Tusifurahie kufungwa kwa Mwana CCM, hakuna anayejua atayefuatia....

Tusifurahie kufungwa kwa Mwana CCM, hakuna anayejua atayefuatia....

Mbona hiyo ni tabia waliyoanzia kwa wapinzani sasa imerudi kuwatafuna wenyewe, hii issue imeonekana ya ajabu kwasababu aliyetafunwa ni mwenzao, lakini kama angekuwa wa tofauti, hakuna ambaye angeshangaa.
Kwani wewe unajua alichofungiwa?
 
Mpaka sasa huna uhakika amefungwa kwa sababu gani? Hapo hapo unatushawishi tulaani hiyo hukumu? Sasa uoni kuwa huo utakuwa ujuha kulaani kitu usichokijua?
Sawa Asante, siko kwenye mood ya kubishana na MBWA! Nimekuelewa Boss
 
Are you sure ni mwana CCM? Why would a true CCM go badmouthing his President? Inakuingia akilini, au ni yale ya Hamza. Either way there is no reason to defend idiots or dogooder activists. He got what he deserves, do not ask me to put myself in his shoes because I have no plans to defame Her Excellency.
Endelea na kiingereza chako cha "ugoko"!
 

Attachments

  • IMG-20221022-WA0015.jpg
    IMG-20221022-WA0015.jpg
    55.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom