Tusiokunywa Pombe Njooni Tuelezane Vinywaji Vya Kuagiza Tukiwa Bar

Nashukuru Mungu ninaenda kumaliza mwaka sasa toka niache matumizi ya Soda.

Kinywaji changu ni Maji hakuna kingine tofauti na hicho.
 
Watu wasiokunywa pombe wana roho mbaya sana... Hata kukupa offer ya soda huwa hawawezi
 
Asee agiza uji Lita mbili wa motooo unashushia taratibu tuu waache hao walevi wanywe hata kreti watakukuta bado unapuliza tu bakuli lako
 
Naomba kufahamishwa kama bavaria na baltica sio energy drinks! Nimepiga bavaria hapa nataka kupiga na baltica sema nahofia yasije kua ni ma energy drinks yakanizingua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chukua ushauri wa jamaa hapaa.
 
Unaweza pita pia hapa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…