Tusiopenda Kufichwa mambo hatimaye kisiri kabisa tumeshajua kwanini Kocha Sven Vandebroek Kasepa ghafla

Tusiopenda Kufichwa mambo hatimaye kisiri kabisa tumeshajua kwanini Kocha Sven Vandebroek Kasepa ghafla

Yanga mna assume tofauti, hakuna sababu hta moja uliyotaja, tuachie simba yetu
Siko hapa JF Kujibizana na Wapumbavu tafadhali. Aliyeniambia na Kunihakikishia hili kwa 99% ni sehemu kamili ya Simba SC. Bishaneni kwingine.
 
1. Kocha hamtaki Meddie Kagere na aliomba Mshambuliaji mahiri kutoka Afrika Kusini au Zambia asajiliwe kakataliwa.

2. Kocha kaamua kwa aina ya nidhamu mbaya ya kiungo Jonas Mkude hamtaki tena katika Kikosi chake kakataliwa.

3. Kocha kila mara amesisitiza kwanini Kiungo Mshambuliaji Bernard Morrison kasajiliwa wakati si mzuri kaambiwa amtumie tu.

Kwa wale ambao mmebahatika ama kufanya kazi au kuishi na Wazungu mnatambua kuwa huwa hawapendi Uswahili, Uhuni na Kubishiwa hovyo.
Mpuuzi umetype unachofanana nacho

Upuuzi
 
1. Kocha hamtaki Meddie Kagere na aliomba Mshambuliaji mahiri kutoka Afrika Kusini au Zambia asajiliwe kakataliwa.

2. Kocha kaamua kwa aina ya nidhamu mbaya ya kiungo Jonas Mkude hamtaki tena katika Kikosi chake kakataliwa.

3. Kocha kila mara amesisitiza kwanini Kiungo Mshambuliaji Bernard Morrison kasajiliwa wakati si mzuri kaambiwa amtumie tu.

Kwa wale ambao mmebahatika ama kufanya kazi au kuishi na Wazungu mnatambua kuwa huwa hawapendi Uswahili, Uhuni na Kubishiwa hovyo.
Kaendelee kupiga ramli huko Jangwani kwenye mafuriko huku ukisubiri Namungo akut@mbe usiku huu.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Tuachane na utamaduni wa kubet kwenye kila kitu! Huyo kocha ana familia huko ulaya hivyo kaenda kutazama familia yake na wala si vinginevyo!

Suala la Mkude kuna kitu uongozi umeshakosea toka mwanzo na kumlea akaleleka kama alivyo! Mkude kacheza Simba sasa ni zaidi ya miaka 10, Hivyo ni jambo la ajabu leo akaonekana hana nidhamu wakati anaelekea kuzeekea Simba, isiwe kaanza kuwekewa mizengwe sababu Simba wamempa Thadeo Lwanga.

Kuhusu Morisoni sioni shida ya kuwepo kwake anaweza kucheza kama winga wa kushoto iwapo kocha atamtengenezea combination nzuri au atatengenezewa watu wanaoweza kucheza nae vizuri.

Medie Kagere bado ni bonge la straika hata mahasimu wetu wengi wanammezea, Simba wakirogwa wakamuacha mshambuliaji huyu kwa maneno ya mitandaoni itakuwa kama ilivyokuwa kwa Hamis Tambwe, maaa atadakwa na mahasimu wetu alafu huyohuyo ndio atakuwa silaha ya maangamizi kwa Simba.

Kagere atafutiwe tu formation nzuziri na ajengewe mahusiano mazuri na wenzake ili waendelee kumpa support na pasitokee wa kumuhujumu!
Huyu tayari km tambwe tu subiri msimu uishe
 
Yeye ni muajiriwa hivyo alitakiwa atimize maelekezo ya boss wake! Haiwezekani ukataka kufanya kila unachotaka wewe wakati anayekulipa mshahara hakitaki. Utakuwa ama mwendawazimu au umeichoka kazi au hujielewi
Hii ilinikuta kwenye kazi, Boss wangu sio msomi.. mimi nilienda pale kama mtaalamu.. amini kwamba maboss wengi hawataki ufanye vitu kwa taaluma yako bali kwa wanavyotaka.
 
Hii ilinikuta kwenye kazi, Boss wangu sio msomi.. mimi nilienda pale kama mtaalamu.. amini kwamba maboss wengi hawataki ufanye vitu kwa taaluma yako bali kwa wanavyotaka.
Nakazia hapa
 
Laiti ungejua ni nani amenithibitishia hili nadhani ungeniomba hata Radhi kwani ni Mtu muhimu kuliko ujuavyo ndani ya Mpira wa TZ na Simba SC.
Umepotoshwa ili usiendelee kumsumbua, si umeona sasa umekuja kuongea yote huku..! Ndio maana amekudanganya maana anajua hauna siri
 
1. Kocha hamtaki Meddie Kagere na aliomba Mshambuliaji mahiri kutoka Afrika Kusini au Zambia asajiliwe kakataliwa.

2. Kocha kaamua kwa aina ya nidhamu mbaya ya kiungo Jonas Mkude hamtaki tena katika Kikosi chake kakataliwa.

3. Kocha kila mara amesisitiza kwanini Kiungo Mshambuliaji Bernard Morrison kasajiliwa wakati si mzuri kaambiwa amtumie tu.

Kwa wale ambao mmebahatika ama kufanya kazi au kuishi na Wazungu mnatambua kuwa huwa hawapendi Uswahili, Uhuni na Kubishiwa hovyo.

Uwezo wa Sven ni mdogo. Hawezi kuibeba Simba kwenye makundi. Ameona asiaibike kitoto. Ni bora atimke sasa.
 
1. Kocha hamtaki Meddie Kagere na aliomba Mshambuliaji mahiri kutoka Afrika Kusini au Zambia asajiliwe kakataliwa.

2. Kocha kaamua kwa aina ya nidhamu mbaya ya kiungo Jonas Mkude hamtaki tena katika Kikosi chake kakataliwa.

3. Kocha kila mara amesisitiza kwanini Kiungo Mshambuliaji Bernard Morrison kasajiliwa wakati si mzuri kaambiwa amtumie tu.

Kwa wale ambao mmebahatika ama kufanya kazi au kuishi na Wazungu mnatambua kuwa huwa hawapendi Uswahili, Uhuni na Kubishiwa hovyo.
Umesahau issue ya ushirikina, kamati ya ufundi ilikuwa inampangia wachezaji

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kishingo kachoka kulaala makaburini na kuchanjwa chanjwa

Timu sasa hivi Kocha wake ni mganga
 
Back
Top Bottom