Vanestrooy
JF-Expert Member
- Sep 3, 2016
- 259
- 128
Kunywa bia Acha Uogaa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haahaha umenichekesha sana mkuuMi nakunywa Safari Lager tu hizi pombe mi stumiagi kabisa. Hata soda, juisi sipendi sana mana kuna kisukari, presha low libido etc
yapBar?
Mmmhhhh bar gani hiyo ya mbege bi mkubwa?[HASHTAG]#mbege[/HASHTAG]
a bwana zitakuwepo tu lol!Mmmhhhh bar gani hiyo ya mbege bi mkubwa?
Hahahahahaaa! nawe pia bestngu, umeuona salama? Bar ya wapi au ndo kule kwenye tapu tapu bi mkubwa, kwani zile nazo mnaziita bar?a bwana zitakuwepo tu lol!
happy new year mkuu
Hahahahahaaa! nawe pia bestngu, umeuona salama? Bar ya wapi au ndo kule kwenye tapu tapu bi mkubwa, kwani zile nazo mnaziita bar?
Jiandae ntakupitia unipeleke hiyo bar iliyo na mbege, nadhan itakuwa haina hadhi yako, watu watakuwa wanapiga kojo ppte ukutaniaaaaaha huko hukoo
teh teh niptie nikupeleke utaipendaJiandae ntakupitia unipeleke hiyo bar iliyo na mbege, nadhan itakuwa haina hadhi yako, watu watakuwa wanapiga kojo ppte ukutani
Haya...teh teh niptie nikupeleke utaipenda
Acha stress ziniue lkn pombe nope....we endelea kupombeka mkuuStress zako usifananishe na mambo ya maana kama kitungi
Umeona eeh?...Sante baby kwa kulitambua hili!Huu ni ukweli mtupu ingawa wapingaji hawakosi
Mi pia sweet[emoji123]Mi pia mwaka huu naiweka kando
Sehemu zingine ni zipi sema walau 3Acha kwenda bar kwani lazima? kuna sehemu nyingi za kwenda ukitoa bar! kwani sehemu ya starehe ni bar tu?