Tusidanganyane hakuna anayependa kubaki Tanzania Pre Season, ukweli ni kwamba hatuna Pesa

Tusidanganyane hakuna anayependa kubaki Tanzania Pre Season, ukweli ni kwamba hatuna Pesa

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ukija na Hoja kuwa mbona kwa Misimu miwili walioenda Pre Season nje ya nchi hawajawa Mabingwa na aliyebaki Tanzania kawa Bingwa nami nitakuuliza mbona miaka minne nyuma aliyekuwa Bingwa mara Nne mfululizo ( huku Wewe na Timu yako Mkijitafuta ) alienda Pre Season Nje ya nchi na Wewe uliyebakia Tanzania hukuwa Bingwa?

Acheni Kuzuga ukweli hamna Pesa.
 
Ukija na Hoja kuwa mbona kwa Misimu miwili walioenda Pre Season nje ya nchi hawajawa Mabingwa na aliyebaki Tanzania kawa Bingwa nami nitakuuliza mbona miaka minne nyuma aliyekuwa Bingwa mara Nne mfululizo ( huku Wewe na Timu yako Mkijitafuta ) alienda Pre Season Nje ya nchi na Wewe uliyebakia Tanzania hukuwa Bingwa?

Acheni Kuzuga ukweli hamna Pesa.
Mganga wetu kasema kwakuwa Ligi yote Kwa 100% itachezewa hapa hapa Bongo,hivyo dawa za ubingwa wa Ligi,FA,CAF CL zitakuwa na nguvu zaidi kama preseason tutaifanyia nchini

Ngao ya hisani ndo ushaidi wa kwanza

Wait and see

Ni masharti ya mganga tu mkuu
 
Ukija na Hoja kuwa mbona kwa Misimu miwili walioenda Pre Season nje ya nchi hawajawa Mabingwa na aliyebaki Tanzania kawa Bingwa nami nitakuuliza mbona miaka minne nyuma aliyekuwa Bingwa mara Nne mfululizo ( huku Wewe na Timu yako Mkijitafuta ) alienda Pre Season Nje ya nchi na Wewe uliyebakia Tanzania hukuwa Bingwa?

Acheni Kuzuga ukweli hamna Pesa.
NAKAZIA KWA NGUVU ZOTE!
 
UMISETA FC DE KIGAMBONI [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Ukija na Hoja kuwa mbona kwa Misimu miwili walioenda Pre Season nje ya nchi hawajawa Mabingwa na aliyebaki Tanzania kawa Bingwa nami nitakuuliza mbona miaka minne nyuma aliyekuwa Bingwa mara Nne mfululizo ( huku Wewe na Timu yako Mkijitafuta ) alienda Pre Season Nje ya nchi na Wewe uliyebakia Tanzania hukuwa Bingwa?

Acheni Kuzuga ukweli hamna Pesa.
Sponsa kawekeza pesa mingi kwa mayele kwa hiyo bajeti ya pre season inatosha kwenda mji kasoro bahar
 
Ukija na Hoja kuwa mbona kwa Misimu miwili walioenda Pre Season nje ya nchi hawajawa Mabingwa na aliyebaki Tanzania kawa Bingwa nami nitakuuliza mbona miaka minne nyuma aliyekuwa Bingwa mara Nne mfululizo ( huku Wewe na Timu yako Mkijitafuta ) alienda Pre Season Nje ya nchi na Wewe uliyebakia Tanzania hukuwa Bingwa?

Acheni Kuzuga ukweli hamna Pesa.
nendeni uturuki mkaongeze makalio sie tupo pale Avicii tukila karanga mbichi na nazi huku tukipiga tizi kali tukiwasubiri kuwazagamua vibaya vibaya
 
Ukija na Hoja kuwa mbona kwa Misimu miwili walioenda Pre Season nje ya nchi hawajawa Mabingwa na aliyebaki Tanzania kawa Bingwa nami nitakuuliza mbona miaka minne nyuma aliyekuwa Bingwa mara Nne mfululizo ( huku Wewe na Timu yako Mkijitafuta ) alienda Pre Season Nje ya nchi na Wewe uliyebakia Tanzania hukuwa Bingwa?

Acheni Kuzuga ukweli hamna Pesa.
NAKAZIA!
 
Mashabiki WAJINGA kama NYIE ndio mtaji wa VIONGOZI WAPUMBAVU kama Akina MANGUNGO.

TIMU YAKO INASAJILI UPILUMBAVU WEWE KUTWA KUISHADADIA YANGA.

FICHA UJINGA WEWE.
 
MPIRA wetu una madudu mengi mno.
Tukiandika hapa HATUWEZI kumaliza.


1. Simba Ina TATIZO KUBWA sana kwenye No 6.
Hadi saizi nafasi zimejaa hakuna waliemsajili UJINGA mtupu

Hadi sasa Wamesajili JUMLA ya idadi ya mawinga 11.

2. Eneo la beki wa kati
MSIMU uliopita lilikuwa na Inonga, onyango, Ottara Nyoni na KENEDY JUMA.
Eo hii wamebakiwa na wachezaji watatu tu3 Mabeki, hata wakijigawa mazoezini hawatoshi.

UONGOZI WA SIMBA AMKENI ACHENI UPUMBAVU
 
MPIRA wetu una madudu mengi mno.
Tukiandika hapa HATUWEZI kumaliza.


1. Simba Ina TATIZO KUBWA sana kwenye No 6.
Hadi saizi nafasi zimejaa hakuna waliemsajili UJINGA mtupu

Hadi sasa Wamesajili JUMLA ya idadi ya mawinga 11.

2. Eneo la beki wa kati
MSIMU uliopita lilikuwa na Inonga, onyango, Ottara Nyoni na KENEDY JUMA.
Eo hii wamebakiwa na wachezaji watatu tu3 Mabeki, hata wakijigawa mazoezini hawatoshi.

UONGOZI WA SIMBA AMKENI ACHENI UPUMBAVU
punguza JAZBA mtani [emoji16]
 
Haya boss kubwa kakasirika.
Screenshot_20230711_142046_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom