GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kwakuwa nimeisifia leo Yanga SC yako au?Una akili sana popoma
😆😆Kwakuwa nimeisifia leo Yanga SC yako au?
Oya nilikuwa nakutafutaKwakuwa nimeisifia leo Yanga SC yako au?
"Comparison is a thief of joy".Sijazoea Unafiki na najua kwa huu Ukweli wangu nitachukiwa mno na wasiopenda Ukweli na Wadau wa Unafiki.
Yanga SC wametuzidi Simba SC kwa Jezi nzuri katika Michuano ya Kimataifa inayoenda kuanza hivi karibuni.
UTOPOLO huwa hamjifichi!Mwamba Agiza safari baridi utalipa
Wewe sasa ndiyo GENTAMYCINE The King! Kijana mhitimu wa SAUT!! Siyo yule Popoma GENTAMYCIME!!Sijazoea Unafiki na najua kwa huu Ukweli wangu nitachukiwa mno na wasiopenda Ukweli na Wadau wa Unafiki.
Yanga SC wametuzidi Simba SC kwa Jezi nzuri katika Michuano ya Kimataifa inayoenda kuanza hivi karibuni.