Pac the Don
JF-Expert Member
- Feb 17, 2021
- 6,170
- 7,710
Usimaind bablai 🤣🤣 mi nimeuliza tu swali!!Kuna kisichoeleweka hapa?
Hatuna rafiki wala adui wa kudumu ila agenda.
Unataka nini zaidi ya hayo ndugu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usimaind bablai 🤣🤣 mi nimeuliza tu swali!!Kuna kisichoeleweka hapa?
Hatuna rafiki wala adui wa kudumu ila agenda.
Unataka nini zaidi ya hayo ndugu?
Brazaj, ogopa sana watu wa aina Dr. Slaa, Bashiru, Polepole, Kabudi ......ni watu wasiyo simamia wanachokiamini. Kama ni manahodha wako tayari kutosa chombo na abiria ili wajiokoe wao peke yao wakati wa dhoruba, kama ni makamanda wanaweza kukitosa kikosi ktkt ya mapigano. Wana lugha nzuri lakini hawafai
Tunamtaja Mbowe kwa sababu yeye ndiye mwenyekiti wa Chadema aliyepokea fedha za Lowassa na kumkaribisha agombee uraisi kwa tiketi ya Chadema.Kwani Mbowe ametamka wapi kumhusu Slaa kama huyo ndugu?
Si tulikubaliana Kila mtu kuubeba mzigo wake? Kulikoni kumbebesha Mbowe mzigo wa huyo bwana?
Kwa mtaji huo wewe unaweza kuwa mburula kuliko huyu!
Usimaind bablai 🤣🤣 mi nimeuliza tu swali!!
Taifa na Dunia nzima inalijua hilo na ndio maana walimuachia chap!Labda mzalendo wa nyumbani kwenu kibaigwa
Tunamtaja Mbowe kwa sababu yeye ndiye mwenyekiti wa Chadema aliyepokea fedha za Lowassa na kumkaribisha agombee uraisi kwa tiketi ya Chadema.
Na hilo likawa chimbuko la Dk Slaa kujiondoa Chadema sababu alitamka wazi kwamba hawezi kutumika kama Dodoki ili kumsafisha Lowassa ambaye alikwisha chafuka toka kwenye list of Shame pale mwembeyanga.
RICHMOND.
Usijitowe ufahamu kwa kuuliza jambo ambalo linajulikana na kila mtanzania.
Nakuelewa sana tu, pia hoja zake nazielewa vyema kabisa. Tatizo ni kwamba, wakati wewe unapambana kusimamia maslahi mapana ya nchi, mwenzako anapambania nafasi.Lugha hizi ndizo tunazozielewa:
View attachment 2739972
Hizi ndiyo zile lugha za watu zikiitwa lugha za Mungu. Beberu akiziita:
"Languages of the people."
Hizi humfanya adui macho kumtoka mithili ya mjusi alobanwa na mlango.
Kwamba ni mpigania haki? Mzalendo? Mwenye kukerwa na ghiliba za majizi?
"Ushindwe vipi kumwelewa Dkt. Slaa?"
Kwamba Dkt. Slaa aliwahi kutukosea? So what? Hatuhitaji malaika hapa!
Kwao wote waliowahi kutikosea au ambao hawakuwahi kutukosea: muhimu kwetu ni nini wanafanya au kusema sasa.
"Malaika maisha ya duniani si yao. Hata Messiah hakuja Kwa wenye haki."
Bravo: Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Mwabukusi, Kamanda Mdude na wa namna hiyo.
Mlipo tupo!
Ninakazia:
Dhidi ya ma CCM hatuna rafiki wala adui wa kudumu ila agenda na malengo!
Nakuelewa sana tu, pia hoja zake nazielewa vyema kabisa. Tatizo ni kwamba, wakati wewe unapambana kusimamia maslahi mapana ya nchi, mwenzako anapambania nafasi.
Ni heri usimame mwenyewe, huyo mzee atakuuza.
Kama huna rafiki wala adui wa kudumu, mubebe huyo Slaa umpeleke nyumbani kwako, sisi huku hatumpendi huyo msaliti. Unalialia humu tukusaidie nn?Ninakazia:
Hatuna rafiki wala adui wa kudumu.
Hata Samia, Majaliwa, Kabudi na wote uliowataja wakinena tunayotaka hatuna taabu nao.
Lissu, Mbowe na wenzao wakighairi, tunawatupia virago.
Kauli yako inafanana na za wale waliotoa mimacho kama mijusi iliyobanwa milangoni.
Yeah, mimi ni CCM ingawa siyo mnazi, wala sidhibitiki, nipo huru ila ni CCM.CCM inataka tusimame wenyewe Ili kutudhibiti na huko ndiko kutoa kwao mimacho baada ya kubanwa na mlango. Vipi na wewe ni mwenzao?
Kuna mpango unapangwa na system kuanzisha chama kipya bosheni cha upinzani. Na chama hiki kitacheza mdundo wote unaotakiwa na upinzani,, lakini kitakuwa na ajenda za CCM nyuma ya pazia. Zingatia angalizo hili.Kama tunasivyokuwa na mpango na wasiokuwa na impact. Kama mi CCM endeleeni kutokwa na mimacho pima. Tunataka matokeo siyo maridhiano.
Dr. Slaa ndiye ameandaliwa kwenye hicho Chama, na wanachofanya ni ku test mitambo kwa kwa kumuandalia matamko ya kutoa huku wakijifanya kumsumbuasumbua, lengo lao ni kumpatia airtime ili Chama hicho kiweze kupata muitikio na mapokeo.Kuna mpango unapangwa na system kuanzisha chama kipya bosheni cha upinzani. Na chama hiki kitacheza mdundo wote unaotakiwa na upinzani,, lakini kitakuwa na ajenda za CCM nyuma ya pazia. Zingatia angalizo hili.
Hizi zote ni hisia tu, hazina uthibitisho wowote usioacha shaka, sioni sababu ya kuzibeba vichwani hasa kwa wakati huu.Dr. Slaa ndiye ameandaliwa kwenye hicho Chama, na wanachofanya ni ku test mitambo kwa kwa kumuandalia matamko ya kutoa huku wakijifanya kumsumbuasumbua, lengo lao ni kumpatia airtime ili Chama hicho kiweze kupata muitikio na mapokeo.
Bahati mbaya kila wakipima u0epo wanaona hiyo project yao wanayoifanya na Dr. Slaa inaenda kuishia kuwa another Project of Zitto Kabwe like, yaani itabuma tu.
Hata wenyewe wamreona hasara sababu wameishia kuwa na wapinzani aina ya Dovutwa, Shibuda, Zitto Kabwe, Mbatia, Cheyo n.k. Wanaishia kuwalipa for nothing huku kazi kubwa wakiifanya system wenyewe, na watu zama hizi wakishanusa mtu hafai wanamuacha kama alivyom
Slaa hakusimama na wapinzani wakati wa Magufuli huku akiwa na cheo, tena kwa mambo ambayo hakupaswa kuwaumiza, je na yeye alikuwa na uadui wa kudumu? Huyo Mbatia alikubali wazi wazi kutumika na Magufuli wakati wa uchaguzi mkuu wa 2020, watu kama hao hatuwapingi kwa wanachosimamia sasa, lakini ni ujinga kuwaamini watu wanaojali maslahi yao binafsi.Akikuelewa nistue mkuu. Nimekaa pale!
Watu kama hawa ni mzigo kwenye vyama. Bora wakaungana na kina johnthebaptist Lumumba huko.
Ni Katika wale wajumbe 8.5m+ plus wenye kulaumu watanzania kutotokea barabarani wakati wenyewe wakiwa wamefichama uvunguni.
Kitu chochote kama kinaongelewa lakini bado hakijawa hubaki kuwa hisia, hata kama kuna tulioona lakini tunaamua kukiongea lakini bila kukitolea maelezo or proof, bado kitabaki hisia.Hizi zote ni hisia tu, hazina uthibitisho wowote usioacha shaka, sioni sababu ya kuzibeba vichwani hasa kwa wakati huu.