Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
naam niite raisi wa ma jobless pro maxOur president
Mkuu kadi yako ni namba ngapi vileNgoja tuje🙌
Usha leta kelele, bhangi za bure kweli mbaya😂Joblessers oyeeeeeee jamani nina maoni naombeni mpunguze kelele ili nisikilizwe
Hata usipo kuwa na nyumba, una karibishwa chamanimagari peke yake?
Ngoja atokee mwenye matatizo zaidi, ila kwa Sasa wewe ni katibu wa ma jobless 😆😂Mimi nina baiskeli
Huyu dokta aliyeweka mbupu badala ya moyo aletwe hapa anaharibu ugali wetuUsha leta kelele, bhangi za bure kweli mbaya😂
yeye mwenyewe dish lisha cheza😆😂Huyu dokta aliyeweka mbupu badala ya moyo aletwe hapa anaharibu ugali wetu
Acha matusi basiMajobless tupeane michongo
Haya kapige kura hapo juu, utambulike😂😂Joblessers oyeeeeeee jamani nina maoni naombeni mpunguze kelele ili nisikilizwe
Jobless hali kwa mama mzee, wewe uta kuwa goi goi😆😂Kama sio jobless humu ndani utoke tubaki sisi kula kwa mama
nina miliki moyo tu hivo ni vitu vya anasa kwani tutakufa tutaviachaHata usipo kuwa na nyumba, una karibishwa chamani