GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
oya popoma upo
[emoji3][emoji3] mbona umeanza wew kuntusi[emoji706][emoji706][emoji706]Subiri upokee jibu kwa mikono yako miwili usishangae anakujibu “ Sipo nimetoka kidogo na mama yako akirudi muulize tulikua wapi “
[emoji3][emoji3] mbona umeanza wew kuntusi[emoji706][emoji706][emoji706]
Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said hivi unajua kuwa umewakwaza mno 99% ya wana Yanga SC ambao hadi sasa wako roho juu kujua kama Mayele anabakia au anaondoka?
Hapo kwa Gift Fred hakuna Mchezaji.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hakuna shaka mkuuMkuu mimi nimetoa tu mfano kukutukana siwezi
Yanga hakuna wajinga kama weweHuu utambulisho wa yanga yangu mwaka huu hata sijaelewa, walianza kutambulisha wasemaji, wakaja kutambulisha wapishi, wakaja kutambulisha walinzi huku wenzetu wanatambulisha wachezaji sisi tunazunguruka tu hapana waangalie sana tusikate tamaa kama tajiri wa wekundu
Jamaa upo kama sigara kali, wewe si uliyeleta uzi Yanga wamefungiwa kusajili.Sasa hivi umebadilika.Rais wa Yanga SC Injinia Hersi Said hivi unajua kuwa umewakwaza mno 99% ya wana Yanga SC ambao hadi sasa wako roho juu kujua kama Mayele anabakia au anaondoka?
Hapo kwa Gift Fred hakuna Mchezaji.
Kila baada ya dakika 2 anakuja na mada ya umbea kuhusu Yanga! Halafu akiitwa Popoma eti anakasirika.Ni msimu wa nyuzi za popoma
Popoma linatamba saivNi msimu wa nyuzi za popoma