Wewe umesemaNani kasema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe umesemaNani kasema
Aisee...Kuwa single inategemea na nani ameniuliza😂😂😂😂
😂😂😂JiraniAisee...
Mchana mwema jirani 😀 😀😂😂😂Jirani
Nawe piaMchana mwema jirani 😀 😀
My love@sophy27 nimekumiss sana mpaka naumwa!Nawe pia
Likizo? Hapana.Labda wapo half-time tu.Mwanamke kua single wapo Ila wachache Sana Sana yupo kwenye likizo ya mapenzi
Aache ushambaUmepigwa na kitu kizito sasa balaa linawashukia madem.wote
SafiYaani naenda moj akwa moja kwenye pointi ikishindikana basi sitaki story.
Mm pia kipenzMy love@sophy27 nimekumiss sana mpaka naumwa!
Mkuu wanatakaga wabembelezwe, sasa ukaidi wako unakukosesha vingiHahaha umenichekesha sana kiukweli ndivyo ilivyo Dem MMOJA Kwa siku anatongozwa na wanaume 5 makadirio awe mzuri au mbaya Tena mzuri Ndo balaaa kabisa. Ndivyo ilivyo yaani huwezi kukuta mwanamke singo Ndo maana at m nikitongoza akikataa sibembelezi nakausha mazima. Ili mambo yasiwe mengi
Hivi karibuni kuna demu wangu,aliniomba pesa nikamuahidi kumtumia hapo baadae,baada ya Mda flani akaniandikia SMS Kua asante pesa nimepokea ,Mimi nikamuambia poa,kumbe katumiwa nanjema nyingine ambayo sote tuliapngwa kutuma pesa,Ila mwenzangu katangulia kutuma demu kadhani Mimi.
Si yule mwenye nanii fulani hivi! Atakuwa ndiyo yeye.unaweza kukuta ni ex wangu !
Kwani wanawake mnasemaje?? mbona mpo km hampo??? kufanywa mfanywe nyie halafu msijitokeze!! jamani ila kusema kwweli me tumezidi….mie nilipiga mahesabu ya haraka haraka mademu zangu! heeee!Wewe umesema