May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
- Thread starter
- #21
Wala kwa sasa hakuna haja ya kuwatafuta Wachina watufunze ili hali kuna mengi bado tunaweza kujifunza wenyewe.
Na tuna Watu waliosoma uhandisi wa mitambo mbalimbali, hivi iweje hata hawana uwezo wa kushauri Watu kutengeneza mashine ndogo ndogo tu za nyumbani?
Kuna comment nimetoa mfano wa bidhaa kama soksi, mikanda ya kiunoni, nguo za ndani n.k....hivi hatuwezi kuwaongezea ujuzi wale kina Mama wanaofuma Masweta wakafuma na soksi zitakazofikia walau 70% ya ubora kama zile zinazotoka nje?.
Bidhaa yoyote ikipokelewa kwa wingi na jamii basi kidogokidogo na Watengenezaji wataimarika na kuongeza ubunifu wao, sambamba na kupunguza gharama zao za uzalishaji wa bidhaa hizo.
Haya yaende sambamba na kutengeneza kizazi kinachothamini bidhaa za ndani.
Na tuna Watu waliosoma uhandisi wa mitambo mbalimbali, hivi iweje hata hawana uwezo wa kushauri Watu kutengeneza mashine ndogo ndogo tu za nyumbani?
Kuna comment nimetoa mfano wa bidhaa kama soksi, mikanda ya kiunoni, nguo za ndani n.k....hivi hatuwezi kuwaongezea ujuzi wale kina Mama wanaofuma Masweta wakafuma na soksi zitakazofikia walau 70% ya ubora kama zile zinazotoka nje?.
Bidhaa yoyote ikipokelewa kwa wingi na jamii basi kidogokidogo na Watengenezaji wataimarika na kuongeza ubunifu wao, sambamba na kupunguza gharama zao za uzalishaji wa bidhaa hizo.
Haya yaende sambamba na kutengeneza kizazi kinachothamini bidhaa za ndani.