu Action coin (Coin mpya kuzinduliwa mwezi march)
Kwa kuongezea kidogo hii ni coin ambayo ipo kwenye pre lunch ,inatarajiwa kuwa lunched ifikapo tarehe 1 March 2018. Ila kwa sasa wapo kwenye pre sale ya tokens zao na ratiba yao ipo kama ifuatavyo,
February 9 to 15: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.005 USD. You must register to participate.
February 16 to 20: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.01 USD. You must register to participate.
February 21 to 25: We will sell up to 250,000,000 Action tokens for *$0.02 USD. You must register to participate.

Kingine pia kutoka action coin ukifanya signup kwa sasa wanakupa free coin 1,000 , ofa hii inatafungwa tarehe 1 March 2018. Kazi kwako.!

2.Ethereum cash pro Ethereum Cash Pro
Hii pia ni coin ambayo ipo pia kwenye pre lunch inatarajiwa kuwa lunched tarehe 22 February 2018 . Price ya coin moja kwa sasa ni 0.001 . ALSO wanatoa free coins 10,000 ukifanya sign up kwa sasa.

3.WCX WCX
Hii pia ni coin ambayo ipo kwenye pre lunch. Tarehe 25 February 2018 itakuwa lunched rasmi. Kwa sasa Price ya coin moja ni $0.10 inakadiriwa hadi kufikia mwisho Wa mwaka price itafika $500 kwa coin moja, nao pia wanatoa free coins 50 kwa members wapya wanaojisajili.

4.Legit coin Legitcoin Presents Cryto Revolution
Hii ni new coin ambayo imeshakuwa lunched tangu tarehe 15 January 2018,, kabla haijazinduliwa price ya 1legit ilikuwa $0.001,
Saizi naandika Uzi huu thamani ya 1legit ni $2.05. Na kwa mujibu Wa MARK LEE founder Wa hii coin anadai hadi kufikia mwezi March 2018 thamani ya coin 1 itafika $70. Pia Inasemekana hii coin mpaka kufikia December 2018 itafika $700 kwa coin moja.
Kitu pekee ambacho wamekujana nacho hawa jamaa ni kwamba wapo mbioni kutengeneza Master cards za legit coin ambazo Zitaitwa LEGIT CARD , ambapo zitakuwa zinatumika kwa ATM Mashine yoyote duniani kwa ajili ya withdraw za legitcoin na other cryptocurrencies zilizopo duniani,

4b48a20d4189b63353d9057ae355bbc7.jpg


Kwa sasa ukijisajili wanakupa free coins 5 tu. Kujisajili ni simple unaingia sehemu ya Sign up then unajaza email na nywira yako , baada ya hapo watakutumia email kwa ajili ya kucomfirm e-mail yako, ndani ya hiyo Email utakayotumiwa kutakuwa na link pamoja na activation key , chakufanya utacopy zile activation key , hafu utabofya ile link iliyopo ndani ya email , itakupeleka kwenye sehemu yenye kibox utapaste zile activation key then kwa chini pia kunakibox cha kuthibitisha you're not a robot hakikisha panakuwa ticked , then bonyeza continue. Utakuwa umemaliza

Kwa sasa niishie hapo niwapishe wadau wengine kwa mawazo na michanganuo mingine juu hizi digital money pamoja na currencies za kuweza kuwekeza kwa sasa.

Kwa njia rahisi ili wote tuwemo kwenye mstari naona tuingie kwenye group halaf tupeane madini.

CrypoCurrencies

Karibuni
 
Sishauri mtu anunue hizo sababu hazijawa ktk soko
Watu wanunue sarafu zilizopo coinmarketcap
 
Sishauri mtu anunue hizo sababu hazijawa ktk soko
Watu wanunue sarafu zilizopo coinmarketcap

Una point mkuuu, ndo maaana hilo group la telegram lipo kwaajili ya kupeana elimu na kufundishana.
Please join people kuna watu wanahitaj msaada wafanye biashara hyo.
 
Kuna hii ICO Iko kwenye airdrop inaitwa Current Media hii ni ICo ambayo utalipwa kwa kuangalia video kwenye platform yao , ni km vile YouTube , nafikiri ni vizur tukaifwatilia kwa ukaribu kwa kufanya sign up, nimekuwa interested sana na hii ICo nimeifwatilia kwa karibu inawatu weng sana wanaoisubr kwa hamu ili waanze kununua Tokens.
 
Kuna hii ICO Iko kwenye airdrop inaitwa Current Media hii ni ICo ambayo utalipwa kwa kuangalia video kwenye platform yao , ni km vile YouTube , nafikiri ni vizur tukaifwatilia kwa ukaribu kwa kufanya sign up, nimekuwa interested sana na hii ICo nimeifwatilia kwa karibu inawatu weng sana wanaoisubr kwa hamu ili waanze kununua Tokens.
Kizur zaid ni kwamba wanagroup lao LA telegram pia wana official tg channel kwa ajili ya kupata all updates , link ya group lao ni hii CurrentInvite
 
Juzi website ya kubwa ya coins walletinvestors.com waliipublish hii coin ijulikanayo
Corexcoin - 3WAY Trading ICO nilijaribu kuifwatilia ni coin ambayo team yao imeundwa na professional crypto and forex traders , unaweza kuchek roadmap yao na white paper ili kujiridhisha zaidi wako clear sana, pia community yao iko vzur kuna group lao LA telegram lina watu km 12k.
Wanatarajia kuanza kufanya pre sale kuanzia tarehe 08/march, initial investment ni $20,, price ya coin 1 itakuwa $0.29 kwa phrase ya kwanza , phrase ya mwisho ambayo itaanza march mwishon price itakuwa $1.01+ ,, hii coin ni legit IPO pia kwenye web ya altcoins
 
Mkuu tupe ABC za cyptocurrency ili tupate kujua ni kitu gani; itakuwa ni vyema maana itaongeza uhaminifu zaidi.
 
Corex-Coin



Coin ICO / Crypto & Forex / 3WAY concept / PRE ICO 8.March 2018

Crypto & Forex
Three-Way concept for a
profitable future!







Crypto

3WAY concept Forex


Special offer -45%

1 ETH = 3255 Corex Coins



Whitepaper:

https://www.corexcoin.io/assets/whitepaper.pdf
Story of Corex

The Team around Corex consists of selected Crypto and Forex traders, who have long experience in the fields of cryptocurrencies and already prove their worth. The idea of Corex was to make those traders accessible to everyone. Common knowledge is, that professional traders are very expensive and that you need to have plenty of capital available, if you want to consult a skilled trader. Not so with Corex. Our new founded concept saves you those costs and enables you access to a path of a profitable future with the help of top traders on the Crypto- as well as on the Forex market. Corex created a way to halve the risk by spreading capital across two markets, but with increasing profits.
Why should I invest?
Our platform offers you a simple and lucrative investment concept. The safety of our
customers is the top priority. We highly believe that with a larger spread of invested
capital we can assure more security. In our opinion pure investment in Cryptocurrencies
would be too risky. We think, that the more markets you use and the more
often you spread your capital, the lower is the risk of a total loss or washout in the
end.
With our 3WAY concept, which splits into Forex, Crypto and arbitrage trading, we
offer our customers a very secure and solid investment solution.
VISION

It’s our vision to grant people the possibility to generate profits even in difficult market phases. The goal of our project was clear from the beginning. There is highs and lows in every economy. So we wondered: How can you develop a long-term project? This is where Corex occurs and comes to life as one of the most efficient investment opportunities with Cryptocurrencies. The Crypto technology opens possibilities to build and found a crowdfunding project completed within 17 months. That was what we had pictured too. We have been gathering experience in the entire trading area since 2016. So you might question: What exactly makes us so strong? We always have had the opportunity to work in two different markets, even if one market had reached a low point, we were able to leverage it with the profits of the other market. And even if both markets had bottomed out, our additional arbitrage trading bot could generate huge profits too. Building on this concept we are able to generate profits in all situations.



Lending:

Lending means to invest your own COREX coins or Bitcoins to get a daily return. This option is perfect for passive investors. You can see the guaranteed profits on the table in our Whitepaper. The maximum interest rate is 49% per month. This investment allows you to profit from our 3-Way trading concept. The capital is stored for a certain amount of time, which allows a better cash flow. You will receive your capital and your profits back after 53 to 186 days, depending on which package you have selected.

The Pre-Sale starts at 8 March 2018 06:00 pm. CET

Minimum investment - 20$ = 68 CorexCoins
Maximum investment - 7000$ = 24,137 CorexCoins


Sign up now https://www.corexcoin.io/account/signup.php?ref=aN8CM4yPlh
Hii nimeielewa good project , nasikia alhamis ndo wanaanza rasmi pre ico, I can't wait lazima ni risk $20 zangu hafu nione,
 
Back
Top Bottom