Tusidanganyane, hakuna mwanamke asiye na mpenzi

Tusidanganyane, hakuna mwanamke asiye na mpenzi

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Kama wewe mgonjwa au umefiwa na mumeo sawa Ila Kama wewe ni mwanamke miaka 22 na ni under 40 sio mgonjwa na hujafiwa na mmeo huwezi kuwa single.

Tunadanganyana jamani hakuna mwanamke ambaye yupo single tusidanganyane tuambiane ukweli wanaume walio single wapo wengi Ila wanawake walio single hakuna labda kwa sifa nilizoziweka hapo juu.

Mimi binafsi nikiwa katika maongezi ya kawaida na demu akaniambia yupo single huwa namchana live kwamba aache uongo sijawahi kuwa mnafiki kwa hili usingle ukiwa mwanamke ni vigumu Sana sana.

Upo single simu imejaa mapassord kila mahali, Simu ikipigwa hupokei ukiwa umekaaa na mwanaume mwingine, sms zipo silence, ukipigiwa unaenda kupokea simu chooni wewe upo single wewe?

Eti nipo single upo single wewe unaimbwa mademu acheni Kama yupo aliye single aje hapa akanushe we upo single upo kwenye jukwaa la mapenzi Jamii forums.

Si mseme tu kwamba mpo na watu ambao sio mliowaota kuwa nao pale zamani.

Teh...teh..,😀😀😀
 
Acheni ulimbukeni.

Kwani akikuambia yupo single au akisema ana mtu inakusaidia nini na inakupunguzia nini? Kama akisema ana mtu bado unamla tu na maisha yanaendelea, na pia akikuambia yuko single unamla na maisha yanaendelea sasa unaumiza kichwa ya nini?

Mbona wake za watu mnawala na mnajua wameolewa?
 
Kama wewe mgonjwa au umefiwa na mumeo sawa Ila Kama wewe ni mwanamke miaka 22 na ni under 40 sio mgonjwa na ujafiwa na mmeo huwezi kuwa single.

Tunadanganyana jamani hakuna mwanamke ambaye yupo single tusidanganyane tuambiane ukweli wanaume walio single wapo wengi Ila wanawake walio single hakuna labda kwa sifa nilizoziweka hapo juu.

Mimi binafsi nikiwa katika maongezi ya kawaida na demu akaniambia yupo single uwa namchana live kwamba aache uongo sijawai kuwa mnafiki kwa hili usingle ukiwa mwanamke ni vigumu Sana sana.

Upo single simu imejaa mapassord kila mahali, Simu ikipigwa upokei ukiwa umekaaa na mwanaume mwingine, sms zipo silence, ukipigiwa unaenda kupokea simu chooni wewe upo single wewe?

Eti nipo single upo single wewe unaimbwa mademu acheni Kama yupo aliye single aje hapa akanushe we upo single upo kwenye jukwaa la mapenzi Jamii forum.

Si mseme tu kwamba mpo na watu ambao sioliokuwa mnawaota kuwa nao pale zamani.

Teh...teh..,[emoji3][emoji3][emoji3]
Mwanamke kua single wapo Ila wachache Sana Sana yupo kwenye likizo ya mapenzi.
 
Kama wewe mgonjwa au umefiwa na mumeo sawa Ila Kama wewe ni mwanamke miaka 22 na ni under 40 sio mgonjwa na ujafiwa na mmeo huwezi kuwa single.
Katika vitu ambavyo nikiingia kwenye mahusiano huwa sijali ni kutaka kujua kama ana mtu au hana.

Mimi lengo ni kusuuza rungu tu. Hayo mengine ya kuwa na mtu au single sinaga habari nayo
 
Kama wewe mgonjwa au umefiwa na mumeo sawa Ila Kama wewe ni mwanamke miaka 22 na ni under 40 sio mgonjwa na ujafiwa na mmeo huwezi kuwa single.

Tunadanganyana jamani hakuna mwanamke ambaye yupo single tusidanganyane tuambiane ukweli wanaume walio single wapo wengi Ila wanawake walio single hakuna labda kwa sifa nilizoziweka hapo juu.

Mimi binafsi nikiwa katika maongezi ya kawaida na demu akaniambia yupo single uwa namchana live kwamba aache uongo sijawai kuwa mnafiki kwa hili usingle ukiwa mwanamke ni vigumu Sana sana.

Upo single simu imejaa mapassord kila mahali, Simu ikipigwa upokei ukiwa umekaaa na mwanaume mwingine, sms zipo silence, ukipigiwa unaenda kupokea simu chooni wewe upo single wewe?

Eti nipo single upo single wewe unaimbwa mademu acheni Kama yupo aliye single aje hapa akanushe we upo single upo kwenye jukwaa la mapenzi Jamii forum.

Si mseme tu kwamba mpo na watu ambao sioliokuwa mnawaota kuwa nao pale zamani.

Teh...teh..,😀😀😀
sophy27 mawardat moneytalk Darlin financial services kumbe mnanidanganya kuwa mpo single wakati mnavidume wenu
 
From what i know, a woman is single depending on who is asking.

Kama huna mboga lazma mtu awe taken, lakn kama unaonekana sio papatupapatu, manzi anaeza kua single. But lets not judge, hata wanawake ni binadam, wana option ya kuchagua either kua na wewe or not.

Shida hua inakuja tu pale ambapo wanataka pia wakutafune wakiwa in the process ya kuamua if yes or no..
Screenshot_20211110-174503_Instagram.jpg
 
Kama wewe mgonjwa au umefiwa na mumeo sawa Ila Kama wewe ni mwanamke miaka 22 na ni under 40 sio mgonjwa na ujafiwa na mmeo huwezi kuwa single.

Tunadanganyana jamani hakuna mwanamke ambaye yupo single tusidanganyane tuambiane ukweli wanaume walio single
Hahaha umenichekesha sana kiukweli ndivyo ilivyo Dem MMOJA Kwa siku anatongozwa na wanaume 5 makadirio awe mzuri au mbaya Tena mzuri Ndo balaaa kabisa. Ndivyo ilivyo yaani huwezi kukuta mwanamke singo Ndo maana at m nikitongoza akikataa sibembelezi nakausha mazima. Ili mambo yasiwe mengi
 
Back
Top Bottom