Monetary doctor
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 3,711
- 6,762
Mweka hazina Niko hapa.......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tuache kuji fariji madam, hata Kama tuta viacha ila Kikubwa Ume ishi kwa nafasi yakonina miliki moyo tu hivo ni vitu vya anasa kwani tutakufa tutaviacha
Ma jobless na michango wapi na wapi🙄🤔Mweka hazina Niko hapa.......
kikubwa uhaituache kuji fariki madam, hata Kama tuta viacha ila Kikubwa Ume ishi kwa nafasi yako
Lazima organization yetu iwe na uongozi michango tukijipataMa jobless na michango wapi na wapi🙄🤔
Mkuu ita kuwa muda wako wa kunywa vidonge Ume fika 😂😆Kwani kile kigezo cha kwamba ukitaka kujiunga JF lazima password uweke namba yako ya gari kilifutwa? 🙄
Nijuavyo mimi huwezi kujiunga JF kama huna gari.. au mi ndio sielewi?
Haya ndio maoni ya kusadikika😂😂Lazima organization yetu iwe na uongozi michango tukijipata
Naamkikubwa uhai
Niamini mzee 😂Haya ndio maoni ya kusadikika😂😂
hamnaga michongo kutoka kwa majobless , zaidi ya location za waganga🥱🥱🤒🚮🚮Majobless tupeane michongo
Kanuni ya ma jobles, never trust anyone 😆😂Niamini mzee 😂
hata hao waganga tuna watapeli😆😂hamnaga michongo kutoka kwa majobless , zaidi ya location za waganga🥱🥱🤒🚮🚮
Hilo Lina eleweka mzee......Kanuni ya ma jobles, never trust anyone 😆😂
Mimi kwangu goma liko between,Sina gari ila namiliki fisi kama Half american ,mkuu.Satoh Hirosh wewe si mjumbe wa chama chetu??
Hata mimi nilijua hivo mkuu😂😂😂. Hawa watakuwa walijiunga kwa connection.Kwani kile kigezo cha kwamba ukitaka kujiunga JF lazima password uweke namba yako ya gari kilifutwa? 🙄
Nijuavyo mimi huwezi kujiunga JF kama huna gari.. au mi ndio sielewi?
Half american ana ringia fisi wa kwao mzilakende.Mimi kwangu goma liko between,Sina gari ila namiliki fisi kama Half american ,mkuu.