Tusimulie love story yako kwa kifupi tujifunze

Love story yangu ilianzia bafuni miaka ya 1990's wakati naoga ile kujisafisha sehemu za siri nikasikia utaaam flani hv,
basi nikagusa mara imooooooooo
siku inayofuata hata sikuwa na mambo mengi nikaanza kupiga punyeto rasmi na mpaka sasa nina furaha tele kuishi na punyeto wangu mana hajawahi kuni-let me down
 
Rule
Yangu always no. Moja nikiachana na mtu Huwa sibakiz chochote futa kila kitu number, pic za pamoja na kadhalika inaanza upya.
Wengine hupost pic na caption tam tam ambazo hukujua Kama anaweza andika lengo Ni uumie na ujute kumpoteze
Mkaachana futa everything for your safe mental health
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
hatari Sana [emoji23][emoji23]
 
Short and clear
 
Mkuu ww ni mshairi?? Maana sio kwa vina hvyo
 
Bando ni lako?
Haijalishi kama ni la kwako au umeazimwa.Ni pale tu uingiapo JF ni vema ukajiweka kifikra changamfu.Siyo unasoma hoja halafu unatoa komenti kama hauna kichwa unafikiria kwa kutumia mabega.Ingawa,hiyo ni hiyari yako.Najaribu kukubadilisha usiwe mtu wa komenti za kucheka tu.Jenga hoja ukue kiakili.Siyo amri lakini.
 
Afisa kipenyo??
 
Muosha name huoshwa
 
Kuna mrembo nilimtokea nilitaka weka kambi mazima akakubali ila mbeleni akaleta ile kujitoa nikaona hapa sina changu. Nikayapokea matokeo maisha yakaendelea akawa ana post status kibao za furaha na mtu mwingine. Kila siku mafuraha yake kwa status mpaka nikaona hii anataka kunivuruga. Naona sahivi ana post status za masononeko yaani zile za Mungu ni simamie kwa magumu haya, mara majuto mara nini hahh mm nasoma tu then napita huyoo hata simjulii hali anashindwa hata kuficha anayopitia

Leo kapost hii πŸ‘‡πŸ»πŸ‘‡πŸ»

 
M
Ni mbaya sana sijui tunakoelekea. Halafu unakuta yuko chuo. Ukimsahihisha anakuambia mimi sio mwalimu. Kwenye mitandao hii ya kijamii kuna 70%
Tuandalieni thread ya miandiko itasaidia.
 
Dawa imeanza kutembea kwenye mishipa yake ya damu kwa usahihi.Usimtingishe utaangushiwa lawama.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dawa imeanza kutembea kwenye mishipa yake ya damu kwa usahihi.Usimtingishe utaangushiwa lawama.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi kimya sema status zimefutika muda umeisha ningeuona uzi mapema ningezi screenshot mapema na kuzi attached hapo km hiyo. Noma mm wala simtafuti nasoma tu status zake. Atajijua mwenyewe. Maisha yaendeleee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…