Dahh!! Umeuchana ukweli wenyewe, gari si lolote linapokuja suala la usafiri wa ndani ya mji au mkoa ni sawa tu na kumiliki pikipiki, gharama zake ni kubwa sana halafu unakuta mmiliki ni ticha wa shule ya msingi lazima akili zimkae vzr, kabla ya kununua gari jenga kwanza nyumba ya kuishi na uwe na biashara iliyonyooka.