Tusimwadhibu Diamond Platnumz

Tusimwadhibu Diamond Platnumz

Thadei nawe acha kihelehele. Huyu ali side na wauaji, leo wenye akili hawawezi kumuunga mkono. It is that much simple! Unaside na Idd Amin, halafu kesho uwe nasi tulioteswa na Idd Amin? Thadei youa er so stupid nilikuwa sijagundua. Unajitiage kihelehele cha kuandika sana kumbe hovyo, can not reason well!
Huyu aliunga mkono UUAJI, leo asiadhibiwe?
Tutawakumbusha 2025 huu muda mnaopoteza kwa ishu za kijinga namna hii!

Badala ya muda huu mpiganie zile taasisimnazosemaga zinawanyima kura nyie mko busy na Mondi?

Kwa hiyo mondi akikosa hizo tuzo chadema inaenda ikulu?
 
From my understanding sio kwamba wanaharakati wanamwadhibu daimond kwa sababu ni mwana ccm, nimepitia tweets zo nyingi, shida ni kwamba daimond hakuwahi kusimama upande wa wananchi hata pale utawala ulipotenda maovu, umfano matukio machache tu hata kutekwa kwa Roma mkatoliki, mauaji ya wananchi, ukandamizwaji wa wa haki hakuwahi kupaza sauti badala yake alikaa kimya na kusimama upende wa watesi wa wananchi, hakuna mtu mwenye shida na uccm wa daimond

Watu wanalinganisha wasanii wa Nigeria kama akina Dovido, Burna boy walivyosimama na wananchi wakati wa mauaji na wanapata hamasa ya kuwasapoti wasanii wa namna hiyo

Sipo upande wa wanaharakati wala upande wa daimond ila nafhani tuwekane sawa

Mimi pia namsapoti Burna boy
Karibu
wananchi gani ulitaka diamond asimame nao? kilichotokea Nigeria na bongo ni sawa? wananchi wenyewe maandamano wanakaa ndani hata chooni hawaendi unataka uwatetee kwa kipi? Hao kina davido walipata nguvu sababu wananchi almost wote walitoka barabarani kupiga udhalimu ule. Ni chuki tu kwa jamaa hamna lolote wao wenyewe ni keyboard warrior hawatoki leo mtu maarufu kama yeye mnataka aweke maisha rehani.
 
wananchi gani ulitaka diamond asimame nao? kilichotokea Nigeria na bongo ni sawa? wananchi wenyewe maandamano wanakaa ndani hata chooni hawaendi unataka uwatetee kwa kipi? Hao kina davido walipata nguvu sababu wananchi almost wote walitoka barabarani kupiga udhalimu ule. Ni chuki tu kwa jamaa hamna lolote wao wenyewe ni keyboard warrior hawatoki leo mtu maarufu kama yeye mnataka aweke maisha rehani.
Ingetosha tu hata kuandika ujumbe mfupi kwa page zake, lakini he never did that, luunga wananchi mkono sio lazima muingie barabarani
 
Tanzania ni moja kati ya nchi kumi zenye umaskini wa kutupwa duniani ,

View attachment 1811728
watu wake wana matatizo makubwa , wenye chuki husda na wivu ndo mana ipo kwenye hyo rank . Mpaka alipofikia Diamond kapambana almost alone through out the entire music career battle ....na moja ya watu waliotaka kumkwamisha kabisa from the beggining ni wabongo wenyewe ...anakili wazi ilibid apitie Nigeria ili kuburst mpak kufikia hapo alipo.

watangazaji wa channel O walimwambia wazi I think ilikuwa 2013 or 2014 , kuwa kuna criticism kubwa Sana kutoka Tanzania Ngoma zako zisichezwe , na hyo ilifika mpak kwenye management, thanks to Mr Davido Kwa kumtoa alipokuwa.

Japo anajulikana Sana hapa bongo anakili wazi pia fans wake wakubwa wanaompatia mpunga mnene kwenye digital platform sio wabongo , Kwa East Africa ni Kenya na nchi zingine kule ambako wanamuelewa.

Christian Bella akihojiwa aliiweka was kuwa Diamond anajulikana Sana nje na kajitangaza Sana , na akaongeza pengine ni zaidi ya kipaji cha music huenda na ni nyota yake.

Mwana FA juzi kasema ukimuona msanii anapasua anga Kwa Tanzania tambua amepambana mwenyewe , no support at all..

Kwa jina lake watu wengi Sana wamefaidika na wanaendelea kunufaika direct and indirect. Kijana kazoea kupigana na hata hili atalipita ,petition hyo haina nguvu yyte kumuondoa kijana mpambanaji tokea tandale , petition ipo kisiasa zaidi na hata hzo hoja zao hazipo verified in international level, zaidi ya yote inamtangaza kimataifa.

Mpak alipofikia hakuna mtanzania wa kujisifu kuwa kamsaidia , jamaa kapambana mwenyewe na kuwa mtanzania ni jina Tu Ila hakutakiwa kuwa mtz Kwa jinsi tulivyo na roho mbaya.😋

Vote for Diamond Platnumz.
Acha huo uduanzi wako kuidhalilisha Tanzania ilimradi umtetee diamond.
Tanzania hatujafikia katika huo umasikini wa kutupwa,na hata top 20 ya umasikini hatupo... report ya global finance hii hapa
Screenshot_20210608-151833.png
Screenshot_20210608-152315.png
Screenshot_20210608-152327.png
 
Kiongozi muovu kwa mujibu wa nani?

Chadema ni wajimga sana aisee!

Yani unataka kila mtu afuate uanchokiamini wewe?

Yani viongozi wote kasoro Mbowe tu wamefanya mondi ndio agenda yao kuu! Alafu mnataka 2025 mshinde uchaguzi?
Kiongozi muovu kwa mujibu wa matendo yake. Cdm kiko kwenye operation zake na huku mitandaoni sio ofisi za cdm ww bendera fuata upepo. Ni wapi cdm wameongelea mambo ya Diamond kama chama? Au hujui lolote unarukia tu kila neno ukilisikia unalikimbilia?
 
Kiongozi muovu kwa mujibu wa matendo yake. Cdm kiko kwenye operation zake na huku mitandaoni sio ofisi za cdm ww bendera fuata upepo. Ni wapi cdm wameongelea mambo ya Diamond kama chama? Au hujui lolote unarukia tu kila neno ukilisikia unalikimbilia?
Unapoona Msigwa, Lema, Lisu na top leaders wengine wa chadema wameingia ulingoni kupambana na Diamond unategemea nini? Unautengaje msimamo wa Lisu na chadema?
 
Unapoona Msigwa, Lema, Lisu na top leaders wengine wa chadema wameingia ulingoni kupambana na Diamond unategemea nini? Unautengaje msimamo wa Lisu na chadema?

Kuna kikao chochote rasmi cha chama kimekaa kumjadili Diamond? Hao uliowataja leo wakisema ni washabiki wa simba au Yanga utasema ni msimamo wa cdm kushangilia hizo timu. Nakwambia ww ni bendera fuata upepo huamini.
 
Jamani mbona yeye amemkataa baba yake hamkupiga kelele leo nayeye hawamki acheni avune

20210526_175420.jpg
 
Kuna kikao chochote rasmi cha chama kimekaa kumjadili Diamond? Hao uliowataja leo wakisema ni washabiki wa simba au Yanga utasema ni msimamo wa cdm kushangilia hizo timu. Nakwambia ww ni bendera fuata upepo huamini.
Na ndio hapo sasa kama ishu ni kutetea haki Mbona simba na yanga zote wadhamini wao ni wana ccm ila sijawahi kuona hao viongozi wako wakisusia kushabikia Simaba au Yanga?

Yani timu nzima ya viongozi wa juu wa chadema eti wanashambulia huku na huko kisa diamond?
 
Na ndio hapo sasa kama ishu ni kutetea haki Mbona simba na yanga zote wadhamini wao ni wana ccm ila sijawahi kuona hao viongozi wako wakisusia kushabikia Simaba au Yanga?

Yani timu nzima ya viongozi wa juu wa chadema eti wanashambulia huku na huko kisa diamond?

Nikikuambia ww ni bendera fuata upepo naomba unielewe. Ulikuwa unasema ni cdm, nikakuambia hakuna popote cdm kama chama wamemjadili Diamond, sasa hivi unasema ni viongozi. Mbona Bananga na Prof J wamesema watampigia kura Diamond hujasema ni maagizo ya Cdm?

Hao viongozi wa simba walijihusisha moja kwa moja na siasa za dhalimu? Huyo Mo si ndio jiwe alimuagiza muovu mwingine bashite amteke? Acha kuwa bendera fuata upepo man, Diamond alijiweka kimbelembele kwenye siasa za dhalimu, acha sasa aonyeshwe siku nyingine asijihusishe na siasa za kiongozi muovu.
 
From my understanding sio kwamba wanaharakati wanamwadhibu daimond kwa sababu ni mwana ccm, nimepitia tweets zo nyingi, shida ni kwamba daimond hakuwahi kusimama upande wa wananchi hata pale utawala ulipotenda maovu, umfano matukio machache tu hata kutekwa kwa Roma mkatoliki, mauaji ya wananchi, ukandamizwaji wa wa haki hakuwahi kupaza sauti badala yake alikaa kimya na kusimama upende wa watesi wa wananchi, hakuna mtu mwenye shida na uccm wa daimond

Watu wanalinganisha wasanii wa Nigeria kama akina Dovido, Burna boy walivyosimama na wananchi wakati wa mauaji na wanapata hamasa ya kuwasapoti wasanii wa namna hiyo

Sipo upande wa wanaharakati wala upande wa daimond ila nafhani tuwekane sawa

Mimi pia namsapoti Burna boy
Karibu
Hawawezi kukuelewa hao, njoo tujadili vizuri hili swala inbobo
 
Hayo mambo yake na mabeberu yanatuhusu nini sisi "wanyonge"?
 
Na Thadei Ole Mushi.

Diamond 💎 Platnumz ni Moja ya wasanii wanaowania Tuzo toka BET Awards kwenye kipengele Cha International ACT.

Kwenye category yake yupo na wasanii wengine wakubwa tu toka maeneo mbalimbali Duniani.

Wasanii wanaoshindania Tuzo hiyo na Diamond ni Aya Nakamura toka France, Burma Boy toka Nigeria, Emicida toka Brazil, Headie one Toka UK, Wizkid toka Nigeria, Young T toka UK na Youssoupha toka France.

Fuata link kuona washindani wa Diamond.


Kwa jinsi walivyo na maeneo wanayotokea Diamond Platnumz ndiye Pekee anayetokea ukanda wa Africa Mashariki na Kati pamoja na Kusini mwa Africa. Kwa jinsi ilivyokaa Diamond angeliweza kushinda kama angelipata uungwaji mkono toka eneo analotokea.

Kilichotokea

Kwa sasa Kuna watanzania wanaoshinikiza BET kumwondoa Diamond kwenye kinyanganyiro Hicho kisa alishiriki kwenye Kampeni za 2021. Watanzania hawa wameanzisha Petition na wanasaini huko ili BET wamuondoe Diamond kwenye Award hizo. Link ifuatayo ni petition ya Watanzania kushinikiza Hilo.


Tunavyoongea watu 25,000 wameshasaini.

Huko nyuma Diamond aliwahi kuhojiwa kwa nn ameamua kuisapoti CCM akasema kuwa alifanya hivyo kwa kuwa yeye ni mwana CCM na hawezi kuacha kuiombea Kura.

Je kikatiba haukuwa haki Diamond kuwa na Itikadi ya Chama? Jibu ni Kuwa ana haki kabisa hivyo Hoja hii haina mashiko kabisa.

Hoja ya kwamba alishirikiana na Magufuli kama tukianza kuadhibu watu wote walioshirikiana na Magufuli Nani atakayebaki? Hata wapinzani wengine waliokuwa Serikalini kwa maana ya nafasi za kiutumishi kipindi Cha Awamu ya Tano walificha Kadi zao kabisa.

Hivi mlitaka Diamond ampinge JPM katika mazingira yaliyokuwepo angeponea wapi? Waliojaribu kufanya hivyo nini kiliwatokea?

Tusizime jitihada hizi za Naseeb.

Diamond katokea mbali Sana hadi kufikia hapo alipo. Ni mpambanaji haswa na amefanikiwa kuwabeba wenzake wengi tu. Naamini kama Kuna kijana wa kumsaidia afanikiwe basi ni Diamond kwa kuwa kila anapofanikiwa hushika wenzake mikono na kuwainua.

Nyuma yake wapo watu wengi Sana wananufaika na mafanikio yake. Tunaweza kuona kama tunamwadhibu yeye lakini wengi watakuwa wanaumia. Naamini kwa alipofikia hatakosa Pesa ya kula lakini Taifa linahitaji Sana mafanikio yake ili kwanza kulitangaza Taifa letu na kufungua Fursa nyingine za kiuchumi lakini Cha pili kutusaudia kuendelea kuajiri vijana wengine wanaomzunguka.

Hebu watanzania tufikirie tofauti. Tumsaidie afikie MALENGO makubwa zaidi.

Lakini Pia watanzania tusipende kushikiwa akili na watu eti Diamond nyimbo yake ya acha nikae kimya ulilenga kuwanyamazisha watu. Labda tuusikilize Tena na wabobezi wa fasihi wataelewa alichomaanisha Mondi.



Wenye petition hii waiondoe tusonge Mbele. Tusahau ya Nyuma tulijenge Taifa Letu.

Naomba kuwa Tofauti.

Ole Mushi
0712702602.

Hawa kina Maria Sarungi wanasema alikuwa Dikteta sijui nini hivi nchi nyongine yeye angekuwa salama? Hebu acheni kukumbatia wazungu!
 
Na Thadei Ole Mushi.

Diamond 💎 Platnumz ni Moja ya wasanii wanaowania Tuzo toka BET Awards kwenye kipengele Cha International ACT.

Kwenye category yake yupo na wasanii wengine wakubwa tu toka maeneo mbalimbali Duniani.

Wasanii wanaoshindania Tuzo hiyo na Diamond ni Aya Nakamura toka France, Burma Boy toka Nigeria, Emicida toka Brazil, Headie one Toka UK, Wizkid toka Nigeria, Young T toka UK na Youssoupha toka France.

Fuata link kuona washindani wa Diamond.


Kwa jinsi walivyo na maeneo wanayotokea Diamond Platnumz ndiye Pekee anayetokea ukanda wa Africa Mashariki na Kati pamoja na Kusini mwa Africa. Kwa jinsi ilivyokaa Diamond angeliweza kushinda kama angelipata uungwaji mkono toka eneo analotokea.

Kilichotokea

Kwa sasa Kuna watanzania wanaoshinikiza BET kumwondoa Diamond kwenye kinyanganyiro Hicho kisa alishiriki kwenye Kampeni za 2021. Watanzania hawa wameanzisha Petition na wanasaini huko ili BET wamuondoe Diamond kwenye Award hizo. Link ifuatayo ni petition ya Watanzania kushinikiza Hilo.


Tunavyoongea watu 25,000 wameshasaini.

Huko nyuma Diamond aliwahi kuhojiwa kwa nn ameamua kuisapoti CCM akasema kuwa alifanya hivyo kwa kuwa yeye ni mwana CCM na hawezi kuacha kuiombea Kura.

Je kikatiba haukuwa haki Diamond kuwa na Itikadi ya Chama? Jibu ni Kuwa ana haki kabisa hivyo Hoja hii haina mashiko kabisa.

Hoja ya kwamba alishirikiana na Magufuli kama tukianza kuadhibu watu wote walioshirikiana na Magufuli Nani atakayebaki? Hata wapinzani wengine waliokuwa Serikalini kwa maana ya nafasi za kiutumishi kipindi Cha Awamu ya Tano walificha Kadi zao kabisa.

Hivi mlitaka Diamond ampinge JPM katika mazingira yaliyokuwepo angeponea wapi? Waliojaribu kufanya hivyo nini kiliwatokea?

Tusizime jitihada hizi za Naseeb.

Diamond katokea mbali Sana hadi kufikia hapo alipo. Ni mpambanaji haswa na amefanikiwa kuwabeba wenzake wengi tu. Naamini kama Kuna kijana wa kumsaidia afanikiwe basi ni Diamond kwa kuwa kila anapofanikiwa hushika wenzake mikono na kuwainua.

Nyuma yake wapo watu wengi Sana wananufaika na mafanikio yake. Tunaweza kuona kama tunamwadhibu yeye lakini wengi watakuwa wanaumia. Naamini kwa alipofikia hatakosa Pesa ya kula lakini Taifa linahitaji Sana mafanikio yake ili kwanza kulitangaza Taifa letu na kufungua Fursa nyingine za kiuchumi lakini Cha pili kutusaudia kuendelea kuajiri vijana wengine wanaomzunguka.

Hebu watanzania tufikirie tofauti. Tumsaidie afikie MALENGO makubwa zaidi.

Lakini Pia watanzania tusipende kushikiwa akili na watu eti Diamond nyimbo yake ya acha nikae kimya ulilenga kuwanyamazisha watu. Labda tuusikilize Tena na wabobezi wa fasihi wataelewa alichomaanisha Mondi.



Wenye petition hii waiondoe tusonge Mbele. Tusahau ya Nyuma tulijenge Taifa Letu.

Naomba kuwa Tofauti.

Ole Mushi
0712702602.

Alichokichagia hakikuishia pale, ndiyo kimemfikisha hapa. Hivyo kama alihofia kupoteza kipinde kile basi alishapata fungu lake, fungu hili la sasa siyo lake, ajubali kukaa pembeni na aheshimu maoni ya watu kama walivyoheshimu ya kwake kipindi kile

Jaiwezekani awe Ndumilakuwili ale huku na huku. Kusema angewezaje kipindi kile kusimamia haki mbona kuna waliosimamia?
Akina Prof Jay mbona walikubali kupoteza? Roma alikubali kupoteza hadi akatekwa na kuteswa sana lakini aligoma kupiga magoti akalazimika hadi kuikimbia familia? Kwani hao hawana historia za kutokea pagumu? Hao hawakua na kitu cha kupoteza?
Acheni utetezi dhaifu usio na mashiko
 
Hapa hufanyi Utetezi, bali uko kiupotoshaji zaidi. Hakuna mwenye tatizo na Diamond kuwa mwanaccm, maana hiyo ccm yenyewe hatuionei wivu wala kuitamani. Bali Diamond kama kioo cha jamii alisimama na kiongozi muovu, sasa anapewa Somo kuwa unapokuwa kioo cha jamii unapaswa kujitenga na kiongozi muovu.

Nadhani uliona baada ya Makonda kwenda kule Egypt kwenye kombe la mataifa ya Afrika, jinsi wapenda haki tulivyokuwa na furaha kwa timu yetu ya taifa kufungwa. Hata leo hao Yanga na Simba wajitokeze wazi wazi kujiunga na kiongozi muovu utauona mziki wake. Tunaomba watu wengi zaidi wajitokeze kusaini hiyo petition, ili kutoa somo kwa wasanii wengine wote kutojiunga na kiongozi yoyote dhalimu.
Siasa ni maisha, siyo burudani, Diamond ni mshirika wa Mwendazake, jazi ya ke ya burudani na umaarufu wake vinamfunga na kumlazimisha kuwa makini sana na upande anaochagua kuuegemea katika siasa. Afadhali angesema yeye alilipwa kama msanii, lakini alikiri alifanya bure sababu ya mapenzi yake na anavyomkubali Mwenda zake.
Hakuna anayemtuhumu kwa U-CCM wake, bali kwa kufungamana na mwenda zake kiasa cha kujitenga na watu pia wasanii wenzake.
Hili la hizi awards ni mwanzo atapigwa pin kila pembe ili iwe fundisho kwa wengine
 
Back
Top Bottom