Tusio na adui wa kudumu tunasimama na Dkt. Slaa

Tusio na adui wa kudumu tunasimama na Dkt. Slaa

Wala tusiparurane wenyewe kwa wenyewe ktk hili. Haya ni maoni ya mtoa mada. Mm nafahamu brazaj, Tindo, denooJ, @Mmawia,Kalamu n.k wote ninyi ni wanamageuzi wazuri tu.

Tusisahau Dr. Slaa alipoondoka chadema alisepa na wafuasi wengi. Kuna waliosepa kimoyomoyo lkn kimwili bado wako chadema. Na Kuna walioondoka mazima. Hivyo tunapomjadili Dr. Slaa haya muyaweke kichwani.
Mmawia Mwana mageuzi?
anageuza kitu gani[emoji1787]?
 
Muda wote alipoondoka CDM hasa kipindi cha Magufuli hakuwahi kuguswa na maswahiba ya CDM, hata kwa mambo yaliyokuwa dhahiri. Ni kweli hakujiunga na chama chochote cha siasa, lakini hakuwahi kuongea chochote kuonyesha wapinzani hawatendewi haki hasa CDM, japo aliona dhahiri nini kiliendelea.

Ndio maana nasema sipingi msimamo wake wa sasa, lakini siwajibiki kumuuamini Slaa. Na huu ni msimamo wangu binafsi. Ama nimekosea kwenye hili?
Vipi anaguswaje na wakati muda huo CDM ipo na fisadi Papa wanalialia[emoji1787]

Point zenu zingekuwa valid only if CDM wangekuwa ni wasafi hawajapotoka kwa ule upuuzi walioufanya.
 
Vipi anaguswaje na wakati muda huo CDM ipo na fisadi Papa wanalialia[emoji1787]

Point zenu zingekuwa valid only if CDM wangekuwa ni wasafi hawajapotoka kwa ule upuuzi walioufanya.
Fisadi papa alishakufa maana ktk awamu zote za nchi hii awamu yake ndiyo iliyoongoza kufanya ufisadi wa hatari zaidi huku akiwafuga majizi na majambazi
 
Vipi anaguswaje na wakati muda huo CDM ipo na fisadi Papa wanalialia[emoji1787]

Point zenu zingekuwa valid only if CDM wangekuwa ni wasafi hawajapotoka kwa ule upuuzi walioufanya.
Tafuta popote ninapounga mkono wa uhuni ule, ukipaona uje tuendelee na mjadala.
 
Tafuta popote ninapounga mkono wa uhuni ule, ukipaona uje tuendelee na mjadala.
WeweTindo hakuna popote unapounga mkono ule uhuni.


Ila kumkandamiza Slaa pekeyake si sawa..
Huoni nao CDM walichangia Slaa kuwa vile?
 
Muda wote alipoondoka CDM hasa kipindi cha Magufuli hakuwahi kuguswa na maswahiba ya CDM, hata kwa mambo yaliyokuwa dhahiri. Ni kweli hakujiunga na chama chochote cha siasa, lakini hakuwahi kuongea chochote kuonyesha wapinzani hawatendewi haki hasa CDM, japo aliona dhahiri nini kiliendelea.

Ndio maana nasema sipingi msimamo wake wa sasa, lakini siwajibiki kumuuamini Slaa. Na huu ni msimamo wangu binafsi. Ama nimekosea kwenye hili?
Usiwekeze kwenye kusubiri kusemewa na fulani kwenye siasa, linapotokea jambo siku zote simama wewe uanze kulisemea, wengine kama wakijiunga nawe mbele sawa, wasipojiunga usipoteze muda kuwasubiri au kuwabeba moyoni kwanini hawakusema, mara zote iamini sauti yako.
 
Consistance ni kitu muhimu, huyo Slaa kipindi cha Magufuli alikuwa anasema katiba mpya sio muhimu, kwakuwa tuna kiongozi ambaye alikuwa anamkubali, ama anawakomoa waliobaki na agenda ya katiba mpya kisa alihitilafiana nao! Katika mazingira sina sababu ya kuwa na kiherehere cha kujifanya nini imani na mtu wa aina hiyo.

Usishangae maslahi yake yakawekwa vizuri kwa sasa akaanza kuongea mengine. Mashaka yangu haya kwa Slaa ni kosa langu, sio lako.
Hamna consistence kwa mwanadamu, hiyo ipo kwa computers, we make mistakes.
 
Lugha hizi ndizo tunazozielewa:

View attachment 2739972

Hizi ndiyo zile lugha za watu zikiitwa lugha za Mungu. Beberu akiziita:

"Languages of the people."

Hizi humfanya adui macho kumtoka mithili ya mjusi alobanwa na mlango.

Kwamba ni mpigania haki? Mzalendo? Mwenye kukerwa na ghiliba za majizi?

"Ushindwe vipi kumwelewa Dkt. Slaa?"

Kwamba Dkt. Slaa aliwahi kutukosea? So what? Hatuhitaji malaika hapa!

Kwao wote waliowahi kutikosea au ambao hawakuwahi kutukosea: muhimu kwetu ni nini wanafanya au kusema sasa.

"Malaika maisha ya duniani si yao. Hata Messiah hakuja Kwa wenye haki."

Bravo: Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Mwabukusi, Kamanda Mdude na wa namna hiyo.

Mlipo tupo!

Ninakazia:

Dhidi ya ma CCM hatuna rafiki wala adui wa kudumu ila agenda na malengo!
Sema wakatoliki mnasimama na Dr mihogo
 
Sema wakatoliki mnasimama na Dr mihogo

Ndugu Mwaipopo masuala ya bandari na ya Katiba mpya siyo la TEC ni ya watanzania wote ndugu Mwaipopo.

Hata na mkereketwa wake ndugu Zawadini tulikubaliana hivyo.
 
WeweTindo hakuna popote unapounga mkono ule uhuni.


Ila kumkandamiza Slaa pekeyake si sawa..
Huoni nao CDM walichangia Slaa kuwa vile?
Simkandamizi Slaa, ila sina imani naye, japo naheshimu anachosimamia sasa.
 
Usiwekeze kwenye kusubiri kusemewa na fulani kwenye siasa, linapotokea jambo siku zote simama wewe uanze kulisemea, wengine kama wakijiunga nawe mbele sawa, wasipojiunga usipoteze muda kuwasubiri au kuwabeba moyoni kwanini hawakusema, mara zote iamini sauti yako.
Hata hapa sisubiri nyie mnisemee bali najisemea mwenyewe. Slaa nasema hapa maana ndio kichwa cha hii post
 
Back
Top Bottom