Tusio na magari tukutane hapa

Tusio na magari tukutane hapa

Kwa sisi tusio na private car tunaenjoy sana daladala kwanza tunapata kufamiana na watu mbalimbali humo kwa daladala bila kusahau vituko vilivyomo unaweza panda daladala na stress ukashuka stress zote zimeisha
 
Kwa sisi tusio na private car tunaenjoy sana daladala kwanza tunapata kufamiana na watu mbalimbali humo kwa daladala bila kusahau vituko vilivyomo unaweza panda daladala na stress ukashuka stress zote zimeisha
Au vice versa....
kuna siku moja mmama mmoja akataka nimbebee fuko lake la matikiti i was like "whaaaaaaat"
Kisa yeye kasimama me nimekaa basi nilivyokataa alinivurumishia mijitusi hiyo hahaha kama kawaida raia hawapo nyuma kununua kesi, wakaanza kunitetea me nikaishia kucheka tu ila nilishangaa sana.
 
Au vice versa....
kuna siku moja mmama mmoja akataka nimbebee fuko lake la matikiti i was like "whaaaaaaat"
Kisa yeye kasimama me nimekaa basi nilivyokataa alinivurumishia mijitusi hiyo hahaha kama kawaida raia hawapo nyuma kununua kesi, wakaanza kunitetea me nikaishia kucheka tu ila nilishangaa sana.
Upakate fuko la matikiti wakati umepiga min skirt lako.ha ha ha ha
 
Mimi sina hilo gari lakini sioni tatizo lolote ilimladi niwe na furaha tu hakuna kigumu kwangu
 
marafiki wenye magari wanatunyanyasa sana. yaani balaa tupu jamani. mm sitaki tena.

ila sasa hvi sitaki tena. kama ni bia ntanywea mtaani kwangu hukuhuku. sitaki manyanyaso ya kufata ratiba za mwenye gari.

ni hayo yu.
 
Hahahahaha usafiri is a basic need!! Relax, kama huna Mungu atakupa kwa mida wake
 
Back
Top Bottom