Wee sii upo single?Hahahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee sii upo single?Hahahaha
Yeah..vere singleWee sii upo single?
Hatari hawa viumbe, hawawezi lala njaaHivi karibuni kuna demu wangu,aliniomba pesa nikamuahidi kumtumia hapo baadae,baada ya Mda flani akaniandikia SMS Kua asante pesa nimepokea ,Mimi nikamuambia poa,kumbe katumiwa nanjema nyingine ambayo sote tuliapngwa kutuma pesa,Ila mwenzangu katangulia kutuma demu kadhani Mimi.
Aiseee....Yeah..vere single
Pumba, umejitahidi lakiniKama wewe mgonjwa au umefiwa na mumeo sawa Ila Kama wewe ni mwanamke miaka 22 na ni under 40 sio mgonjwa na hujafiwa na mmeo huwezi kuwa single.
Tunadanganyana jamani hakuna mwanamke ambaye yupo single tusidanganyane tuambiane ukweli wanaume walio single wapo wengi Ila wanawake walio single hakuna labda kwa sifa nilizoziweka hapo juu.
Mimi binafsi nikiwa katika maongezi ya kawaida na demu akaniambia yupo single huwa namchana live kwamba aache uongo sijawahi kuwa mnafiki kwa hili usingle ukiwa mwanamke ni vigumu Sana sana.
Upo single simu imejaa mapassord kila mahali, Simu ikipigwa hupokei ukiwa umekaaa na mwanaume mwingine, sms zipo silence, ukipigiwa unaenda kupokea simu chooni wewe upo single wewe?
Eti nipo single upo single wewe unaimbwa mademu acheni Kama yupo aliye single aje hapa akanushe we upo single upo kwenye jukwaa la mapenzi Jamii forums.
Si mseme tu kwamba mpo na watu ambao sio mliowaota kuwa nao pale zamani.
Teh...teh..,😀😀😀
Hakuna hata alipojitahidiPumba, umejitahidi lakini
Aisee noma sanaHakuna hata alipojitahidi
Umri wa kuwa na mahusiano ni upi labdaaa kwa mfanoKwan n sheria kuwa na mahusiano ndugu ikiwa umefika umri huo ?
Swali lako halina uhusiano na nilichouliza.Umri wa kuwa na mahusiano ni upi labdaaa kwa mfano
Anhaaa okee okeeeSwali lako halina uhusiano na nilichouliza.
Ukishajiona upo tayari kuwa na mahusiano huo ndio umri sahihi.