- Thread starter
- #21
Kufika 2025 hizi thread humu Zita enda na ntu tena ntu nzito serikali I .
Na ikawe hivyo, inshallah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufika 2025 hizi thread humu Zita enda na ntu tena ntu nzito serikali I .
Prof Chachage ni mmoja kati ya wahanga wa UKIMWI wa mapema sana. Baada ya ndoa yake kuvunjika miaka ya mwishoni mwa 1990s alikuwa ni mtu wa ku date na changu doa wa zile baa 2 maarufu za Mwenge moja ikiitwa Lufungira na nyingine nimesahau jina.Kuvunjika kwa koleo hakujawahi kuwa mwisho wa uhunzi.
Kufa siyo mwisho wa kuwapo duniani. Walikufa kina Tutu, Mtikila, Mandela na wengine. Lakini tungali tukiuliza walipo.
Hata kina Kimaro na Sarungi kimwili walishakufa. Harakati zao zilikufa pia?
Yuko wapi Prof. Chachage?
"Wanamapinduzi hawafi. Hata wakifa mizimu yao huendeleza mapambano." -- Fidel Castro.
Habari ndiyo hiyo.
Kifo ni kifo haijalishi sababu.Prof Chachage ni mmoja kati ya wahanga wa UKIMWI wa mapema sana. Baada ya ndoa yake kuvunjika miaka ya mwishoni mwa 1990s alikuwa ni mtu wa ku date na changu doa wa zile baa 2 maarufu za Mwenge moja ikiitwa Lufungira na nyingine nimesahau jina.
Hafai,hata Marehemu Mtikila alikuwa mbaguzi dhidi ya Watutsi na Wahindi wetu wa Tanzania.Julius Malema hatokuja kupewa nafasi ya kutawala SA.
Uzuri wa harakati za karne hii hata wewe ukiacha woga unaweza hamasisha na kuamrisha kundi kuleta mabadiliko!Majina mazito mazito haya ni kielelezo kamili cha wapigania haki wenye kutukuka. Nini kisimame mbele ya watu kama hao kuzuia haki kutamalaki?
View attachment 2330437
Nini thamani ya maisha ya awaye yote kama ukosefu wa haki ndiyo unaozidi kuota mizizi?
Nini kimetupata watanzania sisi leo kutokuwa na kizazi cha waungwana firebrand kama hawa katika jamii yetu?
View attachment 2330438
Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua.
Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji.
Mengine tuyaonayo ni yatokanayo tu.
Uzuri wa harakati za karne hii hata wewe ukiacha woga unaweza hamasisha na kuamrisha kundi kuleta mabadiliko!
Fanya majaribio na hili la kodi na tozo!
Hafai,hata Marehemu Mtikila alikuwa mbaguzi dhidi ya Watutsi na Wahindi wetu wa Tanzania.
Mtikila kafa kipindi smartphone hazijatapakaa.Majina mazito mazito haya ni kielelezo kamili cha wapigania haki wenye kutukuka. Nini kisimame mbele ya watu kama hao kuzuia haki kutamalaki?
View attachment 2330437
Nini thamani ya maisha ya awaye yote kama ukosefu wa haki ndiyo unaozidi kuota mizizi?
Nini kimetupata watanzania sisi leo kutokuwa na kizazi cha waungwana firebrand kama hawa katika jamii yetu?
View attachment 2330438
Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua.
Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji.
Mengine tuyaonayo ni yatokanayo tu.
Mtikila kafa kipindi smartphone hazijatapakaa.
Ingekua shida huyu mzee
Igongwe Bar, ma profesa wengi wa UDSM walipatia UKIMWI paleProf Chachage ni mmoja kati ya wahanga wa UKIMWI wa mapema sana. Baada ya ndoa yake kuvunjika miaka ya mwishoni mwa 1990s alikuwa ni mtu wa ku date na changu doa wa zile baa 2 maarufu za Mwenge moja ikiitwa Lufungira na nyingine nimesahau jina.
Mtikila alikuwa mtu na nusu.....aliona vitu vingi ambavyo watu wengi walichelewa kuvionaMajina mazito mazito haya ni kielelezo kamili cha wapigania haki wenye kutukuka. Nini kisimame mbele ya watu kama hao kuzuia haki kutamalaki?
View attachment 2330437
Nini thamani ya maisha ya awaye yote kama ukosefu wa haki ndiyo unaozidi kuota mizizi?
Nini kimetupata watanzania sisi leo kutokuwa na kizazi cha waungwana firebrand kama hawa katika jamii yetu?
View attachment 2330438
Harakati huongozwa, haziwezi kuja (spontaneously) kama mvua.
Kadamnasi lisililokuwa na viongozi thabiti ni sawa na kundi la kondoo bila Mchungaji.
Mengine tuyaonayo ni yatokanayo tu.
We jamaa na tabiri zako..mwaka umeshafika na hakuna kituKufika 2025 hizi thread humu Zita enda na ntu tena ntu nzito serikali I .
Mtikila alikuwa mtu na nusu.....aliona vitu vingi ambavyo watu wengi walichelewa kuviona
Nakubaliana na weweHata Lissu ni aina ya watu hao:
Lissu ndilo tegemeo tulilo nalo kwenye kuikomboa nchi hii sasa
Angalia pia zilikuwa nyuzi za lini ..
Nakubaliana na wewe
Kuna Mwamba anaitwa Molemo. Alikuwa active wakati wa Kesi ya Mwamba. Akapotea karudi JuziSasa Kuta list ya kina @malicolm lumumba, Retiree, Alen Kilewela, Karamu, Erythrocytes, Drlfter, Fortila, Fundi Nchundo, wasomi maswahiba wa mwamba hao wanavyomchukia, heri jiwe!
imhotep, JokaKuu, binti kiziwi, Pascal au nasema uongo?