Yangu always no. Moja nikiachana na mtu Huwa sibakiz chochote futa kila kitu number, pic za pamoja na kadhalika inaanza upya.Hatukutafutana, kila mtu kivyake hakuna kujuana.
Japo kupitia whatsap niliziona status, mara nyingine anipige vijembe mpaka basi.
Kuna siku moja alipost nikaona dalili, kuwa tayari kashapata bwana wapili.
Sikutaka kuumiza kichwa, kwani kila siku alikuwa akipost picha.
Status ziliwekwa maneno ya nyodo, eti chini ya mnazi kaokota dodo.
Sikuwa na wivu nilimuacha atambe, alisema ana date na wasomi sio waliokimbia umande.
Mwanzo alianza kumuita class mate, na kuwa wamefaulu na kupata the same grade.
Hajui mi kwake nishafunga gate, hata anitambie vipi haniumizi head.
Akapost eti walokole wakidate, hawapaswi kuitana baby.
Akamtag na jamaa kimafumbo, akampa sifa za mambo lundo.
Siku zikapita, upepo ukabadilika.
Status sa huzuni zikaongezeka, kuonesha kwenye hilo penzi anateseka.
Zile status za kejeli zilikoma, kuonesha hata yeye namba anaisoma.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Love story yangu ilianzia bafuni miaka ya 1990's wakati naoga ile kujisafisha sehemu za siri nikasikia utaaam flani hv,
basi nikagusa mara imooooooooo
siku inayofuata hata sikuwa na mambo mengi nikaanza kupiga punyeto rasmi na mpaka sasa nina furaha tele kuishi na punyeto wangu mana hajawahi kuni-let me down
hatari Sana [emoji23][emoji23]Love story yangu ilianzia bafuni miaka ya 1990's wakati naoga ile kujisafisha sehemu za siri nikasikia utaaam flani hv,
basi nikagusa mara imooooooooo
siku inayofuata hata sikuwa na mambo mengi nikaanza kupiga punyeto rasmi na mpaka sasa nina furaha tele kuishi na punyeto wangu mana hajawahi kuni-let me down
Short and clearNilimwona nikadhani malaika wazam Yuko duniani
Nikamtamani kwa uzuri uliopitiliza
Nikatongoza - ikagoma
Nikatongoza - nikapewa shit
Nikatongoza - nikapewa namba
Uhusiano - miez 1 na nusu
Omba mzigo - kachomoa
Omba mzigo - ntakuja kukutembelea.
Nikateleza[emoji39]
Akakagua simu - akapata presha
Nikaomba gemu - mizungusho mingi.
Nikazuga naumwa - akaja nikasuuza mjegeje[emoji39]
Nikakuta sms kwenye simu yake katumiwa "yako tamu "
Nikamind nikapiga chini.
Nasaka mwingine now
Mkuu ww ni mshairi?? Maana sio kwa vina hvyoHatukutafutana, kila mtu kivyake hakuna kujuana.
Japo kupitia whatsap niliziona status, mara nyingine anipige vijembe mpaka basi.
Kuna siku moja alipost nikaona dalili, kuwa tayari kashapata bwana wapili.
Sikutaka kuumiza kichwa, kwani kila siku alikuwa akipost picha.
Status ziliwekwa maneno ya nyodo, eti chini ya mnazi kaokota dodo.
Sikuwa na wivu nilimuacha atambe, alisema ana date na wasomi sio waliokimbia umande.
Mwanzo alianza kumuita class mate, na kuwa wamefaulu na kupata the same grade.
Hajui mi kwake nishafunga gate, hata anitambie vipi haniumizi head.
Akapost eti walokole wakidate, hawapaswi kuitana baby.
Akamtag na jamaa kimafumbo, akampa sifa za mambo lundo.
Siku zikapita, upepo ukabadilika.
Status sa huzuni zikaongezeka, kuonesha kwenye hilo penzi anateseka.
Zile status za kejeli zilikoma, kuonesha hata yeye namba anaisoma.
Wewe ni nani?? mod au?? usinpangie cha kuandikaHuwa una sentensi moja tu uliyoikariri kichwani?
Kumbe unazo zingine?Wewe ni nani?? mod au?? usinpangie cha kuandika
Wewe huna?Kumbe unazo zingine?
Uwe unatoa maoni ya kueleweka.Siyo unaandika kijisentensi kimoja kisicho na akili kwa kurudiarudia.Unapaswa uchangamshe akili tuone unatumia makamasi yako kwa kiwango gani.Wewe huna?
Bando ni lako?Uwe unatoa maoni ya kueleweka.Siyo unaandika kijisentensi kimoja kisicho na akili kwa kurudiarudia.Unapaswa uchangamshe akili tuone unatumia makamasi yako kwa kiwango gani.
Haijalishi kama ni la kwako au umeazimwa.Ni pale tu uingiapo JF ni vema ukajiweka kifikra changamfu.Siyo unasoma hoja halafu unatoa komenti kama hauna kichwa unafikiria kwa kutumia mabega.Ingawa,hiyo ni hiyari yako.Najaribu kukubadilisha usiwe mtu wa komenti za kucheka tu.Jenga hoja ukue kiakili.Siyo amri lakini.Bando ni lako?
Ni mbaya sana sijui tunakoelekea. Halafu unakuta yuko chuo. Ukimsahihisha anakuambia mimi sio mwalimu. Kwenye mitandao hii ya kijamii kuna 70%Nakagua alama za uandishi...
Mpaka sasa hali ni mbaya kwa vijana wetu.
Afisa kipenyo??Haijalishi kama ni la kwako au umeazimwa.Ni pale tu uingiapo JF ni vema ukajiweka kifikra changamfu.Siyo unasoma hoja halafu unatoa komenti kama hauna kichwa unafikiria kwa kutumia mabega.Ingawa,hiyo ni hiyari yako.Najaribu kukubadilisha usiwe mtu wa komenti za kucheka tu.Jenga hoja ukue kiakili.Siyo amri lakini.
Kalaghabaho!Afisa kipenyo??
Muosha name huoshwaHatukutafutana, kila mtu kivyake hakuna kujuana.
Japo kupitia whatsap niliziona status, mara nyingine anipige vijembe mpaka basi.
Kuna siku moja alipost nikaona dalili, kuwa tayari kashapata bwana wapili.
Sikutaka kuumiza kichwa, kwani kila siku alikuwa akipost picha.
Status ziliwekwa maneno ya nyodo, eti chini ya mnazi kaokota dodo.
Sikuwa na wivu nilimuacha atambe, alisema ana date na wasomi sio waliokimbia umande.
Mwanzo alianza kumuita class mate, na kuwa wamefaulu na kupata the same grade.
Hajui mi kwake nishafunga gate, hata anitambie vipi haniumizi head.
Akapost eti walokole wakidate, hawapaswi kuitana baby.
Akamtag na jamaa kimafumbo, akampa sifa za mambo lundo.
Siku zikapita, upepo ukabadilika.
Status sa huzuni zikaongezeka, kuonesha kwenye hilo penzi anateseka.
Zile status za kejeli zilikoma, kuonesha hata yeye namba anaisoma.
Dawa imeanza kutembea kwenye mishipa yake ya damu kwa usahihi.Usimtingishe utaangushiwa lawama.ππππKuna mrembo nilimtokea nilitaka weka kambi mazima akakubali ila mbeleni akaleta ile kujitoa nikaona hapa sina changu. Nikayapokea matokeo maisha yakaendelea akawa ana post status kibao za furaha na mtu mwingine. Kila siku mafuraha yake kwa status mpaka nikaona hii anataka kunivuruga. Naona sahivi ana post status za masononeko yaani zile za Mungu ni simamie kwa magumu haya, mara majuto mara nini hahh mm nasoma tu then napita huyoo hata simjulii hali anashindwa hata kuficha anayopitia
Leo kapost hii ππ»ππ»
View attachment 2189130
Mimi kimya sema status zimefutika muda umeisha ningeuona uzi mapema ningezi screenshot mapema na kuzi attached hapo km hiyo. Noma mm wala simtafuti nasoma tu status zake. Atajijua mwenyewe. Maisha yaendeleee.Dawa imeanza kutembea kwenye mishipa yake ya damu kwa usahihi.Usimtingishe utaangushiwa lawama.ππππ