MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Waliomfuata ni.....
Mzee Ali Hassan Mwinyi: Baba wa Mageuzi Tanzania.
Hayati Benjamin William Mkapa: Baba wa Uchumi Tanzania.
Mzee Jakaya Mrisho Kikwete: Baba wa Mapinduzi ya Kilimo Tanzania.
Hayati Dkt. John Pombe Magufuli: Baba wa Utekelezaji wa Miundombinu Tanzania.
All - Rounder ( alias ) Brainiac: Kaka Muona mbali Kifikra, Mkosoaji wa Upuuzi na Upumbavu unaofanyika na Mshauri Mwandamizi wa Masuala Mtambuka ya Tanzania.
Namalizia kwa Kusisitiza tena kuwa Baba wa Taifa wa Tanzania ni Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere tu na si mwingine na tafadhali hili lisipotoshwe na Wapuuzi fulani waliojawa na Unafiki mwingi Kipindi hiki Kigumu cha Majonzi na Maombolezo.
Imeisha hiyo!!
Mzee Ali Hassan Mwinyi: Baba wa Mageuzi Tanzania.
Hayati Benjamin William Mkapa: Baba wa Uchumi Tanzania.
Mzee Jakaya Mrisho Kikwete: Baba wa Mapinduzi ya Kilimo Tanzania.
Hayati Dkt. John Pombe Magufuli: Baba wa Utekelezaji wa Miundombinu Tanzania.
All - Rounder ( alias ) Brainiac: Kaka Muona mbali Kifikra, Mkosoaji wa Upuuzi na Upumbavu unaofanyika na Mshauri Mwandamizi wa Masuala Mtambuka ya Tanzania.
Namalizia kwa Kusisitiza tena kuwa Baba wa Taifa wa Tanzania ni Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere tu na si mwingine na tafadhali hili lisipotoshwe na Wapuuzi fulani waliojawa na Unafiki mwingi Kipindi hiki Kigumu cha Majonzi na Maombolezo.
Imeisha hiyo!!