MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
Laiti ungejua ni nani amenithibitishia hili nadhani ungeniomba hata Radhi kwani ni Mtu muhimu kuliko ujuavyo ndani ya Mpira wa TZ na Simba SC.Non of the above
Kwa suala la Mkude na Morisson nakubaliana nae kwa 100% ila kwa suala zima tu la Kagere nakubaliana nae kwa 50% kwani anahitaji Kuvumiliwa.Yeye ni muajiriwa hivyo alitakiwa atimize maelekezo ya boss wake! haiwezekani ukataka kufanya kila unachotaka wewe wakati anayekulipa mshahara hakitaki. Utakuwa ama mwendawazimu au umeichoka kazi au hujielewi
Justin Shonga wa Afrika Kusini na Walter Bwalya wa Zambia ni zaidi yake pia maradufu sema tu wote hawa Simba SC ingevunja Kibubu cha 900M.Hayo mengine nakubaliana na kocha ila kwa Kagere nampinga.
Anamkataaje Kagere mfungaji bora misimu miwili?
Ni sawa kabisa mkuu,ila kunamsemo usemao "shikilia ulichonacho"Justin Shonga wa South Africa na Walter Bwalya wa Zambia ni zaidi yake maradufu sema tu wote hawa Simba SC ingevunja Kibubu cha 900M.
Si kweli kwani Sven mpira wa Afrika anaujua tokea alipokuwa Msaidizi huko nchini Zambia. Mbona Wazungu pia ni Wachawi ila tu Wameuboresha!Kakataa tunguri na kulazwa makaburini na mipaka mieusi.
Mambo kama haya hata ungekuwa wewe ungekimbiaKakataa tunguri na kulazwa makaburini na mipaka mieusi.
Hayo maigizo tu na kuwamaliza kisaikolojia.Mambo kama haya hata ungekuwa wewe ungekimbia
View attachment 1671674
Mbona ww umemuajiri magufuli lkn ana yy ndie kila kitu anachota anaamua yy wala hakuna wa kumpinga.Yeye ni muajiriwa hivyo alitakiwa atimize maelekezo ya boss wake! haiwezekani ukataka kufanya kila unachotaka wewe wakati anayekulipa mshahara hakitaki. Utakuwa ama mwendawazimu au umeichoka kazi au hujielewi