Tusione Aibu kuiga hili Jema kutoka kwa Rais Kagame na Rwanda yake

Tusione Aibu kuiga hili Jema kutoka kwa Rais Kagame na Rwanda yake

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Screenshot_20240822-063803.jpg

Hatua hii ya Kimakusudi imekuja ili kuyaondoa Makanisa ya Kipumbavu Kipumbavu ( ya Kitapeli tupu ) ambayo yamejaa sana katika nchi moja ( nimeisahau Jina kwa sasa ) yenye Raia Wabishi, Wasioshaurika, wenye uwezo mdogo wa Kufikiri na Wanaodhani kuna njia ya shortcut katika Kufanikiwa kupitia Maombi ya Kitapeli badala ya kuweka jitihada katika kufanya Kazi kwa bidii.

Kudos Serikali ya Rwanda, Wanyarwanda wote na hasa Rais Kagame kwa kuwa mfano wa Rais unayejitambua, makini, mwerevu na usiyependa kulea Upumbavu kama uliopo mahala pengine siyo mbali nawe Kijiografia.
 
Huo ndio ukweli na Kwa mwaka makanisa yaliopo kule mahali hata bil 300 itapatikana, lakini pia itasaidia utakatishaji mkubwa wa fedha haramu uliojificha huko, paul kagame alisema utakatishaji huko ni mkubwa sana
 
View attachment 3075993
Hatua hii ya Kimakusudi imekuja ili kuyaondoa Makanisa ya Kipumbavu Kipumbavu ( ya Kitapeli tupu ) ambayo yamejaa sana katika nchi moja ( nimeisahau Jina kwa sasa ) yenye Raia Wabishi, Wasioshaurika, wenye uwezo mdogo wa Kufikiri na Wanaodhani kuna njia ya shortcut katika Kufanikiwa kupitia Maombi ya Kitapeli badala ya kuweka jitihada katika kufanya Kazi kwa bidii.

Kudos Serikali ya Rwanda, Wanyarwanda wote na hasa Rais Kagame kwa kuwa mfano wa Rais unayejitambua,
Unayejitambua = Unae jitambua
makini, mwerevu na usiyependa kulea Upumbavu kama uliopo mahala pengine siyo mbali nawe Kijiografia.

Usiyependa = Usie penda.


🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
 
Wapiga ramli, kuwaibia wana nchi kutokana na matatizo kugeuzwa fursa!!
Kumuona tapeli laki moja - tano
Maji kuuzwa mpk elfu 50

Yaaaani kupata huduma nzuri na ya haraka ni mteja kuweka dau lako kubwa
 
View attachment 3075993
Hatua hii ya Kimakusudi imekuja ili kuyaondoa Makanisa ya Kipumbavu Kipumbavu ( ya Kitapeli tupu ) ambayo yamejaa sana katika nchi moja ( nimeisahau Jina kwa sasa ) yenye Raia Wabishi, Wasioshaurika, wenye uwezo mdogo wa Kufikiri na Wanaodhani kuna njia ya shortcut katika Kufanikiwa kupitia Maombi ya Kitapeli badala ya kuweka jitihada katika kufanya Kazi kwa bidii.

Kudos Serikali ya Rwanda, Wanyarwanda wote na hasa Rais Kagame kwa kuwa mfano wa Rais unayejitambua, makini, mwerevu na usiyependa kulea Upumbavu kama uliopo mahala pengine siyo mbali nawe Kijiografia.
Wafunge makanisa ya wapiga kura
 
Huo ndio ukweli na Kwa mwaka makanisa yaliopo kule mahali hata bil 300 itapatikana, lakini pia itasaidia utakatishaji mkubwa wa fedha haramu uliojificha huko, paul kagame alisema utakatishaji huko ni mkubwa sana
Rais Kagame hafanani na Marais wengine Wapumbavu Wapumbavu ( Mapopoma Mapopoma ) walioko duniani Mkuu.
 
Unayejitambua = Unae jitambua

Usiyependa = Usie penda.

🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻
Unae jitambua = Unaejitambua

Usie penda = Usiependa

Bila shaka huyo Mpumbavu Mmoja hapo juu aliyeenda Shule ya Upumbavu, Unafiki na Chuki nae ataungana nami alipokuunga mkono ulipokurupuka Kurekebisha hakuona kosa.
 
Kagame anatawala maiti.
Maiti zilizo Rwanda na Kwenu ulipo nyingi ziko wapi? au ni Hasira za Yeye ( Kagame ) kuwaambia mumpe Mkoa wenu Mmoja wenye Bandari ili awafundishe kuitumia hiyo Bandari na msiombe tena Misaada Ulaya na Marekani?
 
Maiti zilizo Rwanda na Kwenu ulipo nyingi ziko wapi? au ni Hasira za Yeye ( Kagame ) kuwaambia mumpe Mkoa wenu Mmoja wenye Bandari ili awafundishe kuitumia hiyo Bandari na msiombe tena Misaada Ulaya na Marekani?
Misukule ya Tanzania haiwezi kutawaliwa na mtu mmoja miaka 30, utasomewa hata Kurujuwani utupishe.

Mzilankende alikuwa anataka kuteletea huu uboya wa Kagame kwamba nchi nzima mwenye akili ni yeye tu hakuna mwingine.
 
Unae jitambua = Unaejitambua

Usie penda = Usiependa

Bila shaka huyo Mpumbavu Mmoja hapo juu aliyeenda Shule ya Upumbavu, Unafiki na Chuki nae ataungana nami alipokuunga mkono ulipokurupuka Kurekebisha hakuona kosa.
0%
 
Siyo lazima kuiga kila kitu.Kuna kitu lazima kifanyike kabla ya kufikia hapo.
 
Back
Top Bottom