Leonel Ateba Mbinda
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 644
- 2,695
Kuna watu wajinga sana tena wanajifanya watu wa mpira, eti yanga ina nafasi kule ugenini, pumbav* kweli.
Umati wa washabiki wa USM watakaojazana kwao ni mara 10 ya hapa leo, vitisho na mikwara ndio usiseme.
Yaani Yanga akamfunge mwarabu 2-0 kule kwao, tena kombe mezani? Nitahama nchi hii.
Umati wa washabiki wa USM watakaojazana kwao ni mara 10 ya hapa leo, vitisho na mikwara ndio usiseme.
Yaani Yanga akamfunge mwarabu 2-0 kule kwao, tena kombe mezani? Nitahama nchi hii.