Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Nikisoma Historia naona upinzani wa maana waliopata wakoloni walipoingia Tanzania ulitoka kwa maeneo na viongozi hawa,
1. Mtemi Isike & Mirambo-Unyamwezini Tabora
2. Chifu Mkwawa- Wahehe
3. Mangi Meli, Sina& Co-Uchagani, Meru, Arusha
4.Kinjekitile & Co-Wangindo, Wangoni
5.Chifu Machemba-Wayo Lindi
6.Mtemi Abushiri-Waswahili wa pwani Pangani na Waarabu
Sasa fikiria katika nchi kubwa hivi wazungu walipata upinzani kwa hawa wachache tu wengine wakiwa wanashangaa tu badala ya wao nao kulianzisha pande zao, sio ajabu ilikuwa rahisi sana kutawaliwa na wakoloni.
1. Mtemi Isike & Mirambo-Unyamwezini Tabora
2. Chifu Mkwawa- Wahehe
3. Mangi Meli, Sina& Co-Uchagani, Meru, Arusha
4.Kinjekitile & Co-Wangindo, Wangoni
5.Chifu Machemba-Wayo Lindi
6.Mtemi Abushiri-Waswahili wa pwani Pangani na Waarabu
Sasa fikiria katika nchi kubwa hivi wazungu walipata upinzani kwa hawa wachache tu wengine wakiwa wanashangaa tu badala ya wao nao kulianzisha pande zao, sio ajabu ilikuwa rahisi sana kutawaliwa na wakoloni.