Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Nenda kamuulize yeye SlaaKwa usaliti upi aliowahi kufanya? Mbona sijibiwi hili?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda kamuulize yeye SlaaKwa usaliti upi aliowahi kufanya? Mbona sijibiwi hili?
Mmawia Mwana mageuzi?Wala tusiparurane wenyewe kwa wenyewe ktk hili. Haya ni maoni ya mtoa mada. Mm nafahamu brazaj, Tindo, denooJ, @Mmawia,Kalamu n.k wote ninyi ni wanamageuzi wazuri tu.
Tusisahau Dr. Slaa alipoondoka chadema alisepa na wafuasi wengi. Kuna waliosepa kimoyomoyo lkn kimwili bado wako chadema. Na Kuna walioondoka mazima. Hivyo tunapomjadili Dr. Slaa haya muyaweke kichwani.
Vipi anaguswaje na wakati muda huo CDM ipo na fisadi Papa wanalialia[emoji1787]Muda wote alipoondoka CDM hasa kipindi cha Magufuli hakuwahi kuguswa na maswahiba ya CDM, hata kwa mambo yaliyokuwa dhahiri. Ni kweli hakujiunga na chama chochote cha siasa, lakini hakuwahi kuongea chochote kuonyesha wapinzani hawatendewi haki hasa CDM, japo aliona dhahiri nini kiliendelea.
Ndio maana nasema sipingi msimamo wake wa sasa, lakini siwajibiki kumuuamini Slaa. Na huu ni msimamo wangu binafsi. Ama nimekosea kwenye hili?
Kama maana ya mageuzi basi nakushauri endelea kujifunza maana elimu haina mwishoMmawia Mwana mageuzi?
anageuza kitu gani[emoji1787]?
Fisadi papa alishakufa maana ktk awamu zote za nchi hii awamu yake ndiyo iliyoongoza kufanya ufisadi wa hatari zaidi huku akiwafuga majizi na majambaziVipi anaguswaje na wakati muda huo CDM ipo na fisadi Papa wanalialia[emoji1787]
Point zenu zingekuwa valid only if CDM wangekuwa ni wasafi hawajapotoka kwa ule upuuzi walioufanya.
Kama maana ya mageuzi basi nakushauri endelea kujifunza maana elimu haina mwisho
Kumbe unajua?Hata nikijifunza bado huwezi geuza chochote Mmawia,
Labda familia Yako.
Mzee slaa aliwachoma sana kina mbowe kwa hayati jpm, laiti wangelijua jinsi alivyo kuwa nyoka wasinge thubutu hata kumsogelea.
Tafuta popote ninapounga mkono wa uhuni ule, ukipaona uje tuendelee na mjadala.Vipi anaguswaje na wakati muda huo CDM ipo na fisadi Papa wanalialia[emoji1787]
Point zenu zingekuwa valid only if CDM wangekuwa ni wasafi hawajapotoka kwa ule upuuzi walioufanya.
WeweTindo hakuna popote unapounga mkono ule uhuni.Tafuta popote ninapounga mkono wa uhuni ule, ukipaona uje tuendelee na mjadala.
Itakuwa nimekoseaMmawia Mwana mageuzi?
anageuza kitu gani[emoji1787]?
Hujakosea sema hujuiItakuwa nimekosea
Usiwekeze kwenye kusubiri kusemewa na fulani kwenye siasa, linapotokea jambo siku zote simama wewe uanze kulisemea, wengine kama wakijiunga nawe mbele sawa, wasipojiunga usipoteze muda kuwasubiri au kuwabeba moyoni kwanini hawakusema, mara zote iamini sauti yako.Muda wote alipoondoka CDM hasa kipindi cha Magufuli hakuwahi kuguswa na maswahiba ya CDM, hata kwa mambo yaliyokuwa dhahiri. Ni kweli hakujiunga na chama chochote cha siasa, lakini hakuwahi kuongea chochote kuonyesha wapinzani hawatendewi haki hasa CDM, japo aliona dhahiri nini kiliendelea.
Ndio maana nasema sipingi msimamo wake wa sasa, lakini siwajibiki kumuuamini Slaa. Na huu ni msimamo wangu binafsi. Ama nimekosea kwenye hili?
Hamna consistence kwa mwanadamu, hiyo ipo kwa computers, we make mistakes.Consistance ni kitu muhimu, huyo Slaa kipindi cha Magufuli alikuwa anasema katiba mpya sio muhimu, kwakuwa tuna kiongozi ambaye alikuwa anamkubali, ama anawakomoa waliobaki na agenda ya katiba mpya kisa alihitilafiana nao! Katika mazingira sina sababu ya kuwa na kiherehere cha kujifanya nini imani na mtu wa aina hiyo.
Usishangae maslahi yake yakawekwa vizuri kwa sasa akaanza kuongea mengine. Mashaka yangu haya kwa Slaa ni kosa langu, sio lako.
Sema wakatoliki mnasimama na Dr mihogoLugha hizi ndizo tunazozielewa:
View attachment 2739972
Hizi ndiyo zile lugha za watu zikiitwa lugha za Mungu. Beberu akiziita:
"Languages of the people."
Hizi humfanya adui macho kumtoka mithili ya mjusi alobanwa na mlango.
Kwamba ni mpigania haki? Mzalendo? Mwenye kukerwa na ghiliba za majizi?
"Ushindwe vipi kumwelewa Dkt. Slaa?"
Kwamba Dkt. Slaa aliwahi kutukosea? So what? Hatuhitaji malaika hapa!
Kwao wote waliowahi kutikosea au ambao hawakuwahi kutukosea: muhimu kwetu ni nini wanafanya au kusema sasa.
"Malaika maisha ya duniani si yao. Hata Messiah hakuja Kwa wenye haki."
Bravo: Dkt. Slaa, Dkt. Nshala, Mwabukusi, Kamanda Mdude na wa namna hiyo.
Mlipo tupo!
Ninakazia:
Dhidi ya ma CCM hatuna rafiki wala adui wa kudumu ila agenda na malengo!
Simkandamizi Slaa, ila sina imani naye, japo naheshimu anachosimamia sasa.WeweTindo hakuna popote unapounga mkono ule uhuni.
Ila kumkandamiza Slaa pekeyake si sawa..
Huoni nao CDM walichangia Slaa kuwa vile?
Hata hapa sisubiri nyie mnisemee bali najisemea mwenyewe. Slaa nasema hapa maana ndio kichwa cha hii postUsiwekeze kwenye kusubiri kusemewa na fulani kwenye siasa, linapotokea jambo siku zote simama wewe uanze kulisemea, wengine kama wakijiunga nawe mbele sawa, wasipojiunga usipoteze muda kuwasubiri au kuwabeba moyoni kwanini hawakusema, mara zote iamini sauti yako.
My judgement go through that mistakes.Hamna consistence kwa mwanadamu, hiyo ipo kwa computers, we make mistakes.