Tusidanganyane hakuna nafasi ya Simba kushinda

Tusidanganyane hakuna nafasi ya Simba kushinda

Wakuu

Ingawa ni ukweli dawa chungu ndo inayoponya, basi hatuna budi kuupokea ukweli huu

Ukimuuliza hata mgunda hapo bado atakwambia the same hawajui watashinda vipi!

Team ipo ipo tu imepoteza matumaini mbele ya wenzao yanga
Wamezidiwa kila kitu kwanzia
Quality ya wachezaji
Benchi la ufundi
Mafanikio
Takwimu

Robertinho unatakiwa kujua Nabi ameshafukuzisha makocha kadhaa hapo mpaka Madam CEO kwahiyo mwenzako akinyolewa wewe tia maji

Kocha kama wewe ilikuwaje ukaifundisha team ya masela na wahuni kama simba? Kikundi tu cha walevi wa wanzuki kimekutana yaani umewezaje?

Kila la kheri kwenye maisha yako mapya nje ya hao wanywa wanzuki.

Leta matokeo….!!
 
Hizo ni zile zama za kina Mzee Akilimali kukomowana.

At least mechi Yanga iliyofungwa 4 kwa 1 Simba walikuwa na kikosi kizuri walistahili ushindi, ila hiyo mechi nyingine ni fitina tu.

Hata wanaotaka Mangungu ang'olewe wakiamuwa utashangaa utakachokiona jumapili, hilo ndilo tatizo la timu za kariakoo.
Ukhali gani
 
Wewe hakuna unachokijuwa kwenye timu za Kariakoo.

Yanga wavurugaji lilikuwa na Mzee Akilimali na Yusuph Mzima, wakati Simba kuna Mzee Kilomoni na kundi lake na kuna mwanachama wanawaunga mkono.

Rais wa Yanga Eng Hersi yupo madarakani na nathubutu kusema wana Yanga wote hawana kinyongo naye.

Lakini Mwenyekiti wa Simba Mangungu ameshinda uchaguzi kwa kuleta uhuni wake aliotoka nao Ccm wa kupachiga masanduku ya kura fake.

Mwanachama wa Simba wengine wana hasira na Mangungu, sasa uamuzi ni wao, waibebe timu yao kwanza au mechi hii ndio itumike kumwadhibu? Maana Mangungu licha ya kushinda kwa bila za kiccm lakini aliahidi akishinda basi ataifunga Yanga, sasa hapa ndio kwenye mtego wa panya.
Kawqfunga sasa unlipi jipya?
 
Back
Top Bottom