Majina mazito mazito haya ni kielelezo kamili cha wapigania haki wenye kutukuka. Nini kisimame mbele ya watu kama hao kuzuia haki kutamalaki?
Nini thamani ya maisha ya awaye yote kama ukosefu wa haki ndiyo unaozidi kuota mizizi?
Nini kimetupata watanzania sisi leo kutokuwa na kizazi cha waungwana firebrand kama hawa katika jamii yetu?
Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua.
Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji.
Mengine tuyaonayo ni yatokanayo tu.
Nini thamani ya maisha ya awaye yote kama ukosefu wa haki ndiyo unaozidi kuota mizizi?
Nini kimetupata watanzania sisi leo kutokuwa na kizazi cha waungwana firebrand kama hawa katika jamii yetu?
Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua.
Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji.
Mengine tuyaonayo ni yatokanayo tu.