... pamoja na kupewa nafasi he was being monitored 24 x 7; hatimaye akarudi panapomfaa! Samaki nje ya maji lazima afe; hajazoea maisha nje ufisadi.Sasa ana utofauti gani na Sumaye?
Maana mlimpa nafasi ya kugombea urais,!
Hoja ya CHADEMA kuwa Mbowe hanunuliki wala kunywea mbele ya suluba za dola huikubali?Chama cha Siasa ni mali ya wanachama Ila kwa CDM ni tofauti.
Fact kwamba CHADEMA ilianzishwa na mkwewe Freeman Mbowe, Mzee Edwin Mtei ndiyo inayomharibu Mbowe. Anajiona ni Mwenyekiti wa maisha na Chama ni chake
Huyu alikua pandikizi, kama anaupenda uwenyekiti wa chama ni kwanini haonyeshi nia huko CCM?Ukitaka kujua chadema ina wenyewe muulize Sumaye alipoonesha nia ya kutaka kugombea uenyekiti wa chama ngazi ya Taifa
Alipata Kura ngapi?.... Sumaye mwenyewe yuko wapi leo? From nowhere tu akabidhiwe uenyekiti! Wapi hiyo iliwahi kutokea? Chama kile kimejengwa kwa jasho na damu elewa hilo.
Muungano? Kauli ya koti likikubana unafanyaje ati inahusika pia.CCM ni muungano wa TANU na ASP, usisahau hilo.
Kwahiyo CHADEMA ni chama cha kubebwa?Kuna tofauti kubwa kati ya alichoandika Msigwa na alichoongea Ndugai, ukiangalia kwa nje wote walionekana kutumia uhuru wao wa kutoa maoni.
Lakini kwa ndani zaidi, alichokiandika Msigwa kwa nafasi yake kama mpinzani hatakiwi kuwashauri CCM nani wa kumchagua.
Kwa sababu huyo atakayechaguliwa kuwa spika akianza kuwabeba CCM wenzake bungeni kwa maslahi yao, Msigwa kama mpinzani atakosa namna ya kumponda kwa kuwa atakuwa "alishajitega" kwa kumuunga mkono.
Lema aliona mbele zaidi kwa alichofanya.
CCM ni madikteta walimnyima Ndugai haki yake ya kuhoji jambo la msingi lenye maslahi kwa taifa, kukopa kwa taifa masikini kama letu lenye rasilimali zakutosha sio sifa, ni kuzidi kujidumaza akili.
angewezaje kukaa sasa?.... Sumaye mwenyewe yuko wapi leo? From nowhere tu akabidhiwe uenyekiti! Wapi hiyo iliwahi kutokea? Chama kile kimejengwa kwa jasho na damu elewa hilo.
Hivi akina Lema ndio kina nani hasa huko Chadema? Yaani mtu kama Lema anaweza mfokea Msigwa? Hata Kwa akili tuu Lema ni kiazi.CCM imeshatangaza mchakato wa kumpata Spika mpya wa bunge la JMT kupitia chama hicho baada ya kumfurusha " Wakuja" Job Ndugai.
Mchungaji Msigwa akajaribu kuwafundisha CCM ni nani atayefaa kuwa Spika mpya ili kuleta mshikamano bungeni lakini akafokewa na kuagizwa " KUFUTA" mara moja huo ushauri na Godbless Lema hatimaye Msigwa aliufyata akafuta.
Lakini ngome ya Mkwawa iliibuka na kumtaka mchungaji Msigwa arejeshe bandiko lake mtandaoni kwani ule ni ushauri wake binafsi.
Unaweza kujiuliza kama Chadema haina " Wenyewe" huyu Godbless Lema anapata wapi jeuri ya kumuamrisha mwenyekiti wa Chadema kanda ya Nyasa?
Mwamba tuvushe salama!
Kwani CHADEMA ipo Hai?!!Alikwambia hivyo mkiwa wapi? yalikuwa mawazo yake binafsi yenye kumtia kitanzi mwenyewe mbele ya safari, kuokolewa hapo haliwezi kuwa kosa.
Kwa Bob Makani( Shy town),ndiyo kabisaaaaa....CCM,haipendwi na huwa haishindi uchaguzi wowote ,...Cheki Na KATAMBI au MASELE..Chadema haikuanzishwa na mzee Mtei peke yake.
Walioasisi Chadema ni pamoja na Mtei, Bob Makani, Shanga, Ngaiza na Tuntemeke Sanga!
Alikuwa monitored na nani?... pamoja na kupewa nafasi he was being monitored 24 x 7; hatimaye akarudi panapomfaa! Samaki nje ya maji lazima afe; hajazoea maisha nje ufisadi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Si umeona hata yule Othman wa ACT wazalendo baada ya kuwa makamu wa Rais Zanzibar amekuwa ndio boss Zitto wanamdharau tu!
... Chama kina utaratibu wake.Alikuwa monitored na nani?
... kwa hiyo alienda Chadema kutafuta uenyekiti wa chama? Bora aliondoka!angewezaje kukaa sasa?
Sumaye ndo reference ππππyu wap leo??Ukitaka kujua chadema ina wenyewe muulize Sumaye alipoonesha nia ya kutaka kugombea uenyekiti wa chama ngazi ya Taifa
Utaratibu ni pamoja na kuchukua watu mliowaita mafisadi?... Chama kina utaratibu wake.
Mulimzodoa sana as if ni mtoto mdogo. Ndio maana akaamua kuondoka.... kwa hiyo alienda Chadema kutafuta uenyekiti wa chama? Bora aliondoka!
... intelligence ya Chadema achana nayo; nimekwambia he was being monitored 24x7 akagundua hawezi kuishi bila ufisadi akarudi "nyumbani".Utaratibu ni pamoja na kuchukua watu mliowaita mafisadi?
... hakuzodolewa; alielezwa utaratibu na kwa kuwa always ni aina ya watu ambao wamezoea kufanya mambo yao bila kuzingatia Katiba, taratibu, na sheria akaona hapamfai akarudi panapomfaa.Mulimzodoa sana as if ni mtoto mdogo. Ndio maana akaamua kuondoka.