Tusio na adui wa kudumu tunasimama na Dkt. Slaa

Tusio na adui wa kudumu tunasimama na Dkt. Slaa

Kuanzisha chama inaweza kuwa siyo suluhu kwa maana vilivyopo having mwenyewe:

Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM
Mkuu kuna watu wajinga sana wanafikiri pafupi , ukiona Chama kama Chadema kipo hatua hii, jiulize kimeanza mwaka gani, kimepitia yapi, why kinapendwa , na kwa nini kimesimama ,sasa badala ya kuunganisha nguvu, watu wanakuja na hoja za kiwendawazim kwa watu wenye akili,

Kusimamisha chama katika level amefikia chadema tena kwa zama hizi sio kazi ndogo, mavyama mengine yapo tu, sasa wakajidanganye na hao sijui na sauti ya watanzania waanzishe chama , tuone watafika wapi.

Kwanza tafasiri nyepesi inakua ni uroho usiokuwa na tija , pili wannchi walishapata maumivu na mavyama ya mchongo, ila mbaya sana watz wa leo sio wale zama zile ,

Ni mpumbavu pekee anaeamini kwamba kuanzisha chama ndo suluhu, badala ya kuunganisha nguvu kwa pamoja katika chama chenye nguvu ili timiza malengo
 
Mkuu kuna watu wajinga sana wanafikiri pafupi , ukiona Chama kama Chadema kipo hatua hii, jiulize kimeanza mwaka gani, kimepitia yapi, why kinapendwa , na kwa nini kimesimama ,sasa badala ya kuunganisha nguvu, watu wanakuja na hoja za kiwendawazim kwa watu wenye akili,

Kusimamiaha chama katika level amefikia chadema tena kwa zama hizi sio kazi ndogo, mavyama mengine yapo tu, sasa wakajidanganye na hao sijui na sauti ya watanzania waanzishe chama , tuone watafika wapi.

Kwanza tafasiri nyepesi inakua ni uroho usiokuwa na tija , pili wannchi walishapata maumivu na mavyama ya mchongo, ila mbaya sana watz wa leo sio wale zama zile ,

Ni mpumbavu pekee anaeamini kwamba kuanzisha chama ndo suluhu, badala ya kuunganisha nguvu kwa pamoja katika chama chenye nguvu ili timiza malengo

Hadithi za kuanzisha vyama vingine zinauzwa kwa nia ovu na CCM na vibaraka wao kum discredit Slaa.

Kama ambavyo hawakuungwa mkono akina Ndugai, Mwingira ni nia ya wabaya wetu kuona Slaa haungwi mkono kwa sababu hata za kubumba.

Chadema ilipaswa kuwaunga mkono wapambanaji hawa hadharani.

Ninakazia:

Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM

Adui yetu ni CCM siyo Slaa kama binadamu.
 
Hadithi za kuanzisha vyama vingine zinauzwa kwa nia ovu na CCM na vibaraka wao kum discredit Slaa.

Kama ambavyo hawakuungwa mkono akina Ndugai, Mwingira ni nia ya wabaya wetu kuona Slaa haungwi mkono kwa sababu hata za kubumba.

Chadema ilipaswa kuwaunga mkono wapambanaji hawa hadharani.

Ninakazia:

Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM

Adui yetu ni CCM siyo Slaa kama binadamu.
Binafsi nafikiri dr slaa kama mzee anae jitambua, Mwambukusi, ,Mdude, natamani wawe Bungeni,kama uchaguzi utafanyika, kupitia moja ya chama watapenda kwa matakwa yao, ila shawishiwa anzisha chama itakula kwao

Kuanzisha chama na kikasimama sio kazi ndogo watu wanaleta mchezo na vitu serious
 
Kumtoa CCM madarakani ilipaswa kuwa kipaumbele. Tukiimaliza kazi hiyo tutaweka yote kwenye mstari.

Lissu rudini ubaoni, Majukwaani hakutamng'oa CCM

Bila kujikita kwenye core business yaweza kuwa bado tupo tupo sana!
Hapana mkuu 'Brazaj',
"Majukwaani" pamoja na kutoweza kumng'oa CCM, lakini ni muhimu pia CHADEMA wawepo huko, na wakaze kamba kweli kweli kama wanavyofanya sasa hivi.

Lakini pia, ninakubaliana na wewe, tena sana kuhusu CHADEMA wawe na mikakati inayoeleweka jinsi walivyojipanga safari hii kupambana na CCM, hatua kwa hatua bila ya papara..

Nikikumbuka CHADEMA siku za huko nyuma kushindwa hata kuweka wagombea kwenye baadhi ya nafasi na wengine kutojua hata taratibu za ujazaji wa fomu tu, mambo hayo kama bado yapo huko kwenye chama itakuwa ni jambo la kukatisha tamaa sana.

Kwa hiyo, kwa upande wangu, nawashauri CHADEMA wajipange, kuanzia mwanzo kabisa, hata katika mambo ambayo wanadhani wanayajua vizuri nana ya kuyafanya, wajiridhishe pasipo shaka yoyote kuwa uwezo wa kuyamudu upo katika kila ngazi; na pale wanapojaribiwa na kupotezwa na hila za CCM na wateule wake katika taasisi mbali mbali, wawe tayari wamejipanga vizuri kukabiliana nao, hata kama ni kwa mabavu kama wanaona wapo upande wa sheria.

Na ndiyo maana, ninawasihi sana CHADEMA waimarishe zaidi uongo wa chama chao kule mitaani. Mambo mengi ya hovyo yanayofanywa na CCM huanzia huko huko mitaani; kwa hiyo na wao CHADEMA wajipange katika ngazi hiyo kupambana na hao wa CCM huko huko mitaani.

Haya mengine ya Tume ya Uchaguzi , mapolisi n.k., hili tumekwishalijadili hapa.

Kwa hiyo, niseme, ni kweli CHADEMA wanatakiwa sana "kurudi ubaoni" kwa maana ya kuweka mikakati madhubuti katika ngazi mbalimbali za kukabiliana na ujambazi wa CCM.
Uzuri ni kwamba, CCM watakuwa wanakiuka sheria; na CHADEMA watakuwa wanazuia ukiukwaji huo wa sheria.
 
Binafsi nafikiri dr slaa kama mzee anae jitambua, Mwambukusi, ,Mdude, natamani wawe Bungeni,kama uchaguzi utafanyika, kupitia moja ya chama watapenda kwa matakwa yao, ila shawishiwa anzisha chama itakula kwao

Kuanzisha chama na kikasimama sio kazi ndogo watu wanaleta mchezo na vitu serious

Seif aliwahi shusha tanga akapandisha tanga. Kilichoikuta CUF hakuna asiyejua.

Mrema (rip) aliwahi shusha tanga akapandisha tanga. Kilichoikuta NCCR hayupo asiyekijua.

Habari ya kulia lia baada ya kushindwa chaguzi siyo habari tena.

Mikakati ya ushindi iko wapi?

Kushindwa uchaguzi ni pamoja na kuibiwa kura, kulikoni kulia lia
 
Hapana mkuu 'Brazaj',
"Majukwaani" pamoja na kutoweza kumng'oa CCM, lakini ni muhimu pia CHADEMA wawepo huko, na wakaze kamba kweli kweli kama wanavyofanya sasa hivi.

Lakini pia, ninakubaliana na wewe, tena sana kuhusu CHADEMA wawe na mikakati inayoeleweka jinsi walivyojipanga safari hii kupambana na CCM, hatua kwa hatua bila ya papara..

Nikikumbuka CHADEMA siku za huko nyuma kushindwa hata kuweka wagombea kwenye baadhi ya nafasi na wengine kutojua hata taratibu za ujazaji wa fomu tu, mambo hayo kama bado yapo huko kwenye chama itakuwa ni jambo la kukatisha tamaa sana.

Kwa hiyo, kwa upande wangu, nawashauri CHADEMA wajipange, kuanzia mwanzo kabisa, hata katika mambo ambayo wanadhani wanayajua vizuri nana ya kuyafanya, wajiridhishe pasipo shaka yoyote kuwa uwezo wa kuyamudu upo katika kila ngazi; na pale wanapojaribiwa na kupotezwa na hila za CCM na wateule wake katika taasisi mbali mbali, wawe tayari wamejipanga vizuri kukabiliana nao, hata kama ni kwa mabavu kama wanaona wapo upande wa sheria.

Na ndiyo maana, ninawasihi sana CHADEMA waimarishe zaidi uongo wa chama chao kule mitaani. Mambo mengi ya hovyo yanayofanywa na CCM huanzia huko huko mitaani; kwa hiyo na wao CHADEMA wajipange katika ngazi hiyo kupambana na hao wa CCM huko huko mitaani.

Haya mengine ya Tume ya Uchaguzi , mapolisi n.k., hili tumekwishalijadili hapa.

Kwa hiyo, niseme, ni kweli CHADEMA wanatakiwa sana "kurudi ubaoni" kwa maana ya kuweka mikakati madhubuti katika ngazi mbalimbali za kukabiliana na ujambazi wa CCM.
Uzuri ni kwamba, CCM watakuwa wanakiuka sheria; na CHADEMA watakuwa wanazuia ukiukwaji huo wa sheria.

Kurejea ubaoni kwa muda na kwa dharura mno, sasa, ni muhimu sana. Kwamba nyomi mikutanoni?

CHADEMA Nyomi si Habari Tena, Tujidhatiti kumaliza Mchecho

Chadema hashindwi chaguzi. Anaibiwa chaguzi na kubakia kulia lia:

Kushindwa uchaguzi ni pamoja na kuibiwa kura, kulikoni kulia lia

Kuibiwa ni sehemu ya mchezo. Tunatoka je?

Tunatakiwa kujipanga kuukwamisha mpira wavuni. Wenyewe wanasema hata kwa goli la mkono.

Kuwekeza kwenye mikakati kwa dharura inapobidi, hakuna maana ya kutorudi majukwaani tena.

Kwa kitengo hiki cha habari na propaganda kama kipo, katu hakupo shwari ndani!

Ni heri wakaahirisha majukwaa Ili kujizatiti ndani vilivyo kwanza kwa ajili ya ushindi.

"Information is power."

Kama hapo tu kwa kuanzia ni absolute failure kama hivi, tunayashinda je ma CCM yenye edge zote kwenye wizi na huku taasisi zote za umma nazo zikiwa mikononi mwao?
 
Kama kwenye kupambana na IGA au kudai Katiba mpya Kuna malipo kutoka kwa mola, hayo yatakuwa ni thwawabu mtupu!
Nasikia Sabaya, Musiba na Makonda nao wanapinga IGA, itabidi Chadema muwasajili kwenye chama na kuwapa vyeo
 
Nasikia Sabaya, Musiba na Makonda nao wanapinga IGA, itabidi Chadema muwasajili kwenye chama na kuwapa vyeo

Hata wewe, Samia, Majaliwa, Tulia na CCM wote mnakaribishwa kama mkipinga IGA na kuitambua umuhimu wa katiba mpya sasa.

Habari ndiyo hiyo.
 
Seif aliwahi shusha tanga akapandisha tanga. Kilichoikuta CUF hakuna asiyejua.

Mrema (rip) aliwahi shusha tanga akapandisha tanga. Kilichoikuta NCCR hayupo asiyekijua.

Habari ya kulia lia baada ya kushindwa chaguzi siyo habari tena.

Mikakati ya ushindi iko wapi?

Kushindwa uchaguzi ni pamoja na kuibiwa kura, kulikoni kulia lia
Hoja hapa kuanzisha chama , CuF ilikuwepo kwa sababu na gharama kubwa ,kiko wapi sasa,kujenga taasisi kama Chadema , kwa miaka yote sio kazi ndongo tueshimiane
 
Dr Slaa kusema ukweli alifanya kitu kibaya sana!! Aliwaacha wenzake wakati alikuwa anahitajika sana!! Ila maadam amejirudi, si vibaya tukaungana naye kipindi hiki ambacho ameamua kurudi kwenye misingi nya uzalendo ya kuipigania nchi yetu.
 
Hoja hapa kuanzisha chama , CuF ilikuwepo kwa sababu na gharama kubwa ,kiko wapi sasa,kujenga taasisi kama Chadema , kwa miaka yote sio kazi ndongo tueshimiane

Kujenga taasisi yako binafsi kusifananishwe na taasisi za umma. Chadema si mali binafsi ndugu.
 
Dr Slaa kusema ukweli alifanya kitu kibaya sana!! Aliwaacha wenzake wakati alikuwa anahitajika sana!! Ila maadam amejirudi, si vibaya tukaungana naye kipindi hiki ambacho ameamua kurudi kwenye misingi nya uzalendo ya kuipigania nchi yetu.

Malaika tuwapate wapi kwenye vita vyetu hivi?
 
Back
Top Bottom