Tusio na adui wa kudumu tunasimama na Dkt. Slaa

Tusio na adui wa kudumu tunasimama na Dkt. Slaa

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Lugha hizi ndizo tunazozielewa:



Hizi ndiyo zile lugha za watu zikiitwa lugha za Mungu. Beberu akiziita:

"Languages of the people."

Hizi humfanya adui macho kumtoka mithili ya mjusi alobanwa na mlango.

Kwamba ni mpigania haki? Mzalendo? Mwenye kukerwa na ghiliba za majizi?

"Ushindwe vipi kumwelewa Dkt. Slaa?"

Kwamba Dkt. Slaa aliwahi kutukosea? So what? Hatuhitaji malaika hapa!

Kwao wote waliowahi kutukosea au ambao hawakuwahi kutukosea: muhimu kwetu ni nini wanafanya au kusema sasa.

"Malaika maisha ya duniani si yao. Hata Messiah hakuja Kwa wenye haki."

Bravo: Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Mwabukusi, Kamanda Mdude na wa namna hiyo.

Mlipo tupo!

Ninakazia:

Dhidi ya ma CCM hatuna rafiki wala adui wa kudumu ila agenda na malengo!
 
Njaa inawasumbua ninyi ila wenye kujielewa tunasimama naye.

Endeleeni kuganga njaa.
Wewe endelea kumpatia ushauri Dr Mihogo dhidi ya madhara kutoka kwa binti Mushumbusi
 
Slaa ni msaliti kama vile Yuda na hana tofauti na Ruyagwa

Walipo washupavu hawa, tupo:

TAL, Dkt. Slaa, Mwabukusi, Mdude,
Slaa ni msaliti kama vile Yuda na hana tofauti na Ruyagwa

Ninakazia:

Bravo: Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Mwabukusi, Kamanda Mdude na wa namna hiyo.

Mlipo tupo!
 
Wewe endelea kumpatia ushauri Dr Mihogo dhidi ya madhara kutoka kwa binti Mushumbusi

Mko kama yule mtoto mwema aliyebaki mtoto mpotevu akiondoka Kwa baba yake.

Mwana mpotevu aliporudi na kufanyiwa sherehe, aliyekuwa mwana mwema alichukia na kwa hasira akaondoka na kutokomea moja kwa moja kusikojulikana.

Ninyi na aina za kina Lucas mwashamba tofauti hamna.

Bure kabisa!
 
Lugha hizi ndizo tunazozielewa:

View attachment 2739972

Hizi ndiyo zile lugha za watu zikiitwa lugha za Mungu. Beberu akiziita:

"Languages of the people."

Hizi humfanya adui macho kumtoka mithili ya mjusi alobanwa na mlango.

Kwamba ni mpigania haki? Mzalendo? Mwenye kukerwa na ghiliba za majizi?

"Ushindwe vipi kumwelewa vipi Dkt. Slaa?"

Kwamba Dkt. Slaa aliwahi kutukosea? So what? Hatuhitaji malaika hapa.

Kwao wote ni nini wanafanya au kusema sasa:

"Malaika maisha ya duniani si yao. Hata Messiah hakuja Kwa wente haki."

Bravo: Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Mwabukusi, Kamanda Mdude na wa namna hiyo.

Mlipo tupo!

Ninakazia:

Dhidi ya ma CCM hatuna rafiki wala adui wa kudumu ila agenda na malengo!
kabisa
 
Lugha hizi ndizo tunazozielewa:

View attachment 2739972

Hizi ndiyo zile lugha za watu zikiitwa lugha za Mungu. Beberu akiziita:

"Languages of the people."

Hizi humfanya adui macho kumtoka mithili ya mjusi alobanwa na mlango.

Kwamba ni mpigania haki? Mzalendo? Mwenye kukerwa na ghiliba za majizi?

"Ushindwe vipi kumwelewa vipi Dkt. Slaa?"

Kwamba Dkt. Slaa aliwahi kutukosea? So what? Hatuhitaji malaika hapa.

Kwao wote ni nini wanafanya au kusema sasa:

"Malaika maisha ya duniani si yao. Hata Messiah hakuja Kwa wente haki."

Bravo: Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Mwabukusi, Kamanda Mdude na wa namna hiyo.

Mlipo tupo!

Ninakazia:

Dhidi ya ma CCM hatuna rafiki wala adui wa kudumu ila agenda na malengo!
Wasiwasi wang ni je.. baada ya kupata chemba ya ulaji ataendelea kusimamia misingi hii? Cz yaezekana akapata post ya kula maisha mazur, ataendeleza hizi mbanga?
 
Hatuna mpango naye na tutazidi kumponda sana

Kama tusivyokuwa na mpango na wasiokuwa na impact.

Kama mi CCM endeleeni kutokwa na mimacho pima.

Tunataka matokeo siyo maridhiano.
 
Back
Top Bottom