Hata sare siyo mbaya, tutakuwa na pointi sita Lesotho atakuwa na point 3Sijaona Tanzania ikishinda mechi ya leo,wakijitahidi sana draw
Ukiangalia vizur hata Croatia ni underdog...ila mziki wake tunaujua vizurkumbe hii mechi sisi ndiyo underdog?. Naelewa jamaa wapo nyumbani but still!!.View attachment 938189
Lesotho hawawezi ruhusu kufungwa....kabisa. tujiandae kwa maumivu
Tusiokuwa na imani na taifa stars tunacomment wapi??