Tusijisaulishe, Waarabu washafika Tanzania

Tusijisaulishe, Waarabu washafika Tanzania

Nebuchadneza

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2023
Posts
435
Reaction score
1,093
Nawasalimu..

Jamaa wapo tayari Bongo, wamekuja mapema sana, huwa hawanaga mbambamba kwenye suala la mtoano.

Winga zao viberenge wenye kasi ya farasi wapo, najiuliza hivi wale wazee wa kushoto Kulia wataweza kuwazuia kweli?

Alafu nasikia wanataka kumtumia yule kipa majeruhi kucheza mechi hii, au wanafikiri wanacheza na singida? Ule ukuta wayeriko bado upo?

Mwishowe, siku ya saba, wakiisha kuuzunguka mji mara saba, tarumbeta yalia, watu wa vita wanapiga kelele, na kuta zaanguka. Ndipo Yoshua anasema: ‘Ueni kila mtu mjini. Okoeni tu fedha, dhahabu, shaba na chuma, mvipeleke kwenye hazina ya hema ya Yehova.’

Asema bwana ndio itakavyokuwa na iwe hivyo.
 
Nakumbusha tu..hao waarabu watafika sanaa tu Dar..acha ujinga
 
FB_IMG_1682646137959 (3).jpg
 
IMG_8024.jpeg


YANGA Ina mashabiki WAPUMBAVU.

YANGA Ina mashabiki Wajinga.

YANGA Ina mashabiki ambao hawajasoma na hawajaenda shule.
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
 
Nawasalimu..

Jamaa wapo tayari Bongo, wamekuja mapema sana, huwa hawanaga mbambamba kwenye suala la mtoano.

Winga zao viberenge wenye kasi ya farasi wapo, najiuliza hivi wale wazee wa kushoto Kulia wataweza kuwazuia kweli?

Alafu nasikia wanataka kumtumia yule kipa majeruhi kucheza mechi hii, au wanafikiri wanacheza na singida? Ule ukuta wayeriko bado upo?

Mwishowe, siku ya saba, wakiisha kuuzunguka mji mara saba, tarumbeta yalia, watu wa vita wanapiga kelele, na kuta zaanguka. Ndipo Yoshua anasema: ‘Ueni kila mtu mjini. Okoeni tu fedha, dhahabu, shaba na chuma, mvipeleke kwenye hazina ya hema ya Yehova.’

Asema bwana ndio itakavyokuwa na iwe hivyo.
Mbona muandiko kama wa Juma lokole
 
Back
Top Bottom