Beesmom
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 17,202
- 28,732
Namjibu nipo single ...nikigusa pale nikikuta hamna kitu nageuka na kusema "unajua mwenzio Nina mtu😔"Huwa unalijibu vipi hilo swali incase umeulizwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namjibu nipo single ...nikigusa pale nikikuta hamna kitu nageuka na kusema "unajua mwenzio Nina mtu😔"Huwa unalijibu vipi hilo swali incase umeulizwa?
Mi huwa naona kuuliza hilo swali ni kujiwekea kizingiti bila sababu.Namjibu nipo single ...nikigusa pale nikikuta hamna kitu nageuka na kusema "unajua mwenzio Nina mtu😔"
Kabisa yaanMi huwa naona kuuliza hilo swali ni kujiwekea kizingiti bila sababu.
Una akili kama yangu. Nasisistiza, hakuna demu aliye single. Ni wanaume tu ndo huwa single.Kama wewe mgonjwa au umefiwa na mumeo sawa Ila Kama wewe ni mwanamke miaka 22 na ni under 40 sio mgonjwa na ujafiwa na mmeo huwezi kuwa single.
Tunadanganyana jamani hakuna mwanamke ambaye yupo single tusidanganyane tuambiane ukweli wanaume walio single wapo wengi Ila wanawake walio single hakuna labda kwa sifa nilizoziweka hapo juu.
Mimi binafsi nikiwa katika maongezi ya kawaida na demu akaniambia yupo single uwa namchana live kwamba aache uongo sijawai kuwa mnafiki kwa hili usingle ukiwa mwanamke ni vigumu Sana sana.
Upo single simu imejaa mapassord kila mahali, Simu ikipigwa upokei ukiwa umekaaa na mwanaume mwingine, sms zipo silence, ukipigiwa unaenda kupokea simu chooni wewe upo single wewe?
Eti nipo single upo single wewe unaimbwa mademu acheni Kama yupo aliye single aje hapa akanushe we upo single upo kwenye jukwaa la mapenzi Jamii forum.
Si mseme tu kwamba mpo na watu ambao sio mnawaota kuwa nao pale zamani.
Teh...teh..,[emoji3][emoji3][emoji3]
Hiyo ni ajali kazini tu mzee baba. Siwezi kuacha kuchakata mkuuSiku ukipata kikiozi kichopona,homa za mara kwa mara,ukafika hospital wakakuchukua dama ya kwenye mkono hlafu ukaona majibu yanachelewa ukiuliza uakajibiwa majibu yako tayari lkn kabla ya kukupa ukaulizwa umekuja na nani ndo utajua haujui
UKWELI MCHUNGU SANA HUUKama wewe mgonjwa au umefiwa na mumeo sawa Ila Kama wewe ni mwanamke miaka 22 na ni under 40 sio mgonjwa na hujafiwa na mmeo huwezi kuwa single.
Tunadanganyana jamani hakuna mwanamke ambaye yupo single tusidanganyane tuambiane ukweli wanaume walio single wapo wengi Ila wanawake walio single hakuna labda kwa sifa nilizoziweka hapo juu.
Mimi binafsi nikiwa katika maongezi ya kawaida na demu akaniambia yupo single huwa namchana live kwamba aache uongo sijawahi kuwa mnafiki kwa hili usingle ukiwa mwanamke ni vigumu Sana sana.
Upo single simu imejaa mapassord kila mahali, Simu ikipigwa hupokei ukiwa umekaaa na mwanaume mwingine, sms zipo silence, ukipigiwa unaenda kupokea simu chooni wewe upo single wewe?
Eti nipo single upo single wewe unaimbwa mademu acheni Kama yupo aliye single aje hapa akanushe we upo single upo kwenye jukwaa la mapenzi Jamii forums.
Si mseme tu kwamba mpo na watu ambao sio mliowaota kuwa nao pale zamani.
Teh...teh..,[emoji3][emoji3][emoji3]
Mimi ninae wangu wife material namkula peke anguzama hizi hakuna wife material, hakuna
Wapo, mimi nimemuona juzi..zama hizi hakuna wife material, hakuna
unaweza kukuta ni ex wangu !Wapo, mimi nimemuona juzi..
🤣Hiyo ni ajali kazini tu mzee baba. Siwezi kuacha kuchakata mkuu
Ebu ni fafanulie hii kivileee....au ndio kusema itategemea na mfuko wa mtongozaji😂😂Niko single lkn sio kivilee
Aisee kweli hapendwi mtu kinapendwa ulichonachoKuwa single inategemea na nani ameniuliza😂😂😂😂
Nani kasemaAisee kweli hapendwi mtu kinapendwa ulichonacho