Tusidanganyane: CCM ina Wenyewe na CHADEMA ina wenyewe pia, angalia Job Ndugai na Mchungaji Msigwa Walivyofokewa

Tusidanganyane: CCM ina Wenyewe na CHADEMA ina wenyewe pia, angalia Job Ndugai na Mchungaji Msigwa Walivyofokewa

Sasa ana utofauti gani na Sumaye?

Maana mlimpa nafasi ya kugombea urais,!
... pamoja na kupewa nafasi he was being monitored 24 x 7; hatimaye akarudi panapomfaa! Samaki nje ya maji lazima afe; hajazoea maisha nje ufisadi.
 
Chama cha Siasa ni mali ya wanachama Ila kwa CDM ni tofauti.

Fact kwamba CHADEMA ilianzishwa na mkwewe Freeman Mbowe, Mzee Edwin Mtei ndiyo inayomharibu Mbowe. Anajiona ni Mwenyekiti wa maisha na Chama ni chake
Hoja ya CHADEMA kuwa Mbowe hanunuliki wala kunywea mbele ya suluba za dola huikubali?

Unaamini wapo wanachama wengine wanaoweza kuhimili vitisho vya dola hasa chini ya Rais modeli ya JPM hapo hapo wakikishikamanisha chama pamoja bila kuchoka?
 
Ukitaka kujua chadema ina wenyewe muulize Sumaye alipoonesha nia ya kutaka kugombea uenyekiti wa chama ngazi ya Taifa
Huyu alikua pandikizi, kama anaupenda uwenyekiti wa chama ni kwanini haonyeshi nia huko CCM?
 
.... Sumaye mwenyewe yuko wapi leo? From nowhere tu akabidhiwe uenyekiti! Wapi hiyo iliwahi kutokea? Chama kile kimejengwa kwa jasho na damu elewa hilo.
Alipata Kura ngapi?
 
Kuna tofauti kubwa kati ya alichoandika Msigwa na alichoongea Ndugai, ukiangalia kwa nje wote walionekana kutumia uhuru wao wa kutoa maoni.

Lakini kwa ndani zaidi, alichokiandika Msigwa kwa nafasi yake kama mpinzani hatakiwi kuwashauri CCM nani wa kumchagua.

Kwa sababu huyo atakayechaguliwa kuwa spika akianza kuwabeba CCM wenzake bungeni kwa maslahi yao, Msigwa kama mpinzani atakosa namna ya kumponda kwa kuwa atakuwa "alishajitega" kwa kumuunga mkono.

Lema aliona mbele zaidi kwa alichofanya.

CCM ni madikteta walimnyima Ndugai haki yake ya kuhoji jambo la msingi lenye maslahi kwa taifa, kukopa kwa taifa masikini kama letu lenye rasilimali zakutosha sio sifa, ni kuzidi kujidumaza akili.
Kwahiyo CHADEMA ni chama cha kubebwa?
 
.... Sumaye mwenyewe yuko wapi leo? From nowhere tu akabidhiwe uenyekiti! Wapi hiyo iliwahi kutokea? Chama kile kimejengwa kwa jasho na damu elewa hilo.
angewezaje kukaa sasa?
 
CCM imeshatangaza mchakato wa kumpata Spika mpya wa bunge la JMT kupitia chama hicho baada ya kumfurusha " Wakuja" Job Ndugai.

Mchungaji Msigwa akajaribu kuwafundisha CCM ni nani atayefaa kuwa Spika mpya ili kuleta mshikamano bungeni lakini akafokewa na kuagizwa " KUFUTA" mara moja huo ushauri na Godbless Lema hatimaye Msigwa aliufyata akafuta.

Lakini ngome ya Mkwawa iliibuka na kumtaka mchungaji Msigwa arejeshe bandiko lake mtandaoni kwani ule ni ushauri wake binafsi.

Unaweza kujiuliza kama Chadema haina " Wenyewe" huyu Godbless Lema anapata wapi jeuri ya kumuamrisha mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa?

Mwamba tuvushe salama!
Hivi akina Lema ndio kina nani hasa huko Chadema? Yaani mtu kama Lema anaweza mfokea Msigwa? Hata Kwa akili tuu Lema ni kiazi.
 
Chadema haikuanzishwa na mzee Mtei peke yake.

Walioasisi Chadema ni pamoja na Mtei, Bob Makani, Shanga, Ngaiza na Tuntemeke Sanga!
Kwa Bob Makani( Shy town),ndiyo kabisaaaaa....CCM,haipendwi na huwa haishindi uchaguzi wowote ,...Cheki Na KATAMBI au MASELE..
 
... pamoja na kupewa nafasi he was being monitored 24 x 7; hatimaye akarudi panapomfaa! Samaki nje ya maji lazima afe; hajazoea maisha nje ufisadi.
Alikuwa monitored na nani?
 
Utaratibu ni pamoja na kuchukua watu mliowaita mafisadi?
... intelligence ya Chadema achana nayo; nimekwambia he was being monitored 24x7 akagundua hawezi kuishi bila ufisadi akarudi "nyumbani".
 
Mulimzodoa sana as if ni mtoto mdogo. Ndio maana akaamua kuondoka.
... hakuzodolewa; alielezwa utaratibu na kwa kuwa always ni aina ya watu ambao wamezoea kufanya mambo yao bila kuzingatia Katiba, taratibu, na sheria akaona hapamfai akarudi panapomfaa.
 
Back
Top Bottom