MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #61
Siko hapa JF Kujibizana na Wapumbavu tafadhali. Aliyeniambia na Kunihakikishia hili kwa 99% ni sehemu kamili ya Simba SC. Bishaneni kwingine.Yanga mna assume tofauti, hakuna sababu hta moja uliyotaja, tuachie simba yetu
Hatoki mtu hapo
Huyo mtu aliyekuthibitishia ni mo? au kitenge?Laiti ungejua ni nani amenithibitishia hili nadhani ungeniomba hata Radhi kwani ni Mtu muhimu kuliko ujuavyo ndani ya Mpira wa TZ na Simba SC.
Mpuuzi umetype unachofanana nacho1. Kocha hamtaki Meddie Kagere na aliomba Mshambuliaji mahiri kutoka Afrika Kusini au Zambia asajiliwe kakataliwa.
2. Kocha kaamua kwa aina ya nidhamu mbaya ya kiungo Jonas Mkude hamtaki tena katika Kikosi chake kakataliwa.
3. Kocha kila mara amesisitiza kwanini Kiungo Mshambuliaji Bernard Morrison kasajiliwa wakati si mzuri kaambiwa amtumie tu.
Kwa wale ambao mmebahatika ama kufanya kazi au kuishi na Wazungu mnatambua kuwa huwa hawapendi Uswahili, Uhuni na Kubishiwa hovyo.
Certified asshole pro maxLaiti ungejua ni nani amenithibitishia hili nadhani ungeniomba hata Radhi kwani ni Mtu muhimu kuliko ujuavyo ndani ya Mpira wa TZ na Simba SC.
Kaendelee kupiga ramli huko Jangwani kwenye mafuriko huku ukisubiri Namungo akut@mbe usiku huu.1. Kocha hamtaki Meddie Kagere na aliomba Mshambuliaji mahiri kutoka Afrika Kusini au Zambia asajiliwe kakataliwa.
2. Kocha kaamua kwa aina ya nidhamu mbaya ya kiungo Jonas Mkude hamtaki tena katika Kikosi chake kakataliwa.
3. Kocha kila mara amesisitiza kwanini Kiungo Mshambuliaji Bernard Morrison kasajiliwa wakati si mzuri kaambiwa amtumie tu.
Kwa wale ambao mmebahatika ama kufanya kazi au kuishi na Wazungu mnatambua kuwa huwa hawapendi Uswahili, Uhuni na Kubishiwa hovyo.
Huyu tayari km tambwe tu subiri msimu uisheTuachane na utamaduni wa kubet kwenye kila kitu! Huyo kocha ana familia huko ulaya hivyo kaenda kutazama familia yake na wala si vinginevyo!
Suala la Mkude kuna kitu uongozi umeshakosea toka mwanzo na kumlea akaleleka kama alivyo! Mkude kacheza Simba sasa ni zaidi ya miaka 10, Hivyo ni jambo la ajabu leo akaonekana hana nidhamu wakati anaelekea kuzeekea Simba, isiwe kaanza kuwekewa mizengwe sababu Simba wamempa Thadeo Lwanga.
Kuhusu Morisoni sioni shida ya kuwepo kwake anaweza kucheza kama winga wa kushoto iwapo kocha atamtengenezea combination nzuri au atatengenezewa watu wanaoweza kucheza nae vizuri.
Medie Kagere bado ni bonge la straika hata mahasimu wetu wengi wanammezea, Simba wakirogwa wakamuacha mshambuliaji huyu kwa maneno ya mitandaoni itakuwa kama ilivyokuwa kwa Hamis Tambwe, maaa atadakwa na mahasimu wetu alafu huyohuyo ndio atakuwa silaha ya maangamizi kwa Simba.
Kagere atafutiwe tu formation nzuziri na ajengewe mahusiano mazuri na wenzake ili waendelee kumpa support na pasitokee wa kumuhujumu!
Hii ilinikuta kwenye kazi, Boss wangu sio msomi.. mimi nilienda pale kama mtaalamu.. amini kwamba maboss wengi hawataki ufanye vitu kwa taaluma yako bali kwa wanavyotaka.Yeye ni muajiriwa hivyo alitakiwa atimize maelekezo ya boss wake! Haiwezekani ukataka kufanya kila unachotaka wewe wakati anayekulipa mshahara hakitaki. Utakuwa ama mwendawazimu au umeichoka kazi au hujielewi
Nakazia hapaHii ilinikuta kwenye kazi, Boss wangu sio msomi.. mimi nilienda pale kama mtaalamu.. amini kwamba maboss wengi hawataki ufanye vitu kwa taaluma yako bali kwa wanavyotaka.
UCHEBE mishati arudiKishingo kafuata nyayo za uchebe
Same to the Profaner who gave birth to you.Certified asshole pro max
Mpumbavu umesoma kile alicho type Mpuuzi.Mpuuzi umetype unachofanana nacho
Upuuzi
Umepotoshwa ili usiendelee kumsumbua, si umeona sasa umekuja kuongea yote huku..! Ndio maana amekudanganya maana anajua hauna siriLaiti ungejua ni nani amenithibitishia hili nadhani ungeniomba hata Radhi kwani ni Mtu muhimu kuliko ujuavyo ndani ya Mpira wa TZ na Simba SC.
GentamyceneLaiti ungejua ni nani amenithibitishia hili nadhani ungeniomba hata Radhi kwani ni Mtu muhimu kuliko ujuavyo ndani ya Mpira wa TZ na Simba SC.
1. Kocha hamtaki Meddie Kagere na aliomba Mshambuliaji mahiri kutoka Afrika Kusini au Zambia asajiliwe kakataliwa.
2. Kocha kaamua kwa aina ya nidhamu mbaya ya kiungo Jonas Mkude hamtaki tena katika Kikosi chake kakataliwa.
3. Kocha kila mara amesisitiza kwanini Kiungo Mshambuliaji Bernard Morrison kasajiliwa wakati si mzuri kaambiwa amtumie tu.
Kwa wale ambao mmebahatika ama kufanya kazi au kuishi na Wazungu mnatambua kuwa huwa hawapendi Uswahili, Uhuni na Kubishiwa hovyo.
Mtsjijua wenyewe na timu yenu ya uchawi.Uwezo wa Sven ni mdogo. Hawezi kuibeba Simba kwenye makundi. Ameona asiaibike kitoto. Ni bora atimke sasa.
Umesahau issue ya ushirikina, kamati ya ufundi ilikuwa inampangia wachezaji1. Kocha hamtaki Meddie Kagere na aliomba Mshambuliaji mahiri kutoka Afrika Kusini au Zambia asajiliwe kakataliwa.
2. Kocha kaamua kwa aina ya nidhamu mbaya ya kiungo Jonas Mkude hamtaki tena katika Kikosi chake kakataliwa.
3. Kocha kila mara amesisitiza kwanini Kiungo Mshambuliaji Bernard Morrison kasajiliwa wakati si mzuri kaambiwa amtumie tu.
Kwa wale ambao mmebahatika ama kufanya kazi au kuishi na Wazungu mnatambua kuwa huwa hawapendi Uswahili, Uhuni na Kubishiwa hovyo.