Tusifurahie kufungwa kwa Mwana CCM, hakuna anayejua atayefuatia....

Tusifurahie kufungwa kwa Mwana CCM, hakuna anayejua atayefuatia....

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Kada wa CCM amehukumiwa miaka saba jela na faini ya mamilioni kwa kile kinachosemekana ni kutoa maoni Yake kuhusu Utendaji wa Mwenyekiti wake ambaye pia ni Raisi.

Wapo wanashangilia jambo hili ila ukweli ni kwamba, kama Watu wanazuiwa kutoa "maoni" basi hakuna aliyesalama na ni suala la muda tu utafikiwa.

Inasemekana kuwa alisema "hata hili nalo limekushida"! Kama kweli hiki ndicho alichozungumza na akafungwa miaka saba na faini juu basi tunatakiwa wote kuombolezea.

Kwa mtazamo Wangu, asiyeshindwa jambo ni Mwenyezi MUNGU peke yake, ndivyo wengi tunavyoamini, kwa mantiki hio kama hakukua na kuwindana (maana CCM wenyewe kwa wenyewe hawaachiani Maji mezani) basi tutakua kwenye nyakati za Giza sana.

Tusimame kupigania haki ya kujieleza kwa Uhuru, huyu Mwana CCM ni Binadamu regardless ya maujinga Yao dhidi ya Upinzani ila tuungane kukataa ujinga wa kutishana na kufungana kizembe...who is next?
 
Freedom of speech haipo kabisa awamu hii kama wanavyotaka tuamini.

Mfano mzuri ni Ndugai na wengibeo kilichowakuta sote ni mashahidi.

Viongozi wetu wanaogopa sana kukosolewa wanaona wakikosolewa ni kama kunyanganywa heshima yao jambo ambalo sio kweli na ni kinyume cha miongozo tuliyojiwekea kama Taifa.
 
Awamu ipi ilikuwepo?
Freedom of speech haipo kabisa awamu hii kama wanavyotaka tuamini.

Mfano mzuri ni Ndugai na wengibeo kilichowakuta sote ni mashahidi.

Viongozi wetu wanaogopa sana kukosolewa wanaona wakikosolewa ni kama kunyanganywa heshima yao jambo ambalo sio kweli na ni kinyume cha miongozo tuliyojiwekea kama Taifa.
 
Tujifunze uvumilivu, na tuwe tunaangalia aina ya viongozi, bt mh jakaya kikwete alivumila mengi, na Cha msingi tuwe na mipaka hasa katika swala Zima la kukosoa,tusome nyakati na viongozi wetu wawe wavumilivu kwani kuongoza watu million Zaid ya 55,Kuna watu WA aina mbalimbali huwezi kuwabadili tabia bt ukipongezwa Kwa mazur na mabaya nayo ypokee na uyafanyie kazi
 
Kada wa CCM amehukumiwa miaka saba jela na faini ya mamilioni kwa kile kinachosemekana ni kutoa maoni Yake kuhusu Utendaji wa Mwenyekiti wake ambaye pia ni Raisi.

Wapo wanashangilia jambo hili ila ukweli ni kwamba, kama Watu wanazuiwa kutoa "maoni" basi hakuna aliyesalama na ni suala la muda tu utafikiwa.

Inasemekana kuwa alisema "hata hili nalo limekushida"! Kama kweli hiki ndicho alichozungumza na akafungwa miaka saba na faini juu basi tunatakiwa wote kuombolezea. Kwa mtazamo Wangu, asiyeshindwa jambo ni Mwenyezi MUNGU peke yake, ndivyo wengi tunavyoamini, kwa mantiki hio kama hakukua na kuwindana (maana CCM wenyewe kwa wenyewe hawaachiani Maji mezani) basi tutakua kwenye nyakati za Giza sana.

Tusimame kupigania haki ya kujieleza kwa Uhuru, huyu Mwana CCM ni Binadamu regardless ya maujinga Yao dhidi ya Upinzani ila tuungane kukataa ujinga wa kutishana na kufungana kizembe...who is next?
Wanaccm walikuwa wakifurahi zile sheria wakati zinatungwa. Wao akili zao ziliwatuma wametungiwa wapinzani
 
Kada wa CCM amehukumiwa miaka saba jela na faini ya mamilioni kwa kile kinachosemekana ni kutoa maoni Yake kuhusu Utendaji wa Mwenyekiti wake ambaye pia ni Raisi.

Wapo wanashangilia jambo hili ila ukweli ni kwamba, kama Watu wanazuiwa kutoa "maoni" basi hakuna aliyesalama na ni suala la muda tu utafikiwa.

Inasemekana kuwa alisema "hata hili nalo limekushida"! Kama kweli hiki ndicho alichozungumza na akafungwa miaka saba na faini juu basi tunatakiwa wote kuombolezea. Kwa mtazamo Wangu, asiyeshindwa jambo ni Mwenyezi MUNGU peke yake, ndivyo wengi tunavyoamini, kwa mantiki hio kama hakukua na kuwindana (maana CCM wenyewe kwa wenyewe hawaachiani Maji mezani) basi tutakua kwenye nyakati za Giza sana.

Tusimame kupigania haki ya kujieleza kwa Uhuru, huyu Mwana CCM ni Binadamu regardless ya maujinga Yao dhidi ya Upinzani ila tuungane kukataa ujinga wa kutishana na kufungana kizembe...who is next?
Fufungane sana kwani wakati wakifungwa wapinzani walifurahi na kuona haiwahusu😂
 
Freedom of speech haipo kabisa awamu hii kama wanavyotaka tuamini.

Mfano mzuri ni Ndugai na wengibeo kilichowakuta sote ni mashahidi.

Viongozi wetu wanaogopa sana kukosolewa wanaona wakikosolewa ni kama kunyanganywa heshima yao jambo ambalo sio kweli na ni kinyume cha miongozo tuliyojiwekea kama Taifa.
Bado wewe tu🤔🤔wanakulia timing tu🤣
 
Vijana wa Ccm hawana heshima hivyo naomba waendelee kukamatwa ili wawe na heshima

Huwezi kutukana watu then ubaki salama
 
Back
Top Bottom