Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wale wa hello mr right huwa wapo single kabisa
Hahaha, huwa wana kamsemo kao. Nina zaidi ya miezi sita sijanyanduliwa, haka kauongo sijui huwa wanamdanganya nani[emoji2957][emoji2957]Kwa kizazi Cha Sasa?? Hamna mwanamke aliye SINGO.
Na ngumu sana kukuta mwanamke hajakulana Ndani ya mwezi Mmoja hata kama hayupo kwenye Mahusiano thabiti.
Nyie tusicomplicate mambo .. Tuendelee kulana tu basi
๐ณmakubwa! So Huwa huaminiHahaha, huwa wana kamsemo kao. Nina zaidi ya miezi sita sijanyanduliwa, haka kauongo sijui huwa wanamdanganya nani[emoji2957][emoji2957]
Umepewa green light ili uwe ingizo jipya kwenye list yake ya wapigwa vizingaWewe ukiambiwa "nipo single" manake ni ticket ya kuendelea na zoezi unalotaka kufanya.
Wanatuchora tu kama hawapo vile๐คฃ๐คฃ๐คฃTrend imebadilika sana, Wanaume siku hizi wanafatilia mambo ya wanawake, ila wanaofatiliwa wako bize na issues zao ๐ ๐ .
Hahaha, huwa wana kamsemo kao. Nina zaidi ya miezi sita sijanyanduliwa, haka kauongo sijui huwa wanamdanganya nani[emoji2957][emoji2957]
Tukiambiwa hivyo tunajua ni green light kuwa sasa ruksa kutuma maombi. Hakuna mtu above 25 akawa single kizembe, mbususu za siku hizi zinapigwa msasa balaa.[emoji15]makubwa! So Huwa huamini
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃNadhani sahihi ulitakiwa uweke hivi, hakuna mwanamke asieliwa mchebwede kwa sasa. Hata awe mubaya wahuni wanaishi nae tu.
Hizi ngonjera za single na taken hazina mantiki. Anaweza kukwambia single ila anabatuka freshi tu, au ukamla akiwa na pete zake 2 kidoleni.
๐๐๐๐si ndio hapo sasa jamanKamamaa,
Wakaka wazuri wa roho walivyojaa hivi, naanzaje mpenzi wangu.??
Umepigwa na kitu kizito sasa balaa linawashukia madem.woteKama wewe mgonjwa au umefiwa na mumeo sawa Ila Kama wewe ni mwanamke miaka 22 na ni under 40 sio mgonjwa na ujafiwa na mmeo huwezi kuwa single.
Si mseme tu kwamba mpo na watu ambao sio mnawaota kuwa nao pale zamani.
Teh...teh..,๐๐๐
Upo single au taken jirani?Wee๐ณsema kweli?