haki ya Mungu tenah
Ukweli tanzania ni chukiDuuuh kama ni hivyo basi yule Mohamed Samatta (Kaka yake Mbwana) wa Mbeya City atakua na Miaka 40, na Baba yao anaweza kuwa na Miaka 80....Hata hivyo mpongeze kwa kupiga mpira mkubwa kwenye umri wa miaka 35 (Haahahahah) . Chuki ikizidi sana, mishipa ya damu inaacha kupeleka damu kwenye Ubongo...
Kwa wakati ule alikua dogo sana below 202009 sio juZi ni miaka 10 nyuma
Pumbavu nyie mnaofuatilia mambo ya watu na kuyapotosha.
Hata ukisema Samatta ana miaka 90, humpunguzii kitu.
Drogba kishafanikiwa samatta yupo anasaka mafanikio
actualy unatseka mkuu shida yako nin kwan ulianz na 40 saiz 34 ...Basi ana 34
Mwenye juhudi kupitia jasho lake na afanikiwe mm nani mpaka nipende fulani afanikiwe nani asifanikiwe?