Tusifurahie kufungwa kwa Mwana CCM, hakuna anayejua atayefuatia....

Tusifurahie kufungwa kwa Mwana CCM, hakuna anayejua atayefuatia....

Freedom of speech haipo kabisa awamu hii kama wanavyotaka tuamini.

Mfano mzuri ni Ndugai na wengibeo kilichowakuta sote ni mashahidi.

Viongozi wetu wanaogopa sana kukosolewa wanaona wakikosolewa ni kama kunyanganywa heshima yao jambo ambalo sio kweli na ni kinyume cha miongozo tuliyojiwekea kama Taifa.
Vipi mzee magufuli nae alipenda kukosolewa? Acha unafiki wewe
 
Hizi sheria tulizipinga lakiji uvccm walisema wakomeshwe hao.

Ukweli ni kuwa sheria ,iliizotungwa kuanzia 2015 hadi 2020 zikisimamiwa ipasavyo wanaccm wanengi wataozea jela.
Sheria zote zilizopitishwa kwa kilichoitwa hati za dharura ni kitanzi hata kwa waasisi wake japo walijipa kinga zakutoshitakiwa🥱Na siri ya kwanini katiba mpya ni mwiba mchungu ni yaliyolengwa kwenye zile sheria za hati za dharura hapa jobo na aliyekuwa msaidizi wake laana iwafute popote walipo Duniani au kwingineko 🥱
 
Kada wa CCM amehukumiwa miaka saba jela na faini ya mamilioni kwa kile kinachosemekana ni kutoa maoni Yake kuhusu Utendaji wa Mwenyekiti wake ambaye pia ni Raisi.

Wapo wanashangilia jambo hili ila ukweli ni kwamba, kama Watu wanazuiwa kutoa "maoni" basi hakuna aliyesalama na ni suala la muda tu utafikiwa.

Inasemekana kuwa alisema "hata hili nalo limekushida"! Kama kweli hiki ndicho alichozungumza na akafungwa miaka saba na faini juu basi tunatakiwa wote kuombolezea. Kwa mtazamo Wangu, asiyeshindwa jambo ni Mwenyezi MUNGU peke yake, ndivyo wengi tunavyoamini, kwa mantiki hio kama hakukua na kuwindana (maana CCM wenyewe kwa wenyewe hawaachiani Maji mezani) basi tutakua kwenye nyakati za Giza sana.

Tusimame kupigania haki ya kujieleza kwa Uhuru, huyu Mwana CCM ni Binadamu regardless ya maujinga Yao dhidi ya Upinzani ila tuungane kukataa ujinga wa kutishana na kufungana kizembe...who is next?

Alitakiwa anyongwe. Hao ndio wanatetea uovu nchini .
 
Page ya kwanza imeisha sijui ni nani anayezungumziwa hapa.Kwel mambo mengi yananipita sasa
 
Kada wa CCM amehukumiwa miaka saba jela na faini ya mamilioni kwa kile kinachosemekana ni kutoa maoni Yake kuhusu Utendaji wa Mwenyekiti wake ambaye pia ni Raisi.

Wapo wanashangilia jambo hili ila ukweli ni kwamba, kama Watu wanazuiwa kutoa "maoni" basi hakuna aliyesalama na ni suala la muda tu utafikiwa.

Inasemekana kuwa alisema "hata hili nalo limekushida"! Kama kweli hiki ndicho alichozungumza na akafungwa miaka saba na faini juu basi tunatakiwa wote kuombolezea. Kwa mtazamo Wangu, asiyeshindwa jambo ni Mwenyezi MUNGU peke yake, ndivyo wengi tunavyoamini, kwa mantiki hio kama hakukua na kuwindana (maana CCM wenyewe kwa wenyewe hawaachiani Maji mezani) basi tutakua kwenye nyakati za Giza sana.

Tusimame kupigania haki ya kujieleza kwa Uhuru, huyu Mwana CCM ni Binadamu regardless ya maujinga Yao dhidi ya Upinzani ila tuungane kukataa ujinga wa kutishana na kufungana kizembe...who is next?
Anayefuatia mwingine yeyote atakayefanya upumbavu km alioufanya huyo aliyefungwa. Huon hata aibu kutetea upuuzi km huo? Umtukane Rais? Hata raia mwenzio huruhusiwi kumtukana au kumdhalilisha. We umekulia mazingira ya aina gani mbona wa hovyo hivyo
 
Kada wa CCM amehukumiwa miaka saba jela na faini ya mamilioni kwa kile kinachosemekana ni kutoa maoni Yake kuhusu Utendaji wa Mwenyekiti wake ambaye pia ni Raisi.

Wapo wanashangilia jambo hili ila ukweli ni kwamba, kama Watu wanazuiwa kutoa "maoni" basi hakuna aliyesalama na ni suala la muda tu utafikiwa.

Inasemekana kuwa alisema "hata hili nalo limekushida"! Kama kweli hiki ndicho alichozungumza na akafungwa miaka saba na faini juu basi tunatakiwa wote kuombolezea. Kwa mtazamo Wangu, asiyeshindwa jambo ni Mwenyezi MUNGU peke yake, ndivyo wengi tunavyoamini, kwa mantiki hio kama hakukua na kuwindana (maana CCM wenyewe kwa wenyewe hawaachiani Maji mezani) basi tutakua kwenye nyakati za Giza sana.

Tusimame kupigania haki ya kujieleza kwa Uhuru, huyu Mwana CCM ni Binadamu regardless ya maujinga Yao dhidi ya Upinzani ila tuungane kukataa ujinga wa kutishana na kufungana kizembe...who is next?
Are you sure ni mwana CCM? Why would a true CCM go badmouthing his President? Inakuingia akilini, au ni yale ya Hamza. Either way there is no reason to defend idiots or dogooder activists. He got what he deserves, do not ask me to put myself in his shoes because I have no plans to defame Her Excellency.
 
Awamu ya 5 ilikuwepo?
Freedom of speech haipo kabisa awamu hii kama wanavyotaka tuamini.

Mfano mzuri ni Ndugai na wengibeo kilichowakuta sote ni mashahidi.

Viongozi wetu wanaogopa sana kukosolewa wanaona wakikosolewa ni kama kunyanganywa heshima yao jambo ambalo sio kweli na ni kinyume cha miongozo tuliyojiwekea kama Taifa.
 
Kada wa CCM amehukumiwa miaka saba jela na faini ya mamilioni kwa kile kinachosemekana ni kutoa maoni Yake kuhusu Utendaji wa Mwenyekiti wake ambaye pia ni Raisi.

Wapo wanashangilia jambo hili ila ukweli ni kwamba, kama Watu wanazuiwa kutoa "maoni" basi hakuna aliyesalama na ni suala la muda tu utafikiwa.

Inasemekana kuwa alisema "hata hili nalo limekushida"! Kama kweli hiki ndicho alichozungumza na akafungwa miaka saba na faini juu basi tunatakiwa wote kuombolezea. Kwa mtazamo Wangu, asiyeshindwa jambo ni Mwenyezi MUNGU peke yake, ndivyo wengi tunavyoamini, kwa mantiki hio kama hakukua na kuwindana (maana CCM wenyewe kwa wenyewe hawaachiani Maji mezani) basi tutakua kwenye nyakati za Giza sana.

Tusimame kupigania haki ya kujieleza kwa Uhuru, huyu Mwana CCM ni Binadamu regardless ya maujinga Yao dhidi ya Upinzani ila tuungane kukataa ujinga wa kutishana na kufungana kizembe...who is next?
Fisi kaanza kutafuna watoto wake kwa kisingizio wananuka harufu ya mbuzi.

Weeeeeeeeeel done, Funga ma CCM yasiyo na adabu
 
Kada wa CCM amehukumiwa miaka saba jela na faini ya mamilioni kwa kile kinachosemekana ni kutoa maoni Yake kuhusu Utendaji wa Mwenyekiti wake ambaye pia ni Raisi.

Wapo wanashangilia jambo hili ila ukweli ni kwamba, kama Watu wanazuiwa kutoa "maoni" basi hakuna aliyesalama na ni suala la muda tu utafikiwa.

Inasemekana kuwa alisema "hata hili nalo limekushida"! Kama kweli hiki ndicho alichozungumza na akafungwa miaka saba na faini juu basi tunatakiwa wote kuombolezea. Kwa mtazamo Wangu, asiyeshindwa jambo ni Mwenyezi MUNGU peke yake, ndivyo wengi tunavyoamini, kwa mantiki hio kama hakukua na kuwindana (maana CCM wenyewe kwa wenyewe hawaachiani Maji mezani) basi tutakua kwenye nyakati za Giza sana.

Tusimame kupigania haki ya kujieleza kwa Uhuru, huyu Mwana CCM ni Binadamu regardless ya maujinga Yao dhidi ya Upinzani ila tuungane kukataa ujinga wa kutishana na kufungana kizembe...who is next?
Shetani hana rafiki
 
Are you sure ni mwana CCM? Why would a true CCM go badmouthing his President? Inakuingia akilini, au ni yale ya Hamza. Either way there is no reason to defend idiots or dogooder activists. He got what he deserves, do not ask me to put myself in his shoes because I have no plans to defame Her Excellency.
Ni mwanaccm kindaki ndani watu wanamjua vizuri sana
 
Kada wa CCM amehukumiwa miaka saba jela na faini ya mamilioni kwa kile kinachosemekana ni kutoa maoni Yake kuhusu Utendaji wa Mwenyekiti wake ambaye pia ni Raisi.

Wapo wanashangilia jambo hili ila ukweli ni kwamba, kama Watu wanazuiwa kutoa "maoni" basi hakuna aliyesalama na ni suala la muda tu utafikiwa.

Inasemekana kuwa alisema "hata hili nalo limekushida"! Kama kweli hiki ndicho alichozungumza na akafungwa miaka saba na faini juu basi tunatakiwa wote kuombolezea. Kwa mtazamo Wangu, asiyeshindwa jambo ni Mwenyezi MUNGU peke yake, ndivyo wengi tunavyoamini, kwa mantiki hio kama hakukua na kuwindana (maana CCM wenyewe kwa wenyewe hawaachiani Maji mezani) basi tutakua kwenye nyakati za Giza sana.

Tusimame kupigania haki ya kujieleza kwa Uhuru, huyu Mwana CCM ni Binadamu regardless ya maujinga Yao dhidi ya Upinzani ila tuungane kukataa ujinga wa kutishana na kufungana kizembe...who is next?
Mpaka sasa huna uhakika amefungwa kwa sababu gani? Hapo hapo unatushawishi tulaani hiyo hukumu? Sasa uoni kuwa huo utakuwa ujuha kulaani kitu usichokijua?
 
Back
Top Bottom