Tusidanganyane wala kupeana matumaini, fainali CAF Confederation imeisha leo kwa Mkapa

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Kuna watu wajinga sana tena wanajifanya watu wa mpira, eti yanga ina nafasi kule ugenini, pumbav* kweli.

Umati wa washabiki wa USM watakaojazana kwao ni mara 10 ya hapa leo, vitisho na mikwara ndio usiseme.

Yaani Yanga akamfunge mwarabu 2-0 kule kwao, tena kombe mezani? Nitahama nchi hii.
 
Wanaosema Yanga anaenda kushinda sio wale wanaobeti.

Yanga sio kama wajinga kabisa, kuna area wanakuwa na caution sana huwa hawakurupuki kiboya.

Mimi na wewe tunaweza tukawaona viande ila zipo sector hawa watu wanakua mbele ya muda.
 
Mtu ana jiita magufuri afu ana tegemea atushawishi
 
Nikajua utaleta sababu za kimbinu na kiufundi kumbe unazungumzia umati na vitisho vya mashabiki. Ingekuwa mashabiki wanasaidia kushinda basi leo Yanga ingepata ushindi, mechi ya Wydad vs Simba, mashabiki wa Wydad wlijazana uwanjani lakini mwisho wakashika tama hawaamini kinachoendelea uwanjani. Mpira ni mbinu na kujipanga, na kutofanya makosa na kutumia nafasi. Hivyo bado Yanga ikijipanga vyema anaweza akashinda away. Ilishafanya hivyo, uwezo wa kushinda away upo, na haitokuwa mara kwanza kushinda away dhidi ya timu ya kiarabu. Kuna dakika 90 zingine kila mmoja kuzitumia
 
Watu wanaweka ushabiki mbele k.mk uhalisia wanauacha nyuma eti Kule tunachomoa hayo maajabu hamnaga.
 
Umeandika point NAKUPONGEZA. Una hoja
Kasoro matusi tu.

Usipende kutumia lugha za kuudhi, matusi na Lugha chafu.

Muungwana ni vitendo.
 
Yanga wakipindua meza Algeria nitafanya kitu cha kisenge ambacho sijawahi kufanya maisha yangu yote.... 2025 nitaipigia kura ccm *****
 
Kuna member hili jukwaa limegeuka kama kituo cha police ajabu asubuhi walilichangamkia sana!
 
Mara 10 ya hapa kwani wana uwanja unaingiza watu 600000?
Au ubongo umejaa maandazi!!!na uhame nchi uende wapi?
Baku hapa hapa yanga iendelee kukunyoosha. UMBWA WE
 
Kivumbi Na Jasho Leo Ni Leo


Chalii Cha Mende, Hakuna Namna
 
Nilishuhudia matokeo ya ajabu ya mpira;

1999 Buyern Munich vs Manchester United 2-1 UEFA CL kwa dakika chache tu.

2007 AC Milan vs Liverpool 3-3 UEFA CL kwa come back ya Liverpool second half time.

2010 Intermilan 1-0 Barcelona UEFA CL kwa idadi ya Wachezaji 10 dhidi ya Wazee wa Nou Camp 11 kwa pasi tele na soka maridadi.

2019 Liverpool vs Barcelona 4-0 UEFA CL.

2022 Argentina vs France WORLD CUP baada ya dakika 5 tu kubadili upepo na timu kwenda dakika 120 hadi kwenye matuta.

03/06/2023 Yanga bado ana 50% kupindua meza kimatokeo na kushinda maana mpira huwa unadunda na ni mchezo wa kimakosa kwa timu yoyote.



Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
"Umati wa washabiki wa USM watakaojazana kwao ni mara 10 ya hapa leo, vitisho na mikwara ndio usiseme."

Kivipi mara 10 unayozungumzia ndugu?uwanja wao ni mdogo
 

Attachments

  • Screenshot_2023-05-28-21-17-42-391-edit_com.android.chrome.jpg
    141.7 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…