Tusidanganyane wala Kuficha Uzi wa Yanga SC kwa CAFCL ni mzuri kuliko Wetu wa Simba SC wa CC

Tusidanganyane wala Kuficha Uzi wa Yanga SC kwa CAFCL ni mzuri kuliko Wetu wa Simba SC wa CC

hahahaha! mimi sio TISS kama wengi wanavyonidhania bali ni Gen Z wa kibongo niliyepigwa na maisha. msalimie mseven mwambie nami nipo mbioni kuja huko uganda kumfuatilia streika hatari kutoka hapo nchini kwake aje kumuongezea nguvu Prince M Dube.
Kwanini TISS wa Siku hizi hamjui Kujificha?
 
Mimi ni Mshabiki wa Simba ila ni kweli jezi za Simba SC ni za HOVYO SANA

Utafikiri ya matangazo ya MPESA
 
Back
Top Bottom