Tusidanganyane: Samatta ana miaka zaidi ya 35; mtazame yeye kisha mtazame Drogba

Tusidanganyane: Samatta ana miaka zaidi ya 35; mtazame yeye kisha mtazame Drogba

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
5908D085-058D-41C1-892E-52F5880356FF.jpeg
8FCED10D-7353-45F6-9F66-D63C1269FD3F.jpeg

Hii kusema eti anamiaka 26 ni uwongo uliopitiliza
 
Duuuh kama ni hivyo basi yule Mohamed Samatta (Kaka yake Mbwana) wa Mbeya City atakua na Miaka 40, na Baba yao anaweza kuwa na Miaka 80....Hata hivyo mpongeze kwa kupiga mpira mkubwa kwenye umri wa miaka 35 (Haahahahah) . Chuki ikizidi sana, mishipa ya damu inaacha kupeleka damu kwenye Ubongo...
 
Duuuh kama ni hivyo basi yule Mohamed Samatta (Kaka yake Mbwana) wa Mbeya City atakua na Miaka 40, na Baba yao anaweza kuwa na Miaka 80....Hata hivyo mpongeze kwa kupiga mpira mkubwa kwenye umri wa miaka 35 (Haahahahah) . Chuki ikizidi sana, mishipa ya damu inaacha kupeleka damu kwenye Ubongo...
Ukweli tanzania ni chuki
 
Hujajibu ungependa yupi kati ya hao afanikiwe? Mafanaikio hayana mwisho.
Mwenye juhudi kupitia jasho lake na afanikiwe mm nani mpaka nipende fulani afanikiwe nani asifanikiwe?
 
Mwenye juhudi kupitia jasho lake na afanikiwe mm nani mpaka nipende fulani afanikiwe nani asifanikiwe?


Kwa hiyo kwako hakuna tofauti kati ya kufanikiwa kwa Samata na Drogba?
 
Back
Top Bottom