Tusidanganyane kwa Kiwango cha Vipers FC, Kiwango cha Wachezaji wa Uganda na Ubora wa Kocha Wao hata Simba SC nayo ingefungwa tu

Tusidanganyane kwa Kiwango cha Vipers FC, Kiwango cha Wachezaji wa Uganda na Ubora wa Kocha Wao hata Simba SC nayo ingefungwa tu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Kiutani GENTAMYCINE nawacheka mno Yanga SC na nimefurahi sana kwa Kufungwa Kwako ki 'Beauty Beauty' Goli ( Bao ) Mbili za Vipers FC ila tukiondoa Utani Wetu wa Simba na Yanga kwa ninavyowajua Waganda, walivyowekeza katika Soka na kuwa very Serious hata Simba SC yangu ingecheza nao Leo nayo ( nasi ) tungefungwa vile vile na huenda hata kwa Magoli zaidi ya Waliyofungwa Yanga SC ( Watani zetu )

Kwanini Yanga SC leo imefungwa na Timu za Tanzania kuanzia ya Taifa ( Taifa Stars ) na hata Simba SC yangu huwa zinafungwa mno na Uganda ( Klabu za Uganda ) ni kwamba Sisi Tanzania Soka letu tumeliwekeza zaidi katika Siasa, Majungu, Utapeli ( Uwongo ) na Propaganda wakati Uganda ( Waganda ) Wao Soka lao wameliwekeza zaidi katika Ufundi, Utaalam, Mikakati na Maandalizi ya Kimsingi ya Kukuza Vipaji vya Wachezaji wao tokea Ngazi za Shule za Msingi, Upili na hata Vyuo Vikuu.
 
Kiutani GENTAMYCINE nawacheka mno Yanga SC na nimefurahi sana kwa Kufungwa Kwako ki 'Beauty Beauty' Goli ( Bao ) Mbili za Vipers FC ila tukiondoa Utani Wetu wa Simba na Yanga kwa ninavyowajua Waganda, walivyowekeza katika Soka na kuwa very Serious hata Simba SC yangu ingecheza nao Leo nayo ( nasi ) tungefungwa vile vile na huenda hata kwa Magoli zaidi ya Waliyofungwa Yanga SC ( Watani zetu )

Kwanini Yanga SC leo imefungwa na Timu za Tanzania kuanzia ya Taifa ( Taifa Stars ) na hata Simba SC yangu huwa zinafungwa mno na Uganda ( Klabu za Uganda ) ni kwamba Sisi Tanzania Soka letu tumeliwekeza zaidi katika Siasa, Majungu, Utapeli ( Uwongo ) na Propaganda wakati Uganda ( Waganda ) Wao Soka lao wameliwekeza zaidi katika Ufundi, Utaalam, Mikakati na Maandalizi ya Kimsingi ya Kukuza Vipaji vya Wachezaji wao tokea Ngazi za Shule za Msingi, Upili na hata Vyuo Vikuu.
Hiyo vipers,ura,express sport club villa...zimefikia hatua gani kimataifa kwa miaka ya karibuni?twende kitakwimu.
 
Kiutani GENTAMYCINE nawacheka mno Yanga SC na nimefurahi sana kwa Kufungwa Kwako ki 'Beauty Beauty' Goli ( Bao ) Mbili za Vipers FC ila tukiondoa Utani Wetu wa Simba na Yanga kwa ninavyowajua Waganda, walivyowekeza katika Soka na kuwa very Serious hata Simba SC yangu ingecheza nao Leo nayo ( nasi ) tungefungwa vile vile na huenda hata kwa Magoli zaidi ya Waliyofungwa Yanga SC ( Watani zetu )

Kwanini Yanga SC leo imefungwa na Timu za Tanzania kuanzia ya Taifa ( Taifa Stars ) na hata Simba SC yangu huwa zinafungwa mno na Uganda ( Klabu za Uganda ) ni kwamba Sisi Tanzania Soka letu tumeliwekeza zaidi katika Siasa, Majungu, Utapeli ( Uwongo ) na Propaganda wakati Uganda ( Waganda ) Wao Soka lao wameliwekeza zaidi katika Ufundi, Utaalam, Mikakati na Maandalizi ya Kimsingi ya Kukuza Vipaji vya Wachezaji wao tokea Ngazi za Shule za Msingi, Upili na hata Vyuo Vikuu.
Acha ujuaji wewe, kwa kiwango gani walichonacho Vipers cha kuitetemesha Simba!!!??? Fungua nyuzi zako za vijembe, Soka ni taaluma, waachie wajuzi.
 
account ya GENTAMYCINE imedukuliwa au ? 😂 leo sa 12 asubuhi kaweka uzi wa kumponda dewji na sasa ni uzi huu, nimeingia jukwaa hili kimachale nikitegemea ntakuta uzi wake wa kusherekea kufungwa kwa yanga ila ni tofauti 😂 hongera mkuu, kumbe wewe unajua mpira sio kuwa shabiki mnazi ambae hawezi kuona hata ukweli kisa ushabiki
 
Kiutani GENTAMYCINE nawacheka mno Yanga SC na nimefurahi sana kwa Kufungwa Kwako ki 'Beauty Beauty' Goli ( Bao ) Mbili za Vipers FC ila tukiondoa Utani Wetu wa Simba na Yanga kwa ninavyowajua Waganda, walivyowekeza katika Soka na kuwa very Serious hata Simba SC yangu ingecheza nao Leo nayo ( nasi ) tungefungwa vile vile na huenda hata kwa Magoli zaidi ya Waliyofungwa Yanga SC ( Watani zetu )

Kwanini Yanga SC leo imefungwa na Timu za Tanzania kuanzia ya Taifa ( Taifa Stars ) na hata Simba SC yangu huwa zinafungwa mno na Uganda ( Klabu za Uganda ) ni kwamba Sisi Tanzania Soka letu tumeliwekeza zaidi katika Siasa, Majungu, Utapeli ( Uwongo ) na Propaganda wakati Uganda ( Waganda ) Wao Soka lao wameliwekeza zaidi katika Ufundi, Utaalam, Mikakati na Maandalizi ya Kimsingi ya Kukuza Vipaji vya Wachezaji wao tokea Ngazi za Shule za Msingi, Upili na hata Vyuo Vikuu.
Kwanini hujameza dawa leo?
 
Vipers walikuwa bora ila timu iliyofungwa ilikuwa ina ubora ila ubora wao uliishia kupiga pasi nyingi ili kuwarusha mashabiki

Vipers wana beki ngumu hilo ndilo tu apaswa kupongeza sana na wapo very tactical na hilo linajulikana kwamba waganda kwa techiniqueza ball wanatuzidi watz.Wachezaji wa Tz hawawezi hata kuisoma timu pinzani ina udhaifu upi unategemea watamudu kumfunga mganda kirahisi?

Kiukweli nimemkubali kocha wa vipers yupo so tecniqual ameonesha mpira sio kukimbiakimbia kama mlevi bali kutulia na kutafuta how to score kwa kuyatumia madhaifu ya mpinzani wako.

Last season nilisema timu hii ni mbovu inapwaya sehemu ya Kkungo cha chini leo wamekuwa exposed nimetambua kocha wa vipers aliwasoma sana Yanga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kiutani GENTAMYCINE nawacheka mno Yanga SC na nimefurahi sana kwa Kufungwa Kwako ki 'Beauty Beauty' Goli ( Bao ) Mbili za Vipers FC ila tukiondoa Utani Wetu wa Simba na Yanga kwa ninavyowajua Waganda, walivyowekeza katika Soka na kuwa very Serious hata Simba SC yangu ingecheza nao Leo nayo ( nasi ) tungefungwa vile vile na huenda hata kwa Magoli zaidi ya Waliyofungwa Yanga SC ( Watani zetu )

Kwanini Yanga SC leo imefungwa na Timu za Tanzania kuanzia ya Taifa ( Taifa Stars ) na hata Simba SC yangu huwa zinafungwa mno na Uganda ( Klabu za Uganda ) ni kwamba Sisi Tanzania Soka letu tumeliwekeza zaidi katika Siasa, Majungu, Utapeli ( Uwongo ) na Propaganda wakati Uganda ( Waganda ) Wao Soka lao wameliwekeza zaidi katika Ufundi, Utaalam, Mikakati na Maandalizi ya Kimsingi ya Kukuza Vipaji vya Wachezaji wao tokea Ngazi za Shule za Msingi, Upili na hata Vyuo Vikuu.
Yanga tumejifunza mengi hivyo tusubiri mtaona
 
Hili jamaa bwege sana Kwa sababu tunatumia majina bandia ila. ndio Yale machawa yanajifanya yanajua kila kitu
Pamoja na Ubwege wangu ila 24/7 huachi Kunifuatilia hapa JamiiForums kwa Kusoma na Kuchangia Mada zangu.

Nakuuliza Swali hixi Likes zako nyingi Kwangu nikiwa naizungumzia vyema Simba SC huwa nakutwa pia Bweve au Wote sasa huwa tunakuwa Mabwege?

Hunipendi halafu Kutwa Unanifuatilia hopa JamiiForums je, nikisema Wewe ni Mental Case na una Funza Ubongoni mwako nitakuwa nakosea?

Huna Akili.
 
Pamoja na Ubwege wangu ila 24/7 huachi Kunifuatilia hapa JamiiForums kwa Kusoma na Kuchangia Mada zangu.

Nakuuliza Swali hixi Likes zako nyingi Kwangu nikiwa naizungumzia vyema Simba SC huwa nakutwa pia Bweve au Wote sasa huwa tunakuwa Mabwege?

Hunipendi halafu Kutwa Unanifuatilia hopa JamiiForums je, nikisema Wewe ni Mental Case na una Funza Ubongoni mwako nitakuwa nakosea?

Huna Akili.
Una nini Cha kufatilia hivi jf ingekuwa unatoa.mada unalipia usingekuwa na Uzi hata mmoja kwanza nakuona kama ni mwezi mchanga
 
Back
Top Bottom