Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,448
Kuna siku nilikunywa nkalazwa aki... Sitarudia kungfu mileleKungFu au DragoN
Cc@Shunie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna siku nilikunywa nkalazwa aki... Sitarudia kungfu mileleKungFu au DragoN
Yap Haaaaahahaha savana?
Aisee hayaInaongeza mapigo ya moyo na kukatisha usingizi, kinywaji murua sana hiki
Hahaha, hebu tuambie kidogo zilikufanya niniKuna siku nilikunywa nkalazwa aki... Sitarudia kungfu milele
Cc@Shunie
Asante ShemHongera
lol !mbona ina alcohol kbs 4.5 hvYap Haaaaa
Wanaume wa dar wametia timu...hahaha savana?
Aaaaaaa! ulikosea ulitakiwa unywe 6, hapo gesi ingetoka yenyewe haiwezi kukaa
Usinywe dragon [emoji244] au azam energy [emoji298] nyingi kama una shida ya moyo...ni hatari kama radi, yani kifo dakika mbili mbeleInaongeza mapigo ya moyo na kukatisha usingizi, kinywaji murua sana hiki
HahahaHahaha, hebu tuambie kidogo zilikufanya nini
Hahaa hilo umesema wewe mi simo... subiria vitasa [emoji23] [emoji23]hahaha kwamba Amalinze mwanaume wa dar?
Ningekuonyesha namna ya kuzinywa, step by step ni simple sana, usinywe 1 siku nyinginehahahaha uwiii !
Pole sana shem, itakuwa ulizidisha kipimo[emoji23]Hahaha
Sitaki kukumbuka jamani, nilihisi kukufwa mie
HahahaPole sana shem, itakuwa ulizidisha kipimo[emoji23]
Basi itakuwa hazikupendi tuHahaha
Nilikunywa moja na nusu ndo hali ikaanza kuwa mbaya!!!